Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahoji umeme utakuja lini

Wakazi wa Vijiji vya Nanyamba na Mpapura Wilaya ya Mtwara mkoani hapa, wamelitaka Shirika la Ugavi wa Umeme (Tanesco) kuharakisha mpango wa usambazaji umeme ili kuongeza kasi ya maendeleo ya kiuchumi na kuboresha huduma za kijamii vijijini humo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wahoji Mbowe kwenda Ubungo

Dar es Salaam. Kitendo cha Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kwenda katika Kituo cha Mabasi cha Ubungo (UBT) kuwashawishi madereva kusitisha mgomo kimepokewa kwa hisia tofauti na wananchi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahoji kilio cha Pistorius mahakamani

Upande wa mashitaka katika kesi ya mauaji dhidi ya Oscar Pistorius, umehoji kilio chake ukisema kuwa anataka tu kuhurumiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Wahoji utekelezaji wa ahadi ya Rais Kikwete

Wadau wa maendeleo mkoani Iringa, wameitaka Serikali itekeleza ahadi ya Rais Jakaya Kikwete ya kutengeneza Barabara ya Iringa-Msembe (Hifadhi ya Taifa ya Ruaha) yenye urefu wa kilomita 114 kwa kiwango cha lami ikiwa ni jitihada za kukuza uchumi wa mikoa ya Kusini.

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge wahoji tena Lowassa kutosafishwa

Dodoma/Dar.  Siku moja baada ya Ikulu kulaumiwa bungeni kwa kuwasafisha baadhi ya vigogo waliohusishwa na kashfa ya escrow, mbunge mwingine ameibuka akihoji kwa nini Edward Lowassa asisafishwe dhidi ya kashfa ya Richmond iliyomfanya aachie wadhifa wa uwaziri mkuu.

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi wahoji utata upigaji kura

Pamoja na Bunge Maalumu la Katiba kupitisha kanuni zote 87 za uendeshaji wake, bado kuna sintofahamu miongoni mwa wananchi kuhusu nini kilikubaliwa katika utaratibu wa upigaji wa kura.

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema wahoji uhusiano Tanzania, Rwanda

>Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeiomba Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inayoongozwa na Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa kuunda kamati ndogo kuchunguza uhusiano kati ya Tanzania na Rwanda.

 

11 years ago

Habarileo

Wawakilishi Zanzibar wahoji Baraza lao

Katibu wa Kamati ya Wawakilishi wa CCM, Salmin Awadh SalminWAKATI Bunge Maalumu la Katiba, likitarajiwa kukutana leo kuamua kura gani itumike katika uamuzi wa mwisho wa kupitisha Katiba itakayopendekezwa kwa wananchi, wawakilishi wanachama wa CCM, wameibuka na kuhoji maoni ya Baraza la Wawakilishi kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Washtakiwa wahoji lilipo jalada lao

>Mshtakiwa Makongoro Joseph Nyerere anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya kukusudia ya mfanyabiashara wa madini, Onesphory Kituli, ameutaka  upande wa mashtaka kuwa wazi kuhusu upelelezi wa kesi yao na iwapo jalada lao kama lipo kwa DPP ama kwa RCO.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madiwani wahoji sifuri sekondari za kata

MADIWANI wa Halmashauri ya Ushetu, wilayani Kahama, wamehoji  watoto wanaosoma na kumaliza katika shule za sekondari za kata huku wengi wao wakiambulia kupata alama sifuri na kusababisha kubaki vijijini bila...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani