Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Washtakiwa wahoji lilipo jalada lao

>Mshtakiwa Makongoro Joseph Nyerere anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya kukusudia ya mfanyabiashara wa madini, Onesphory Kituli, ameutaka  upande wa mashtaka kuwa wazi kuhusu upelelezi wa kesi yao na iwapo jalada lao kama lipo kwa DPP ama kwa RCO.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wawakilishi Zanzibar wahoji Baraza lao

Katibu wa Kamati ya Wawakilishi wa CCM, Salmin Awadh SalminWAKATI Bunge Maalumu la Katiba, likitarajiwa kukutana leo kuamua kura gani itumike katika uamuzi wa mwisho wa kupitisha Katiba itakayopendekezwa kwa wananchi, wawakilishi wanachama wa CCM, wameibuka na kuhoji maoni ya Baraza la Wawakilishi kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 

10 years ago

GPL

JALADA LA LOWASA KUWEKWA HADHARANI

Edward Lowassa Na Mwandishi Wetu  DHORUBA ya kisiasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, inazidi kutibua mawimbi kufuatia kunaswa kwa harakati za kuchafuana miongoni mwa wagombea wa nafasi ya urais kupitia chama hicho. Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali nchini, imebainika kuwa pamoja na watangaza nia wengine kuwindwa na mkakati huu, mlengwa mkuu ni waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge awafungulia jalada vigogo wa Halmashauri Babati

Mbunge wa Viti Maalumu katika Mkoa wa Manyara, Pauline Gekul (Chadema), ametoa taarifa polisi kuhusu kile alichodai kuwa ni kushambuliwa, kudhalilishwa na kuporwa Sh5 milioni, alikodai kuwa kumefanywa na viongozi wawili wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati.

 

10 years ago

Mwananchi

Usikinunie kitabu kwa sasabu ya jalada lake

Bibi Mlevi ameanza kuwa na wasiwasi kwamba, ati mimi nina mpango wa kugombea Uaskofu! Hii ilitokea nilipogombana na kuwatimua watoa pepo waliotuvamia nyumbani.

 

10 years ago

Mwananchi

DCI awasilisha jalada la Mbowe kwa DPP

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai(DCI), Isaya Mungulu amesema jalada la upelelezi wa kesi ya mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe limeshakabidhiwa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kwa ajili ya kumfikisha mahakamani.

 

10 years ago

Mtanzania

Jalada kesi ya Zitto laitwa kwa Jaji Kiongozi

kabweNa Mwandishi Wetu, Dar es Salam
SAKATA la kufukuzwa uanachama kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), limechukua sura mpya baada ya Jaji Kiongozi, Shabani Lila kuitisha jalada la kesi yake hali inayoonyesha kupitiwa upya kwa kesi hiyo.
Wiki hii Mahakama Kuu ilitupilia mbali ombi la Zitto la kutaka Kamati Kuu ya Chadema kutomjadili na hatimaye kumfukuza uanachama wake baada ya makada wenzake, Samson Mwigamba aliyekuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Arusha na Profesa Kitila Mkumbo...

 

11 years ago

Habarileo

Jalada la wakili maarufu Mwale kupelekwa Mahakama Kuu

HAKIMU Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Mkoa a Arusha , Devota Kamuzora amekubali ombi walilolitoa mawakili upande wa utetezi katika kesi ya wakili maarufu jijini hapa, Median Mwale ya kutakatisha fedha la jalada hilo kupelekwe Mahakama Kuu ili kuamua kama kesi hiyo ilifunguliwa kimakosa au la.

 

10 years ago

Mwananchi

UTATA: Jalada la kesi ladaiwa kuibiwa kwa msajili

>Uzembe unadaiwa kufanywa Mahakama Kuu, Kanda ya Moshi, baada ya jalada moja la kesi kudaiwa kuibwa katika mazingira tata kutoka ofisi ya msajili wa wilaya.

 

11 years ago

Mwananchi

Wahoji umeme utakuja lini

Wakazi wa Vijiji vya Nanyamba na Mpapura Wilaya ya Mtwara mkoani hapa, wamelitaka Shirika la Ugavi wa Umeme (Tanesco) kuharakisha mpango wa usambazaji umeme ili kuongeza kasi ya maendeleo ya kiuchumi na kuboresha huduma za kijamii vijijini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani