Watafutieni wananchi soko la uyoga
Shirika lisilo la Kiserikali la Farm Africa limeombwa kuwahakikishia soko la uyoga wananchi wa Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara, kutokana na mafunzo ya ujasiriamali waliyopatiwa kuhusu namna ya kuzalisha zao hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-M7Vrzjbo9J0/Uuhw0a5XFEI/AAAAAAAALfE/Te_8go2kwX0/s1600/20140128_165947.jpg)
NAPE AJICHANGANYA NA WANANCHI SOKO LA MWANJELWA MBEYA
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Faida nyingi za uyoga kiafya
11 years ago
Dewji Blog06 Aug
Zaidi ya wananchi 3,000 Wilaya ya Ikungi Singida kunufaika na soko la asali chini ya mradi wa FU-DI kwa ufadhili wa UNDP
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk Parseko Kone akizungumza na wanavikundi 49 vya ufugaji wa Nyuki katika Wilaya ya Ikungi wakati wa uzinduzi wa mradi wa FU-DI na ugawaji wa mizinga ya Nyuki pamoja na vifaa.
Na Hillary Shoo, IKUNGI.
ZAIDI ya wananchi 3,000 watanufaika na soko la asali kupitia taasisi ya Kijamii ya fursa za kimaendeleo ‘Future Development Initiatives’ (Fu-DI) Mkoani Singida, kwa ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP).
Wakizungumza wakati wa hafla fupi ya...
5 years ago
BBCSwahili27 Jun
Jinsi uyoga unavyolimwa ndani ya reli
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nJhb2izRqBY/VAhq97ehDTI/AAAAAAAGd7g/j2HX_FfsYZw/s72-c/Ni%2Bwakati%2Bwa%2Bkula%2Buyoga!.jpg)
SIKU YA KULA UYOGA YAFANA BABATI
Shiriko lisilo la Kiserikali la Farm Africa kwa kushirikiana na wakulima wa uyoga wa wilaya za Mbulu na Babati wiki iliyopita waliandaa siku maalum ya kula uyoga kwa wakazi wa wilaya hizo.
Tukio hilo lilifanyika katika katika kitongoji cha Magugu wilayani Babati ambapo wakazi walipata nafasi ya kuonja aina mbalimbali za mapishi ya uyoga.Wakulima 15 wa uyoga walio katika mradi wa Misitu wa Farm Africa walishiriki shughuli hiyo kwa kupika na kugawa bure uyoga uliopikwa kwa wakazi wa...
10 years ago
BBCSwahili25 Jun
Uyoga unazuia mtu kunenepa :Utafiti
10 years ago
Habarileo27 Jan
Wawili wafa kwa kula uyoga
WATU wawili wa familia moja wamefariki dunia katika Kijiji cha Masyalele, Wilaya ya Nanyumbu Mkoa wa Mtwara baada ya kula uyoga unaosadikiwa kuwa sumu. Pia wengine wanne walazwa akiwamo mtoto wa miaka mitatu katika kituo cha afya cha Mangaka.
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Njia rahisi ya kutumia taka za mazao ili kuzalisha uyoga