Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali, wadau wakisikie kilio hiki cha Chaneta

MASHINDANO ya netiboli kwa nchi za Afrika Mashariki yaliyoanza Machi 22 hadi 29 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, yamefikia tamati mwishoni mwa wiki. Licha ya mashindano hayo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kilio hiki cha Nida ni fedheha kwa Serikali

Kilio cha sasa cha Wakala wa Vitambulisho vya Taifa (Nida) kwamba hawana fedha wala wafanyakazi wa kutosha, siyo kipya kwenye masikio ya Watanzania. 

 

10 years ago

Bongo Movies

Wasomi Sikieni Kilio Hiki cha JB

Jana nimesikitika sana...kuna kampuni mpya ambayo na mimi nina hisa zangu chache na wazungu fulani (nitaitangaza baadae) ilikuwa inataka watu wa masoko...dah mmh watu karibu 10 kwenye usahili. Wana madigree yao hawana mbinu mpya za kuingiza bidhaa hiyo sokoni..Kaja Mkenya kashinda.

Hivi elimu yetu inatuandaa kuwa tutakapomaliza tuwe chini ya mabosi tutakao wakuta kazini, elimu gani hiyo inashindwa kuikomboa jamii inayokuzunguka..elimu isiyoweza kuajiri hata watu 5...angalia hata kwenye fani...

 

10 years ago

Mwananchi

Kilio cha taifa letu ni hiki hapa

Kuongozwa kwa fedha badala ya fikra, tumepotea njia salama, tupo gizani Kilio cha taifa letu ni uongozi! Ili tupige hatua kutoka hapa tulipo sasa, tunahitaji kiongozi bora, mzalendo na anayeishi maisha ya Watanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rais Kikwete asikilize kilio hiki cha SHIWATA

MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) chini ya Mwenyekiti wake, Cassim Taalib, hivi karibuni uliitisha kongamano katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijiji Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wasanii, wanamichezo...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yashangazwa na kilio cha sukari

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher ChizaSERIKALI imesema inashangazwa na madai ya kurundikana kwa bidhaa ya sukari kwenye maghala wakati ipo mikoa yenye uhaba wa sukari.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wadau CHANETA kukutana Feb. 25

CHAMA cha Netiboli Tanzania (CHANETA), kinatarajia kukutana tena na wadau Februari 25 kwa lengo la kujadili mambo mbalimbali ya maendeleo ya mchezo huo unaokabiliwa na changamoto nyingi kubwa ikiwa ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali isikilize kilio cha wakulima wa pamba

Juni 18 mwaka huu, Bodi ya Pamba (TCB) ilitangaza kuanza kwa msimu mpya wa uvunaji wa zao hilo, sambamba na kutangaza bei mpya kwa msimu wa mwaka 2014/15 kwa wakulima kutoka Kanda ya Ziwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yasikia kilio cha ajira kwa vijana

Vijana zaidi ya 1,000 kutoka katika vikundi 36 katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wanatarajiwa kupewa maeneo ya kilimo na Serikali ili kuwainua kiuchumi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali isikilize kilio cha walimu kuhusu mafao

CHAMA cha Walimu Wilaya ya Ilala, kimelalamikia rasimu mpya ya mapendekezo ya kuimarisha mifuko ya hifadhi ya jamii iliyotolewa hivi karibuni na Wizara ya Kazi na Ajira ambayo imebadili mfumo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani