JK aagiza changamoto daraja Kigamboni ziishe
RAIS Jakaya Kikwete ametembelea daraja la Kigamboni, Dar es Salaam, jana, na kuagiza changamoto zilizoainishwa zitatuliwe haraka kabla mradi haujamalizika.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Jul
Magufuli aagiza fidia daraja Kigamboni
WAZIRI wa Ujenzi Dk John Magufuli, amefanya ukaguzi wa ghafla katika ujenzi wa Daraja la Kigamboni jijini Dar es Salaam na kutoa siku mbili kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara (TANROADS) kufanya tathmini ya malipo ya fidia katika eneo la kilomita 1.2 na kukabidhi mkandarasi kipande hicho kwa ajili ya ujenzi wa barabara.
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Jaji Kiongozi aagiza kesi zote za uchaguzi ziishe Machi mwakani
11 years ago
MichuziMAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU (MV. MTWARA), DARAJA LA KIGAMBONI PAMOJA NA UKARABATI WA KIVUKO CHA MV. KIGAMBONI
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Daraja Kigamboni kukamilika mwakani
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema kuwa daraja la Kigamboni linatarajiwa kukamilika Julai Mwakani. Akizungumza mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, kwenye ziara ya ukaguzi wa miradi inayosimamiwa na Mfuko...
11 years ago
Mwananchi09 Aug
Magufuli ahimiza Daraja Kigamboni
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ssjzmXOLj7o/Uu9JeblkRDI/AAAAAAAFKjc/Pd_ZY7BZUW0/s72-c/IMG_0029.jpg)
Taswira ya ujenzi wa daraja la kigamboni
![](http://4.bp.blogspot.com/-ssjzmXOLj7o/Uu9JeblkRDI/AAAAAAAFKjc/Pd_ZY7BZUW0/s1600/IMG_0029.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Jnun36kzdfY/VDu74136agI/AAAAAAABK7g/Nid8NgAVapQ/s72-c/866.jpg)
WAFANYAKAZI DARAJA LA KIGAMBONI WAGOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Jnun36kzdfY/VDu74136agI/AAAAAAABK7g/Nid8NgAVapQ/s640/866.jpg)
Khamis Mpili, alisema tangu mradi wa ujenzi huo uanze kuna wafanyakazi hawajapatiwa mikataba ya kazi, hali inayosababisha kukosa haki zao za msingi zikiwamo malipo ya likizo,...
10 years ago
Habarileo16 May
Daraja la Kigamboni kukamilika Desemba
UJENZI wa daraja linalounganisha Kigamboni na Dar es Salaam unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Daraja Kigamboni neema au balaa?