Waliosamehewa kodi kuwekwa hadharani
MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) inaandaa orodha ya watu waliopewa misamaha ya kodi na kiwango walichopewa na kuwatangaza lengo likiwa ni kuongeza uwazi kwa wananchi kujua kiwango cha misamaha.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j2M1I3T7jzlHdf*-WP*p3wVytfxWF1M3qfnRwoCCFWooaB*azwXbM5Hq2o79CHlLb1RT8EFHMNhpCmEoFGkTUL3kYnljA5OB/LOWASSAEdward.jpg?width=650)
JALADA LA LOWASA KUWEKWA HADHARANI
11 years ago
Habarileo31 Jul
Waliopiga mabomu kuwekwa hadharani
WATUHUMIWA wa mabomu katika maeneo mbalimbali mkoani Arusha, watawekwa hadharani hivi karibuni ikiwa ni pamoja na umma kuelezwa kilichotokea na waliowatuma.
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Kilichomuua Mgimwa kuwekwa hadharani Jumapili
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Mgombea wa urais CCM kuwekwa hadharani leo
9 years ago
Mtanzania30 Sep
Video za ngono za Jennifer Lopez kuwekwa hadharani
NEW YORK, MAREKANI
ALIYEWAHI kuwa mume wa msanii nyota nchini Marekani, Jennifer Lopez ‘JLo’, Noa Ojani, amesema anatarajia kuachia video za ngono za mke wake huyo wa zamani.
Video hiyo ilichezwa na wapenzi hao wawili wakati walipokuwa katika uhusiano wa kimapenzi lakini ipo mikononi mwa mwanamume huyo ambaye waliachana miezi 11 tangu kufungwa kwa ndoa yao mwaka 1997.
Pia, Ojani amesema atatoa kopi nyingi za video hiyo ili iweze kusambaa kwa kuwa J. Lo ameshindwa kutimiza
makubaliano yao...
9 years ago
MichuziTAARIFA ZA TAKWIMU SASA KUWEKWA HADHARANI ILI WANANCHI WATOE MAONI YAO JUU YA MAENDELEO
9 years ago
Habarileo13 Dec
Walioshindwa kulipa kodi hadharani
MAKAMPUNI 15 yaliyokwepa kodi baada ya kutorosha makontena yao, yamejisalimisha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), lakini yameshindwa kulipa kodi ndani ya siku saba za msamaha wa Rais John Magufuli.
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…
Mipango ya Rais Magufuli kuendelea kupambana na wabadhirifu wa mapato ya Serikali yameendeela kuchukua sura mpya. Kupitia Mamlaka ya Mapato TRA Rais aliweza kufanya mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kuwaondoa watendaji ambao walihusika katika upotevu wa fedha za umma pamoja na kuwabana wakwepa kodi ambao ni wafanyabiashara wakubwa. Kingine kilichonifikia leo kutoa kutoka kwa […]
The post Matatu kutoka TRA >>>makusanyo ya kodi yaliyofikiwa, usajili wa pikipiki, walioshindwa kulipa kodi…...