JALADA LA LOWASA KUWEKWA HADHARANI
![](http://api.ning.com:80/files/j2M1I3T7jzlHdf*-WP*p3wVytfxWF1M3qfnRwoCCFWooaB*azwXbM5Hq2o79CHlLb1RT8EFHMNhpCmEoFGkTUL3kYnljA5OB/LOWASSAEdward.jpg?width=650)
Edward Lowassa Na Mwandishi Wetu  DHORUBA ya kisiasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, inazidi kutibua mawimbi kufuatia kunaswa kwa harakati za kuchafuana miongoni mwa wagombea wa nafasi ya urais kupitia chama hicho. Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali nchini, imebainika kuwa pamoja na watangaza nia wengine kuwindwa na mkakati huu, mlengwa mkuu ni waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo05 Dec
Waliosamehewa kodi kuwekwa hadharani
MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) inaandaa orodha ya watu waliopewa misamaha ya kodi na kiwango walichopewa na kuwatangaza lengo likiwa ni kuongeza uwazi kwa wananchi kujua kiwango cha misamaha.
11 years ago
Habarileo31 Jul
Waliopiga mabomu kuwekwa hadharani
WATUHUMIWA wa mabomu katika maeneo mbalimbali mkoani Arusha, watawekwa hadharani hivi karibuni ikiwa ni pamoja na umma kuelezwa kilichotokea na waliowatuma.
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Kilichomuua Mgimwa kuwekwa hadharani Jumapili
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Mgombea wa urais CCM kuwekwa hadharani leo
9 years ago
Mtanzania30 Sep
Video za ngono za Jennifer Lopez kuwekwa hadharani
NEW YORK, MAREKANI
ALIYEWAHI kuwa mume wa msanii nyota nchini Marekani, Jennifer Lopez ‘JLo’, Noa Ojani, amesema anatarajia kuachia video za ngono za mke wake huyo wa zamani.
Video hiyo ilichezwa na wapenzi hao wawili wakati walipokuwa katika uhusiano wa kimapenzi lakini ipo mikononi mwa mwanamume huyo ambaye waliachana miezi 11 tangu kufungwa kwa ndoa yao mwaka 1997.
Pia, Ojani amesema atatoa kopi nyingi za video hiyo ili iweze kusambaa kwa kuwa J. Lo ameshindwa kutimiza
makubaliano yao...
9 years ago
MichuziTAARIFA ZA TAKWIMU SASA KUWEKWA HADHARANI ILI WANANCHI WATOE MAONI YAO JUU YA MAENDELEO
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/qbn-hmie8EI/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Washtakiwa wahoji lilipo jalada lao