Wahoji kilio cha Pistorius mahakamani
Upande wa mashitaka katika kesi ya mauaji dhidi ya Oscar Pistorius, umehoji kilio chake ukisema kuwa anataka tu kuhurumiwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Wakulima waangua kilio mahakamani
Wakulima 155 wa eneo lililo karibu na shamba na Mwekezaji wa Kapunga ya Rice Project, jana walidondosha machozi nje ya Mahakama ya Mkoa wa Mbeya baada ya mahakama hiyo kutupilia mbali kesi yao dhidi ya wafanyakazi watatu wa Kampuni ya Kapunga.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*p2ZPUXUElh3SporU1E1-0MeqCn-TyiwNSKhE-OfMA16pgzFw8zxlCjahBkCXZgAC1mYqySTer5w29qJo6Zvz8h/IMG_8468.jpg?width=650)
BIBI ALIYENASWA NA MADAWA YA KULEVYA AANGUA KILIO MAHAKAMANI
Bibi wa Kinigeria, Olabisi Ibidun Cole akipelekwa mahakamani. BIBI wa Kinigeria, Olabisi Ibidun Cole (65), leo ameangua kilio katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar ers Salaam wakati akipelekwa kizimbani kwa ajili ya kusomewa kesi yake ya kunaswa na madawa ya kulevya yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 37. Hakimu aliyepelekewa kesi hiyo, Frank Mushi, aliiahirisha kesi hiyo mpaka kesho ili bibi huyo ambaye...
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Pistorius kurejea mahakamani
Bingwa wa Olimpiki wa mbio za walemavu Oscar Pistorius anatarajiwa kurejea kortini leo kwa kikao cha kuomba apewe dhamana.
11 years ago
BBCSwahili07 Apr
Pistorius aanza kujitetea mahakamani
Oscar Pistorius ameanza kutoa utetezi wake katika kesi ya mauaji inayomkabili kwa kuwaomba radhi familia ya Reeva Steenkamp
10 years ago
MichuziKilio cha Mdau juu ya ushuru unaolipishwa katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo
Tunawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kutujuza mambo mbali mbali yanayoendelea hapa nchini na nje ya mipaka ya nchi yetu,tunawapa BIGI APU sana kwa kweli.
Kupitia libeneke la Globu ya Jamii,naomba nifikishie kero yangu hii kwa wahusika wa Halmashauri ya Jiji,maana leo nilifika pale kwenye stendi kuu ya mabasi (Ubungo Bus Terminal) na kukutana na utaratibu wa kulipisha kiasi cha sh. 300 ikiwa ni gharama ya maegesho ya...
10 years ago
Vijimambo18 Jan
Barabara ya Ndundu-Somanga yakamilika kwa kiwango cha Lami kilio cha watu wa mikoa ya kusini kwisha
11 years ago
BBCSwahili03 Mar
Pistorius:Moja kwa moja kutoka mahakamani
Kesi ya mauaji dhidi ya Oscar Pistorius imeanza nchini Afrika Kusini. Tazama moja kwa moja kutoka mahakamani
10 years ago
Michuzi08 Sep
10 years ago
Vijimambo14 Dec
KILIO CHA ALBINOS TANZANIA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/10/141210091106_albino_tz_0_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Mtobi Namigambo, ni mvuvi anayeuza samaki, amekaa kwa utulivi nje ya nyumba yake ya matope katika kisiwa cha ukerewa mahali ambapo zamani palikuwa makao ya albino lakini kwa sasa si hivyo. Mtoto wake wa miaka nne May Mosi ameketi kwenye paja lake akionyesha umarufu wake wa hisabati kwa kuhesabau moja hadi kumi kwa ujasiri.
Mara kwa mara Mtobi anamtazama mke wake, Sabina, ambaye ameketi kwa mkeka kando yake...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania