Kilio cha wanafunzi Pakistan
Vikosi vya usalama nchini Pakistan vinasema vimeweza kudhibiti shule iliyovamiwa na wapiganaji wa Taliban katika jimbo la Peshawar Kaskazini Magharibi mwa Pakistan.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Taliban laua wanafunzi Pakistan
Wapiganaji wa kundi la Taliban wamevamia shule moja inayoendeshwa na jeshi la Pakistan.
10 years ago
MichuziKilio cha Mdau juu ya ushuru unaolipishwa katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo
Tunawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kutujuza mambo mbali mbali yanayoendelea hapa nchini na nje ya mipaka ya nchi yetu,tunawapa BIGI APU sana kwa kweli.
Kupitia libeneke la Globu ya Jamii,naomba nifikishie kero yangu hii kwa wahusika wa Halmashauri ya Jiji,maana leo nilifika pale kwenye stendi kuu ya mabasi (Ubungo Bus Terminal) na kukutana na utaratibu wa kulipisha kiasi cha sh. 300 ikiwa ni gharama ya maegesho ya...
10 years ago
Vijimambo18 Jan
Barabara ya Ndundu-Somanga yakamilika kwa kiwango cha Lami kilio cha watu wa mikoa ya kusini kwisha
10 years ago
Michuzi08 Sep
10 years ago
Vijimambo14 Dec
KILIO CHA ALBINOS TANZANIA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/10/141210091106_albino_tz_0_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Mtobi Namigambo, ni mvuvi anayeuza samaki, amekaa kwa utulivi nje ya nyumba yake ya matope katika kisiwa cha ukerewa mahali ambapo zamani palikuwa makao ya albino lakini kwa sasa si hivyo. Mtoto wake wa miaka nne May Mosi ameketi kwenye paja lake akionyesha umarufu wake wa hisabati kwa kuhesabau moja hadi kumi kwa ujasiri.
Mara kwa mara Mtobi anamtazama mke wake, Sabina, ambaye ameketi kwa mkeka kando yake...
10 years ago
BBCSwahili10 Dec
Kilio cha Albino Tanzania
Kisiwa cha Ukerewa ni hifadhi kwa Albino ambao maisha yao yamo hatarin kutokana na imani potovu kwamba viungo vya Albino vinaleta utajiri
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Kilio cha wakulima wa Karafuu Pemba
Wakulima wa karafuu sasa wanasema wanahitaji serikali yao kuwasaidia zaidi ili kuweza kuendeleza kilimo cha zao hilo walilolima kwa miaka mingi.
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Marubani wazawa na kilio cha ajira
p>KILIO cha ukosefu wa ajira kimezidi kushamiri nchini, kwani wataalamu wa fani mbalimbali wamekuwa wakipaza sauti juu ya kukosekana kwa ajira. Baadhi ya wataalamu katika sekta mbalimbali wamekuwa wakilalamikia kutengwa...
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Tamwa: Tumesikia kilio cha walemavu
MACHI, mwaka 1988 Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (Tamwa) kilizindua jarida linalojulikana ‘Sauti ya Siti’. Jarida hili lilikuwa na lengo la kuandika habari za wanawake ambazo zilikuwa hazitolewi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania