Fired Rahco boss in Sh15tr scam
President John Magufuli yesterday suspended the managing director of Reli Assets Holding Company (Rahco), Mr Benhadard Tito (pictured), to pave the way for investigations into gross procurement flaws in awarding a tender for building the $7.6 billion (Sh15 trillion) standard gauge railway line.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen12 Nov
Magufuli to launch Sh15tr standard gauge rail project
11 years ago
TheCitizen01 May
Rahco cries for funds
9 years ago
TheCitizen30 Oct
TPA, Rahco boards inaugurated
10 years ago
TheCitizen23 Apr
Rehabilitation of our quarry plant is crucial: Rahco
10 years ago
TheCitizen08 Jan
Railways fit for deluxe train: Rahco
9 years ago
Habarileo31 Dec
Mbarawa aagiza TRL, RAHCO kushirikiana
WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa amewaagiza watendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRL) na Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli (RAHCO), kufanya kazi kwa umoja na ushirikiano ili kuboresha huduma za reli.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1QxZNC-Iy5I/VoOjXrer17I/AAAAAAAIPTc/TFYk1PUQvuk/s72-c/makame.jpg)
Profesa Mbarawa azitaka TRL na RAHCO kujiimarisha
![](http://3.bp.blogspot.com/-1QxZNC-Iy5I/VoOjXrer17I/AAAAAAAIPTc/TFYk1PUQvuk/s400/makame.jpg)
Akizungumza na watendaji wa TRL na RAHCO Prof. Mbarawa amewataka watendaji hao kutengeneza mkakati utakaowezesha usafiri wa reli nchini kuwa wa uhakika kwa abiria na mizigo ili kupunguza msongamano kwenye barabara na kuwezesha shehena kubwa ya mizigo...
9 years ago
StarTV23 Dec
Rais amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu RAHCO
Rais John Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hodhi ya rasilimali za Reli Tanzania RAHCO Mhandisi Benhadard Tito kupisha uchunguzi wa kina kutokana na ukiukwaji mkubwa wa taratibu za manunuzi uliobainika katika mchakato wa utoaji wa zabuni ya ujenzi wa reli ya kati.
Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema Rais Magufuli amefikia uamuzi huo baada ya kuitisha kikao cha wataalamu kutoka Wizara na Taasisi mbalimbali za Serikali...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Rais amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa RAHCO
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Kuhudumia Miundombinu ya Reli (RAHCO) Benhadard Tito (katikati). (Picha na Maktaba).
Rais wa Jamhuri ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hodhi ya rasilimali za reli Tanzania (RAHCO) Mhandisi Benhadard Tito ili kupisha uchunguzi wa kina kufuatia ukiukwaji mkubwa wa taratibu za manunuzi uliobainika katika mchakato wa utoaji wa zabuni ya ujenzi wa reli ya kati.
Akitoa taarifa kwa vyombo vya...