Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahoji kilio cha Pistorius mahakamani

Upande wa mashitaka katika kesi ya mauaji dhidi ya Oscar Pistorius, umehoji kilio chake ukisema kuwa anataka tu kuhurumiwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wakulima waangua kilio mahakamani

Wakulima 155 wa eneo lililo karibu na shamba na Mwekezaji wa Kapunga ya Rice Project, jana walidondosha machozi nje ya Mahakama ya Mkoa wa Mbeya baada ya mahakama hiyo kutupilia mbali kesi yao dhidi ya wafanyakazi watatu wa Kampuni ya Kapunga.

 

11 years ago

GPL

BIBI ALIYENASWA NA MADAWA YA KULEVYA AANGUA KILIO MAHAKAMANI

Bibi wa Kinigeria, Olabisi Ibidun Cole akipelekwa mahakamani. BIBI wa Kinigeria, Olabisi Ibidun Cole (65), leo ameangua kilio katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar ers Salaam wakati akipelekwa kizimbani kwa ajili ya kusomewa kesi yake ya kunaswa na madawa ya kulevya yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 37. Hakimu aliyepelekewa kesi hiyo, Frank Mushi, aliiahirisha kesi hiyo mpaka kesho ili bibi huyo ambaye...

 

9 years ago

BBCSwahili

Pistorius kurejea mahakamani

Bingwa wa Olimpiki wa mbio za walemavu Oscar Pistorius anatarajiwa kurejea kortini leo kwa kikao cha kuomba apewe dhamana.

 

11 years ago

BBCSwahili

Pistorius aanza kujitetea mahakamani

Oscar Pistorius ameanza kutoa utetezi wake katika kesi ya mauaji inayomkabili kwa kuwaomba radhi familia ya Reeva Steenkamp

 

10 years ago

Michuzi

Kilio cha Mdau juu ya ushuru unaolipishwa katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo

Salam kwako Ankal na timu nzima ya Globu ya Jamii,
Tunawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kutujuza mambo mbali mbali yanayoendelea hapa nchini na nje ya mipaka ya nchi yetu,tunawapa BIGI APU sana kwa kweli.
Kupitia libeneke la Globu ya Jamii,naomba nifikishie kero yangu hii kwa wahusika wa Halmashauri ya Jiji,maana leo nilifika pale kwenye stendi kuu ya mabasi (Ubungo Bus Terminal) na kukutana na  utaratibu wa kulipisha kiasi cha sh. 300 ikiwa ni gharama ya maegesho ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Barabara ya Ndundu-Somanga yakamilika kwa kiwango cha Lami kilio cha watu wa mikoa ya kusini kwisha

Sehemu ya barabara ya Ndundu –Somanga(KM 60) iliyokamilika kwa kiwango cha lami.Wanahabari wakimhoji Dereva wa basi la abiria kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam kuhusiana na kukamilika kwa sehemu ya barabara hiyo.Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Musa Iyombe akikagua sehemu ya barabara ya Ndundu –Somanga(KM 60) iliyokamilika kwa kiwango cha lami.
Ukaguzi wa barabara hiyo ukiendelea kama inavyoonekana.Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Musa Iyombe akiteremka kukagua tuta la barabara ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Pistorius:Moja kwa moja kutoka mahakamani

Kesi ya mauaji dhidi ya Oscar Pistorius imeanza nchini Afrika Kusini. Tazama moja kwa moja kutoka mahakamani

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

KILIO CHA ALBINOS TANZANIA

Wanachama wa chama cha maalbino wakitembelea kisiwani ambako wanaishi walemavu wa ngozi
Mtobi Namigambo, ni mvuvi anayeuza samaki, amekaa kwa utulivi nje ya nyumba yake ya matope katika kisiwa cha ukerewa mahali ambapo zamani palikuwa makao ya albino lakini kwa sasa si hivyo. Mtoto wake wa miaka nne May Mosi ameketi kwenye paja lake akionyesha umarufu wake wa hisabati kwa kuhesabau moja hadi kumi kwa ujasiri.
Mara kwa mara Mtobi anamtazama mke wake, Sabina, ambaye ameketi kwa mkeka kando yake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani