Tamwa: Tumesikia kilio cha walemavu
MACHI, mwaka 1988 Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (Tamwa) kilizindua jarida linalojulikana ‘Sauti ya Siti’. Jarida hili lilikuwa na lengo la kuandika habari za wanawake ambazo zilikuwa hazitolewi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALEMAVU KITAIFA IRINGA , SERIKALI YA TANZANIA YAPIGA MARUFUKU UJENZI WA MAJENGO YASIYO RAFIKI NA WALEMAVU
10 years ago
MichuziKilio cha Mdau juu ya ushuru unaolipishwa katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo
Tunawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kutujuza mambo mbali mbali yanayoendelea hapa nchini na nje ya mipaka ya nchi yetu,tunawapa BIGI APU sana kwa kweli.
Kupitia libeneke la Globu ya Jamii,naomba nifikishie kero yangu hii kwa wahusika wa Halmashauri ya Jiji,maana leo nilifika pale kwenye stendi kuu ya mabasi (Ubungo Bus Terminal) na kukutana na utaratibu wa kulipisha kiasi cha sh. 300 ikiwa ni gharama ya maegesho ya...
10 years ago
Vijimambo18 Jan
Barabara ya Ndundu-Somanga yakamilika kwa kiwango cha Lami kilio cha watu wa mikoa ya kusini kwisha
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y1MknEa-lik/U1Vn9riWV6I/AAAAAAAFcOA/YLZQ2NIJFXw/s72-c/unnamed+(23).jpg)
MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA KITUO CHA WALEMAVU CHA RASIBURA NA KUTOA ZAWADI YA PASAKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y1MknEa-lik/U1Vn9riWV6I/AAAAAAAFcOA/YLZQ2NIJFXw/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Kt9QsyX1nwI/U1Vn-bQ2ZgI/AAAAAAAFcOI/TjuGQBz0Lhk/s1600/unnamed+(24).jpg)
10 years ago
Michuzi08 Sep
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Kilio cha wanafunzi Pakistan
10 years ago
BBCSwahili10 Dec
Kilio cha Albino Tanzania
10 years ago
Vijimambo14 Dec
KILIO CHA ALBINOS TANZANIA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/10/141210091106_albino_tz_0_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Mtobi Namigambo, ni mvuvi anayeuza samaki, amekaa kwa utulivi nje ya nyumba yake ya matope katika kisiwa cha ukerewa mahali ambapo zamani palikuwa makao ya albino lakini kwa sasa si hivyo. Mtoto wake wa miaka nne May Mosi ameketi kwenye paja lake akionyesha umarufu wake wa hisabati kwa kuhesabau moja hadi kumi kwa ujasiri.
Mara kwa mara Mtobi anamtazama mke wake, Sabina, ambaye ameketi kwa mkeka kando yake...
10 years ago
Bongo Movies01 Aug
Wasomi Sikieni Kilio Hiki cha JB
Jana nimesikitika sana...kuna kampuni mpya ambayo na mimi nina hisa zangu chache na wazungu fulani (nitaitangaza baadae) ilikuwa inataka watu wa masoko...dah mmh watu karibu 10 kwenye usahili. Wana madigree yao hawana mbinu mpya za kuingiza bidhaa hiyo sokoni..Kaja Mkenya kashinda.
Hivi elimu yetu inatuandaa kuwa tutakapomaliza tuwe chini ya mabosi tutakao wakuta kazini, elimu gani hiyo inashindwa kuikomboa jamii inayokuzunguka..elimu isiyoweza kuajiri hata watu 5...angalia hata kwenye fani...