Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pistorius kurejea mahakamani

Bingwa wa Olimpiki wa mbio za walemavu Oscar Pistorius anatarajiwa kurejea kortini leo kwa kikao cha kuomba apewe dhamana.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Pistorius aanza kujitetea mahakamani

Oscar Pistorius ameanza kutoa utetezi wake katika kesi ya mauaji inayomkabili kwa kuwaomba radhi familia ya Reeva Steenkamp

 

11 years ago

BBCSwahili

Wahoji kilio cha Pistorius mahakamani

Upande wa mashitaka katika kesi ya mauaji dhidi ya Oscar Pistorius, umehoji kilio chake ukisema kuwa anataka tu kuhurumiwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Pistorius:Moja kwa moja kutoka mahakamani

Kesi ya mauaji dhidi ya Oscar Pistorius imeanza nchini Afrika Kusini. Tazama moja kwa moja kutoka mahakamani

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete kurejea Jumamosi

Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kurejea nchini Jumamosi, Novemba 29 baada ya taratibu za matibabu yake nchini Marekani kukamilika.

 

11 years ago

BBCSwahili

Beckham kurejea uwanjani

David Beckham amedokeza kuwa huenda akarejea uwanjani huko Marekani .

 

10 years ago

Vijimambo

Okwi kurejea Simba.

Mshambuliaji Emmanuel Okwi ambaye uhamisho wake daima umekuwa ukizungukwa na maswali kila aendako, ameingia katika utata mwingine baada ya ripoti mpya kudai kwamba alisaini mkataba wa miaka mitano wa kuichezea timu ya SønderjyskE licha ya timu hiyo ya Denmark kutotoa hata senti kwa klabu yake ya Simba.

Utata huo mpya umefuatia Wadenmark hao kutaka kumrejesha Okwi Simba kwa mkopo wa miezi sita baada ya kukwama kuipata leseni yake ya uhamisho ya kimataifa (ITC), ambayo Simba imesema haitaitoa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mo Farah kurejea michezoni

Mo Farah ametamka kuwa anarejea ulingoni kwa mara ya kwanza baada ya kuwepo kwa tuhuma za matumizi ya dawa za kusisimua misuli

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Treni ya Mwakyembe’ kurejea Jumatatu

UONGOZI wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), imesitisha huduma ya usafiri wa treni jijini Dar es Salaam, maarufu kama ‘ Treni ya Mwakyembe’ hadi keshokutwa itakaporejea kama kawaida. Kwa mujibu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Stars kurejea Dar kesho

WAKATI timu ya taifa ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’, ikitarajiwa kurejea jijini Dar es Salaam kesho ikitokea kambini jijini Mbeya, wachezaji wana matumaini makubwa ya kuvuka kikwazo cha Msumbiji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani