Wasomi Sikieni Kilio Hiki cha JB
Jana nimesikitika sana...kuna kampuni mpya ambayo na mimi nina hisa zangu chache na wazungu fulani (nitaitangaza baadae) ilikuwa inataka watu wa masoko...dah mmh watu karibu 10 kwenye usahili. Wana madigree yao hawana mbinu mpya za kuingiza bidhaa hiyo sokoni..Kaja Mkenya kashinda.
Hivi elimu yetu inatuandaa kuwa tutakapomaliza tuwe chini ya mabosi tutakao wakuta kazini, elimu gani hiyo inashindwa kuikomboa jamii inayokuzunguka..elimu isiyoweza kuajiri hata watu 5...angalia hata kwenye fani...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Kilio cha taifa letu ni hiki hapa
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Rais Kikwete asikilize kilio hiki cha SHIWATA
MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) chini ya Mwenyekiti wake, Cassim Taalib, hivi karibuni uliitisha kongamano katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijiji Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wasanii, wanamichezo...
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Serikali, wadau wakisikie kilio hiki cha Chaneta
MASHINDANO ya netiboli kwa nchi za Afrika Mashariki yaliyoanza Machi 22 hadi 29 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, yamefikia tamati mwishoni mwa wiki. Licha ya mashindano hayo...
10 years ago
Mwananchi06 Mar
Kilio hiki cha Nida ni fedheha kwa Serikali
9 years ago
Mwananchi17 Aug
VIONJO VYA WIKI: Sikieni, uchaguzi wa 11 ni kipimajoto cha umoja, utaifa wetu
10 years ago
MichuziKilio cha Mdau juu ya ushuru unaolipishwa katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo
Tunawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kutujuza mambo mbali mbali yanayoendelea hapa nchini na nje ya mipaka ya nchi yetu,tunawapa BIGI APU sana kwa kweli.
Kupitia libeneke la Globu ya Jamii,naomba nifikishie kero yangu hii kwa wahusika wa Halmashauri ya Jiji,maana leo nilifika pale kwenye stendi kuu ya mabasi (Ubungo Bus Terminal) na kukutana na utaratibu wa kulipisha kiasi cha sh. 300 ikiwa ni gharama ya maegesho ya...
10 years ago
Vijimambo18 Jan
Barabara ya Ndundu-Somanga yakamilika kwa kiwango cha Lami kilio cha watu wa mikoa ya kusini kwisha
5 years ago
Bongo514 Feb
Hiki ndio kikosi cha PFA cha wachezaji 11 bora Uingereza msimu huu
Chama cha wachezaji soka wakulipwa Uingereza (PFA) kimetaja kikosi chake bora cha ligi hiyo kwa msimu huu unaoelekea ukingoni.
Timu ya Chelsea na Tottenham Hotspurs ndizo zimeongoza kutoa wachezaji wengi katika kikosi hicho ambapo kila timu imetoa wachezaji wanne. Wachezaji wa Chelsea walioingia katika kikosi hicho ni pamoja na Gary Cahil, David Luiz, N’golo Kante na Eden Hazard.
Nao waliochaguliwa kutoka Spurs ni Kyle Walker, Danny Rose, Dele Alli na Harry Kane. Wachezaji wengine...
10 years ago
BBCSwahili10 Dec
Kilio cha Albino Tanzania