Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fired Rahco boss in Sh15tr scam

President John Magufuli yesterday suspended the managing director of Reli Assets Holding Company (Rahco), Mr Benhadard Tito (pictured), to pave the way for investigations into gross procurement flaws in awarding a tender for building the $7.6 billion (Sh15 trillion) standard gauge railway line.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Magufuli to launch Sh15tr standard gauge rail project

The official launch of a $7.6 billion (Sh15 trillion) standard gauge railway line will now take place in the next six weeks, BusinessWeek has learnt.

 

11 years ago

TheCitizen

Rahco cries for funds

Reli Assets Holding Company, the state-owned firm responsible for railway infrastructure, doubts whether it will achieve its Big Results Now (BRN) targets if the trend of disbursing fund will continue as it is today.

 

9 years ago

TheCitizen

TPA, Rahco boards inaugurated

The government yesterday inaugurated boards of directors of its two transport-related infrastructure authorities and urged them to hasten the pace of implementation of the country’s infrastructure projects.

 

10 years ago

TheCitizen

Rehabilitation of our quarry plant is crucial: Rahco

Reli Assets Holding Company (Rahco) has embarked on a project to rehabilitate its quarry plant.

 

10 years ago

TheCitizen

Railways fit for deluxe train: Rahco

The existing railway infrastructure is in good condition and fit to accommodate the much-anticipated deluxe train, Reli Assets Holding Company (Rahco) – the state owned firm responsible for railway infrastructure - said yesterday.

 

9 years ago

Habarileo

Mbarawa aagiza TRL, RAHCO kushirikiana

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa amewaagiza watendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRL) na Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli (RAHCO), kufanya kazi kwa umoja na ushirikiano ili kuboresha huduma za reli.

 

9 years ago

Michuzi

Profesa Mbarawa azitaka TRL na RAHCO kujiimarisha

Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Mhe.Prof. Makame Mbarawa amezungumzia umuhimu wa Shirika la Reli Tanzania (TRL) na Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli (RAHCO) kufanya kazi kwa umoja na ushirikiano ili kuboresha huduma za reli.
Akizungumza na watendaji wa TRL na RAHCO Prof. Mbarawa amewataka watendaji hao kutengeneza mkakati utakaowezesha usafiri wa reli nchini kuwa wa uhakika kwa abiria na mizigo ili kupunguza msongamano kwenye barabara na kuwezesha shehena kubwa ya mizigo...

 

9 years ago

StarTV

Rais amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu RAHCO

Rais John Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hodhi ya rasilimali za Reli Tanzania RAHCO Mhandisi Benhadard Tito kupisha uchunguzi wa kina kutokana na ukiukwaji mkubwa wa taratibu za manunuzi uliobainika katika mchakato wa utoaji wa zabuni ya ujenzi wa reli ya kati.

 Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema Rais Magufuli amefikia uamuzi huo baada ya kuitisha kikao cha wataalamu kutoka Wizara na Taasisi mbalimbali za Serikali...

 

9 years ago

Dewji Blog

Rais amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa RAHCO

IMG_7092

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Kuhudumia Miundombinu ya Reli (RAHCO) Benhadard Tito (katikati). (Picha na Maktaba).

Rais wa Jamhuri ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hodhi ya rasilimali za reli Tanzania (RAHCO) Mhandisi Benhadard Tito ili kupisha uchunguzi wa kina kufuatia ukiukwaji mkubwa wa taratibu za manunuzi uliobainika katika mchakato wa utoaji wa zabuni ya ujenzi wa reli ya kati.

Akitoa taarifa kwa vyombo vya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani