ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM - DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-DSEOvb5CDpg/VQGO0iNJhDI/AAAAAAAAB9Y/UmkTKyko3Kw/s72-c/MM%2B1.jpg)
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulraman Kinana, akihutubia wakazi wa kitongoji cha Itolwa wilayani Chemba, mkoani Dodoma juzi, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kujenga na kuimarisha Chama pamoja na kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM.
KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akiwahutubia wakazi wa Itolwa.
HII ni sehemu ya umati wa wananchi wa kitongoji cha Itolwa, waliofurika kusikiliza hotuba za viongozi wa juu wa CCM.
MBUNGE wa Jimbo la Kondoa Kusini, Juma Nkamia, akiwahutubia wakazi wa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gGudHkDewkw/VQD3FrWZvGI/AAAAAAAC1bg/Hs_-CEOQHKg/s72-c/17.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA WILAYANI CHEMBA MKOANI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-gGudHkDewkw/VQD3FrWZvGI/AAAAAAAC1bg/Hs_-CEOQHKg/s1600/17.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fw4BP1ZkJxc/VQD3McaQAII/AAAAAAAC1cA/xyR-4DazeUA/s1600/19.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Mar
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana awasili Dodoma na kuanza ziara wilaya ya Mpwapwa
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishuka kwenye ndege mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma akitokea mkoani Ruvuma ambako alihudhuria mazishi ya Kada wa CCM na Mbunge wa jimbo la Mbinga Magharibi Marehemu John Damiano Komba aliyefariki hivi karibuni, Chama cha Mapinduzi kilikuwa na maombolezo ya kitaifa ya siku tatu mpaka mazishi ya kiongozi huyo yalipofanyika jana yakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais Jakaya Kikwete
Ndugu Abdulrahman Kinana...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/110.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AWASILI DODOMA NA KUANZA ZIARA WILAYA YA MPWAPWA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aB6xV8D3cgw/VPdvd1O2e5I/AAAAAAAC064/Cb2-dL7vXD0/s72-c/7.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AANZA ZIARA YAKE WILAYANI MPWAPWA MKOANI DODOMA LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-aB6xV8D3cgw/VPdvd1O2e5I/AAAAAAAC064/Cb2-dL7vXD0/s1600/7.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Jse9Z6fK204/VPduf4Ry07I/AAAAAAAC06U/SDWcyZ55o_w/s1600/22.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jxHSDI8-qCo/VPoCzPwd4wI/AAAAAAAHIKE/-ZAR3R45nfs/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE AENDELEA NA ZIARA YAKE JIMBO LA KONGWA MKOANI DODOMA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-jxHSDI8-qCo/VPoCzPwd4wI/AAAAAAAHIKE/-ZAR3R45nfs/s1600/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hSs9eH3xhfY/VPa__SNAeMI/AAAAAAAHHf0/f-N5ZwbEz7c/s72-c/2.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE AWASILI MKOANI DODOMA KUANZA ZIARA YA SIKU TISA
![](http://1.bp.blogspot.com/-hSs9eH3xhfY/VPa__SNAeMI/AAAAAAAHHf0/f-N5ZwbEz7c/s1600/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zZeCMCs4z_A/VQH-kCOOJDI/AAAAAAAC1go/mEbVextPi3Y/s72-c/22.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU 9 MKOANI DODOMA,KESHO KUUNGURUMA JIJINI ARUSHA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-zZeCMCs4z_A/VQH-kCOOJDI/AAAAAAAC1go/mEbVextPi3Y/s1600/22.jpg)
Katika ziara yake hiyo aliyoambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye ilikuwa ya mafanikio makubwa, kwani msafara wake...
11 years ago
Dewji Blog12 May
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu afanya ziara Mkoani Dodoma
Wakurugenzi wa Ofisi ya Waziri Mkuu waki kagua moja ya Mradi uanao tekelezwa na ( CDA) Miradi hii nikatika mpango wa matokeo makubwa sasa (BRN).
Katibu Mkuu Ofisi ya waziri Mkuu Dkt : Florens M Turuka wa (katikati) akitoa maelekezo kwa Wakurugenzi wa OWM walipo tembelea eneo la mradi wa Makaburi ya Viongozi katika eneo la Mlimani.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa (CDA) Bw: Pascal Muragiri akitoa maelezo ya mradi wa Barabara unaotekelezwa na CDA kwa msaada wa Benki ya Dunia wanao...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-4CkCDqNpHsc/VQAW40wJayI/AAAAAAAAB6w/L7D9h6b3y9g/s72-c/gz2.jpg)