Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Taifa Babati vijijini

3

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini Ndugu Vrajilal JituSon mara baada ya kuwasili na kupokelewa katika Kata ya Mangara wilaya ya Babati Vijijini.Katibu Mkuu wa CCM yupo ziarani katika mkoa wa Manyara ambapo atafanya shughuli za kimaendeleo ikiwemo kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kukagua uhai wa chama.

5

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa amezungukwa na wakazi wa Kata ya Mangara wilayani...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWASILI WILAYANI BABATI LEO, AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOANI MANYARA

Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana ukivuka katika mto Magara mapema leo asubuhi kuelekea wilayani Babati mkoani Manyara.Kinana ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi,siasa na Uenezi Nape Nnauye,wakiwa kwenye ziara ya siku saba ya kukagua kuhimiza na kusukuma miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Chama,kukagua maandalizi ya uchaguzi ya serikali za mitaa,kusikiliza kero za wananchi na kuzitafututia ufumbuzi. Baadhi ya Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Magara...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE BUKOBA VIJIJINI LEO MKOANI KAGERA.

Wananchi wa kijii cha Rukoma kata ya Rukoma wakiwa wamekusanyika wakimsilikiza Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana alipokuwa akiwahutubia katika mkutano wa hadhara jioni ya leo Bukoba vijijini.Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwahutubia Wananchi wa kijiji cha Katoro jioni ya leo wilayani Bukoba vijijini,mkoani Kagera. Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye akiwahutubia Wananchi wa kijiji cha Katoro jioni ya leo wilayani Bukoba Vijijini,mkoani Kagera.  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...

 

11 years ago

GPL

TAMKO LA WENYEVITI WA CCM-MIKOA LA KUMPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM NDG. ABDULRAHAMAN OMAR KINANA NA SEKRETARIETI YA CCM TAIFA

Mgana Izumbe Msindai – Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM wa Mikoa akitoa tamko hilo kwenye makao makuu ya Chama Chama Mapinduzi Ofisi ndogo Lumumba jijini Dar es salaam leo,kulia ni Haji Juma Haji – Makamu Mwenyekiti Wa Wenyeviti Mikoa na kushoto ni Lucas Ole Mukusi – Katibu wa Wenyeviti Mikoa. ................................................................................................................ Sisi...

 

10 years ago

Michuzi

ZIARA YA KATIBU MKUU NDUGU KINANA NDANI YA JIMBO LA MOSHI VIJIJINI,LEO KUUNGURUMA JIMBO LA VUNJO MKOANI KILIMANJARO

Wakazi wa  eneo la Kwa Mangi kata ya Kibosho Kati  wakimsikiliza   Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana alipokuwa akiwahutubia,Kinana aliwaeleza wananchi hao kuwa kuna baadhi ya watu wanaotaka nafasi za Uongozi wamekuwa wakijipitisha pitisha kuomba uongozi,hivyo amewaonya na kuwatahadharisha kutojipitisha pitisha kugombea nafasi za uongozi kabla ya muda kuisha na kutangazwa.  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa  Kwa Mangi kata ya Kibosho Kati ambapo...

 

10 years ago

Michuzi

MSAFARA WA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA WAPOKELEWA KWA FARASI MIKOCHENI -WILAYA YA MOSHI VIJIJINI

 Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana ukipokelewa kwa farasi wakati wakiwasili katika kata ya TPC kijiji cha Mikocheni wilaya ya Moshi Vijijni mapema leo asubuhi,tayari kwa kuanza ziara ya jimbo la Moshi Vijijini mkoa wa Kilimanjaro.Ndugu Kinana alizungumza na Wananchi wa kijiji hicho na kuzisikiliza matatizo yao,hasa suala la Ardhi.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akiwa ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wako mkoani Kilimanjaro katika ziara ya siku...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM - ARUSHA

 KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia mkutano wa hadhara mjini Mondoli, mkoani Arusha..
 KATIBU Mkuu wa CCM, Kinana, akiwasha umeme, kuzindua umeme Mradi wa umeme, katika Kijiji cha Lolkisal, wilayani Monduli.

KATIBU wa halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akihutubia m,kutano wa hadhara, Mto wa Mbu, wilayani Monduli.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM - BAHI

KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akisoma bango la wananchi wa kijiji cha Msisi, waliokuwa wakilalamikia shule yao ya msingi ya Msisi kutoezekwa paa tangu lilipoezuliwa na upepo mkali mwaka 2011. (Picha zote na Adam Mzee).KINANA (kushoto), Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa (katikati) na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa, wakishiriki kuandaa shamba la zabibu, katika Kijijini cha Lamaiti wilayani BahiKATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akipata mapokezi makubwa...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM - DODOMA

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulraman Kinana, akihutubia wakazi wa kitongoji cha Itolwa wilayani Chemba, mkoani Dodoma juzi,  ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kujenga na kuimarisha Chama pamoja na kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM.KATIBU wa NEC,  Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akiwahutubia wakazi wa Itolwa.

HII ni sehemu ya umati wa wananchi wa kitongoji cha Itolwa, waliofurika kusikiliza hotuba za viongozi wa juu wa CCM.

MBUNGE wa Jimbo la Kondoa Kusini,  Juma Nkamia, akiwahutubia wakazi wa...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM, MKOA WAKILIMANJARO

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Novatus Makunga, alipowasili katika Kijiji cha Mikocheni, Wilaya ya Moshi,mkoani Kilimanjaro, kuendelea na ziara yake ya kuhimiza uhai wa Chama na kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM mkoani humo.
MWENYEKITI wa CCM wilaya ya Moshi Vijijini, Gabriel Massenga, akihutubia wananchi, katika Kijiji cha Mikocheni.
KATIBU Mkuu wa CCM, Kinana,akishiriki uvunaji wa mpunga katika shamba lakilimo cha umwagiliaji la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani