Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Kikwete asikilize kilio hiki cha SHIWATA

MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) chini ya Mwenyekiti wake, Cassim Taalib, hivi karibuni uliitisha kongamano katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijiji Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wasanii, wanamichezo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Rais Kikwete sikia kilio cha wafanyabiashara

KATIKA siku za karibuni wafanyabiashara nchini wapo kwenye mgomo wa kushinikiza kutotumika kwa mashine za kielektroniki za kukusanya kodi ya mapato, mashine hizo zinasambazwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)....

 

10 years ago

Bongo Movies

Wasomi Sikieni Kilio Hiki cha JB

Jana nimesikitika sana...kuna kampuni mpya ambayo na mimi nina hisa zangu chache na wazungu fulani (nitaitangaza baadae) ilikuwa inataka watu wa masoko...dah mmh watu karibu 10 kwenye usahili. Wana madigree yao hawana mbinu mpya za kuingiza bidhaa hiyo sokoni..Kaja Mkenya kashinda.

Hivi elimu yetu inatuandaa kuwa tutakapomaliza tuwe chini ya mabosi tutakao wakuta kazini, elimu gani hiyo inashindwa kuikomboa jamii inayokuzunguka..elimu isiyoweza kuajiri hata watu 5...angalia hata kwenye fani...

 

10 years ago

Mwananchi

Kilio cha taifa letu ni hiki hapa

Kuongozwa kwa fedha badala ya fikra, tumepotea njia salama, tupo gizani Kilio cha taifa letu ni uongozi! Ili tupige hatua kutoka hapa tulipo sasa, tunahitaji kiongozi bora, mzalendo na anayeishi maisha ya Watanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Kilio hiki cha Nida ni fedheha kwa Serikali

Kilio cha sasa cha Wakala wa Vitambulisho vya Taifa (Nida) kwamba hawana fedha wala wafanyakazi wa kutosha, siyo kipya kwenye masikio ya Watanzania. 

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali, wadau wakisikie kilio hiki cha Chaneta

MASHINDANO ya netiboli kwa nchi za Afrika Mashariki yaliyoanza Machi 22 hadi 29 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, yamefikia tamati mwishoni mwa wiki. Licha ya mashindano hayo...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA LEO, TANO BORA YA WAGOMBEA KUPATIKANA BAADA YA KIKAO HIKI

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM (CC) kinachoendelea hivi sasa kwenye Ukumbi wa White House, Makao Makuu ya CCM, Mjini Dodoma. Kikao hiki kinapitia majina yote 38 ya Watangaza nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya CCM, ambapo majina matano yatapatikana baada ya kikao hiki.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM - Zanzibar, Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein, Makamu Mwenyekiti wa CCM - Bara,...

 

10 years ago

Mwananchi

Mnyika ‘amvaa’ Kikwete kilio cha maji Ubungo

Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika amemtaka Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi ya kuwapatia wananchi wake huduma ya maji aliyoitoa mwaka mmoja uliopita.

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA KIFO CHA ALIYEKUWA RAIS WA BURUNDI, NKURUNZIZA


 Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Burundi DSM kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais Burundi, Nkurunziza, Kikwete amefahamiana na Nkurunzinza kwa zaidi ya miaka 20 tangu wakati wa mazungumzo ya amani ya Burundi.



 

11 years ago

Tanzania Daima

Bravo Kikwete kuitambua SHIWATA na malengo yake

MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) chini ya Mwenyekiti wake, Caasim Taalib, leo wanafanya kongamano la umoja na mshikamano, tukio litakalofanyika katika viwanja vya Hoteli ya Lamada, jijini Dar es Salaam....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani