Wahoji Mbowe kwenda Ubungo
Dar es Salaam. Kitendo cha Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kwenda katika Kituo cha Mabasi cha Ubungo (UBT) kuwashawishi madereva kusitisha mgomo kimepokewa kwa hisia tofauti na wananchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziABILIA WAKIWA STENDI KUU YA MABASI YA KWENDA MIKOANI (UBUNGO)
10 years ago
Dewji Blog06 May
Exclusive siku ya pili mgomo wa Madereva;Mbowe wa Chadema atinga Ubungo na kushangiliwa
Mbunge wa Hai na Mkuu wa Kambi ya upinzani Bungeni, Mh. Freeman Mbowe akiwasili kwenye ofisi za madereva Ubungo muda huu huku akishangiliwa…
Na Andrew Chale, Modewji blog
Mgomo ambao ulianza jana na kuendelea hadi leo Mei 5, umechukua sura mpya baada ya hali tete ya kutoelewana baina ya viongozi wa madereva na baadhi ya viongozi wa Serikali ikiwemo jeshi la Polisi nchini, akiongozwa na Kamanda Mpinga, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ambapo viongozi hao na madereva licha ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-79kiWldrAZE/XmeoFSY9pNI/AAAAAAALidk/gz4WGG1rxYw8YolJEAyuhVvk0tFF-CD_QCLcBGAsYHQ/s72-c/6b10e311-1563-4943-afd8-56d6691deb2f.jpg)
BREAKING NEWZZZZ: MBOWE,WENZAKE WATAKIWA KULIPA FAINI YA SHILINGI MILIONI 350 AU KWENDA JELA MIEZI MITANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-79kiWldrAZE/XmeoFSY9pNI/AAAAAAALidk/gz4WGG1rxYw8YolJEAyuhVvk0tFF-CD_QCLcBGAsYHQ/s640/6b10e311-1563-4943-afd8-56d6691deb2f.jpg)
Hukumu hiyo iliyochukua takribani saa nne imesomwa na Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba amesema upande wa mashtaka unaweza kuthibitisha pasipo kuacha shtaka...
10 years ago
Dewji Blog14 Dec
Neno la leo: kwenda kupiga kura ni kwenda kuchagua
Blogger Maggid Mjengwa.
Ndugu zangu,
Leo ni siku ya kupiga kura kwenye Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji. Huu ni Uchaguzi Muhimu sana katika nchi. Uchaguzi huu ndio MSINGI wa siasa kubwa za Kitaifa.
Siasa ya nchi inaanzia kwenye Mtaa, Kijiji na Kitongoji. Na hakika, siku ya leo ilipaswa uwe ni uchaguzi pia kwa ngazi ya Manispaa na Halmshauri, kwa maana ya kuwachagua Madiwani.
Inahusu Serikali za Mitaa ( Local Goverment). Nimepata kuandika, kuwa Mahtama Ghandhi alipata kusema, kuwa...
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Wahoji umeme utakuja lini
9 years ago
Raia Mwema19 Aug
Mbeya wahoji uadilifu viongozi wa Ukawa
MKUTANO wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) uliofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Lua
Felix Mwakyembe
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Madiwani wahoji sifuri sekondari za kata
MADIWANI wa Halmashauri ya Ushetu, wilayani Kahama, wamehoji watoto wanaosoma na kumaliza katika shule za sekondari za kata huku wengi wao wakiambulia kupata alama sifuri na kusababisha kubaki vijijini bila...
11 years ago
Habarileo03 Mar
Wawakilishi Zanzibar wahoji Baraza lao
WAKATI Bunge Maalumu la Katiba, likitarajiwa kukutana leo kuamua kura gani itumike katika uamuzi wa mwisho wa kupitisha Katiba itakayopendekezwa kwa wananchi, wawakilishi wanachama wa CCM, wameibuka na kuhoji maoni ya Baraza la Wawakilishi kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Wananchi wahoji utata upigaji kura