Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KILIO CHA ALBINOS TANZANIA

Wanachama wa chama cha maalbino wakitembelea kisiwani ambako wanaishi walemavu wa ngozi
Mtobi Namigambo, ni mvuvi anayeuza samaki, amekaa kwa utulivi nje ya nyumba yake ya matope katika kisiwa cha ukerewa mahali ambapo zamani palikuwa makao ya albino lakini kwa sasa si hivyo. Mtoto wake wa miaka nne May Mosi ameketi kwenye paja lake akionyesha umarufu wake wa hisabati kwa kuhesabau moja hadi kumi kwa ujasiri.
Mara kwa mara Mtobi anamtazama mke wake, Sabina, ambaye ameketi kwa mkeka kando yake...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kilio cha Albino Tanzania

Kisiwa cha Ukerewa ni hifadhi kwa Albino ambao maisha yao yamo hatarin kutokana na imani potovu kwamba viungo vya Albino vinaleta utajiri

 

10 years ago

Michuzi

Kilio cha Mdau juu ya ushuru unaolipishwa katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo

Salam kwako Ankal na timu nzima ya Globu ya Jamii,
Tunawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kutujuza mambo mbali mbali yanayoendelea hapa nchini na nje ya mipaka ya nchi yetu,tunawapa BIGI APU sana kwa kweli.
Kupitia libeneke la Globu ya Jamii,naomba nifikishie kero yangu hii kwa wahusika wa Halmashauri ya Jiji,maana leo nilifika pale kwenye stendi kuu ya mabasi (Ubungo Bus Terminal) na kukutana na  utaratibu wa kulipisha kiasi cha sh. 300 ikiwa ni gharama ya maegesho ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Barabara ya Ndundu-Somanga yakamilika kwa kiwango cha Lami kilio cha watu wa mikoa ya kusini kwisha

Sehemu ya barabara ya Ndundu –Somanga(KM 60) iliyokamilika kwa kiwango cha lami.Wanahabari wakimhoji Dereva wa basi la abiria kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam kuhusiana na kukamilika kwa sehemu ya barabara hiyo.Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Musa Iyombe akikagua sehemu ya barabara ya Ndundu –Somanga(KM 60) iliyokamilika kwa kiwango cha lami.
Ukaguzi wa barabara hiyo ukiendelea kama inavyoonekana.Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Musa Iyombe akiteremka kukagua tuta la barabara ya...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

BBCSwahili

Kilio cha wanafunzi Pakistan

Vikosi vya usalama nchini Pakistan vinasema vimeweza kudhibiti shule iliyovamiwa na wapiganaji wa Taliban katika jimbo la Peshawar Kaskazini Magharibi mwa Pakistan.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tamwa: Tumesikia kilio cha walemavu

MACHI, mwaka 1988 Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (Tamwa) kilizindua jarida linalojulikana ‘Sauti ya Siti’. Jarida hili lilikuwa na lengo la kuandika habari za wanawake ambazo zilikuwa hazitolewi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Marubani wazawa na kilio cha ajira

p>KILIO cha ukosefu wa ajira kimezidi kushamiri nchini, kwani wataalamu wa fani mbalimbali wamekuwa wakipaza sauti juu ya kukosekana kwa ajira. Baadhi ya wataalamu katika sekta mbalimbali wamekuwa wakilalamikia kutengwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahoji kilio cha Pistorius mahakamani

Upande wa mashitaka katika kesi ya mauaji dhidi ya Oscar Pistorius, umehoji kilio chake ukisema kuwa anataka tu kuhurumiwa.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yashangazwa na kilio cha sukari

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher ChizaSERIKALI imesema inashangazwa na madai ya kurundikana kwa bidhaa ya sukari kwenye maghala wakati ipo mikoa yenye uhaba wa sukari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani