ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM - BAHI
![](http://3.bp.blogspot.com/--vfZPCK1P5w/VQBiEirG5nI/AAAAAAAAB8Q/hHUy5xdmBAM/s72-c/K%2B8.jpg)
KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akisoma bango la wananchi wa kijiji cha Msisi, waliokuwa wakilalamikia shule yao ya msingi ya Msisi kutoezekwa paa tangu lilipoezuliwa na upepo mkali mwaka 2011. (Picha zote na Adam Mzee).
KINANA (kushoto), Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa (katikati) na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa, wakishiriki kuandaa shamba la zabibu, katika Kijijini cha Lamaiti wilayani Bahi
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akipata mapokezi makubwa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ORsmQ-Sw3uc/VP-lGwLE6RI/AAAAAAAAX1M/yS1bOL6ubKY/s72-c/2.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM WILAYA YA BAHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-ORsmQ-Sw3uc/VP-lGwLE6RI/AAAAAAAAX1M/yS1bOL6ubKY/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu yupo kwenye ziara ya kujenga na kukiimarisha Chama mkoani Dodoma pamoja na kukagua na kuhimiza utekelezaji wa ilayni ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010.
![](http://3.bp.blogspot.com/-CATpZUPGaS8/VP-llmVTH5I/AAAAAAAAX3Q/fbu0jcrZddI/s1600/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OI6dt4EUwE4/VP9TOFkBAII/AAAAAAAC1Xw/-G_QgpUhrq8/s72-c/16.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA YAZIDI KUCHANJA MBUGA JIMBO LA BAHI,KESHO KUIVURUGA KONDOA
![](http://3.bp.blogspot.com/-OI6dt4EUwE4/VP9TOFkBAII/AAAAAAAC1Xw/-G_QgpUhrq8/s1600/16.jpg)
Ndugu Kinana amezungumza na wananchi hao waliokuwa wamebeba mabango na kuzuia msafara wake,kutokana na matatizo yaliyokuwapo katika kijiji hicho na kukosa ufumbuzi kwa muda mrefu.Wananchi hao walikuwa na lalamiko lao moja kubwa lililohusu shule yao ya msingi ya Msisi,ambayo madarasa yake mawili yaliezuliwa...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-DSEOvb5CDpg/VQGO0iNJhDI/AAAAAAAAB9Y/UmkTKyko3Kw/s72-c/MM%2B1.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM - DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-DSEOvb5CDpg/VQGO0iNJhDI/AAAAAAAAB9Y/UmkTKyko3Kw/s1600/MM%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-scCj3ofaZYY/VQGOe4wtOjI/AAAAAAAAB9Q/LrOABtPtx7M/s1600/MM%2B3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-F0sN0aQWvvM/VQGOEkn7b_I/AAAAAAAAB9I/8GLFv4IISPg/s1600/MM%2B4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PoqjRN0W-r0/VQGN08J_JRI/AAAAAAAAB9A/o-2hBL9iZg4/s1600/MM%2B5.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-Ip6rg6Fo_Ts/VQQ9KM5O52I/AAAAAAAAB-0/NBj4B_a-1QA/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM - ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ip6rg6Fo_Ts/VQQ9KM5O52I/AAAAAAAAB-0/NBj4B_a-1QA/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GBv89f2iefo/VQQ9XIrnVhI/AAAAAAAAB-8/Q4SdnXXUMMs/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Oe38CnTQ3YY/VQQ9ZDRKtWI/AAAAAAAAB_E/GToIEwKBMdU/s1600/3.jpg)
KATIBU wa halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akihutubia m,kutano wa hadhara, Mto wa Mbu, wilayani Monduli.
10 years ago
Dewji Blog28 Sep
Ziara ya Katibu Mkuu wa CCM jimbo la Mlalo
![](http://1.bp.blogspot.com/-ld2KHI4AHM8/VCg98X3EbdI/AAAAAAAARgk/a6T_BqMBrsE/s1600/3.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimu wakazi wa kijiji cha Kwekangaga ikiwa siku ya pili ya ziara yake katika wilaya Lushoto ambapo alishiriki ujenzi wa ofisi ya tawi la CCM.
![](http://1.bp.blogspot.com/-0HP1wHUsBvE/VCg9-j6EXEI/AAAAAAAARgs/I9hRStOcX0Q/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisoma taarifa ya ujenzi wa jengo la ofisi ya tawi la Kwekangaga ambayo imesema ujenzi wa ofisi hiyo ungegharimu shilingi milioni 45 za kitanzania ,Katibu Mkuu aliigomea taaraifa hiyo baada ya kupata ukweli kuwa ofisi hiyo ingegharimu shilingi milioni...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-tYjV_rSAyOw/VRKmmA7vd6I/AAAAAAAACBo/kASVt6GMe-0/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM, MKOA WAKILIMANJARO
![](http://2.bp.blogspot.com/-tYjV_rSAyOw/VRKmmA7vd6I/AAAAAAAACBo/kASVt6GMe-0/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4cxxUvxv0U8/VRKmnE5dJjI/AAAAAAAACBw/UXQbv_mVz74/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2hF43bW-k0s/VRKmp4ung7I/AAAAAAAACB4/_T8EB5cPbGg/s1600/3.jpg)
11 years ago
Dewji Blog30 May
Ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Taifa Babati vijijini
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini Ndugu Vrajilal JituSon mara baada ya kuwasili na kupokelewa katika Kata ya Mangara wilaya ya Babati Vijijini.Katibu Mkuu wa CCM yupo ziarani katika mkoa wa Manyara ambapo atafanya shughuli za kimaendeleo ikiwemo kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kukagua uhai wa chama.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa amezungukwa na wakazi wa Kata ya Mangara wilayani...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/--SBg1i8_S2A/VQbtubDB40I/AAAAAAAAB_s/00upnJYCBmE/s72-c/mbili.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM Arusha - Komrade Abdulrahman Kinana
![](http://4.bp.blogspot.com/--SBg1i8_S2A/VQbtubDB40I/AAAAAAAAB_s/00upnJYCBmE/s1600/mbili.jpg)
Kaika Ole Telele (kulia) na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha, Onesmo Ole Nangole.
![](http://4.bp.blogspot.com/-5SOMRzf5D-I/VQbtv2t3abI/AAAAAAAAB_0/AntViu3F_Qc/s1600/nane.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zkTDHcMFBgo/VQbtwyiunuI/AAAAAAAAB_8/wz4rvrAtRPo/s1600/saba.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3bbvgaCPI8o/VQbtyBJeWvI/AAAAAAAACAE/Z8Jwz3FfG-g/s1600/sita.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XiLPxiXWAlY/VZNlf36K5YI/AAAAAAAAgV0/DiDLjPpQEPM/s72-c/3.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDANI YA VISIWA VYA UKEREWE
![](http://1.bp.blogspot.com/-XiLPxiXWAlY/VZNlf36K5YI/AAAAAAAAgV0/DiDLjPpQEPM/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EreGHRFRKE0/VZNnRBQynrI/AAAAAAAAgWI/JBeBw1fqx0Y/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-99M6Y2gLXts/VZNp53LW5ZI/AAAAAAAAgXA/e130VDKEJhU/s640/5.jpg)