Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makaidi akumbana na kigingi Masasi

Mgombea ubunge Jimbo la Masasi mkoani Mtwara kupitia Chama cha NLD, Emmanuel Makaidi amepata wakati mgumu baada ya wakazi wa jimbo hilo kuendelea kumkataa kwa madai kuwa siyo chaguo lao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Dk Makaidi alalamikia fitna Masasi

Mgombea ubunge Jimbo la Masasi mkoani Mtwara, kwa tiketi ya NLD, Dk Emmanuel Makaidi amesema anahisi harufu ya hujuma, lakini haihofii na ameapa kupambana hadi ashinde.

 

11 years ago

Mwananchi

Munira akumbana na kizaazaa safarini Macau, China (Pt 4)

Munira Mathias, binti wa Kitanzania aliyekuwa akiishi China akitumikishwa kufanya ukahaba, alikimbilia Jimbo la Macau akitokea Guangzhou, baada ya muda wa viza yake kumalizika.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mh Magufuli akumbana na wakati mgumu kwa wafuasi wa Mh Luwassa

The post Mh Magufuli akumbana na wakati mgumu kwa wafuasi wa Mh Luwassa appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kusotea ajira kigingi cha maendeleo

TATIZO la ukosefu wa ajira nchini linazidi kuongezeka kila kukicha. Vijana wanaomaliza vyuo vikuu kila mwaka wanakadiriwa kuwa 500,000, lakini wanaoajiriwa ni 30,000. Hii ni dhahiri kuwa idadi kubwa ya...

 

10 years ago

Habarileo

Chenge ‘kizimbani’, aweka kigingi kizito

Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge akitoka katika ukumbi wa Karimjee kuhojiwa na Baraza la Maadili la Viongozi wa Umma kuhusu sakata la uchotwaji wa fedha za akaunti ya Tegeta Escrow, Dar es Salaam jana. (Picha na Fadhili Akida).BARAZA la Maadili ya Viongozi wa Umma limelazimika kuahirisha kusikiliza shauri, linalomhusu mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge, baada ya mwanasiasa huyo kuwasilisha pingamizi la kuzuia kusikilizwa shauri lake, kutokana na kesi ya msingi inayoendelea Mahakama Kuu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

HALIMA JAMES MDEE: Mwanamke aliyeruka kigingi cha kutoolewa

LEO katika safu yetu ya Mwana Mama tunawaletea Halima James Mdee, mbunge wa Kawe, kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Huyu ni mbunge kijana ambaye baada ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Makaidi: Wa kulaumiwa ni JK

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Dk. Emmanuel Makaidi, amesema uteuzi wa mke wake kuwa mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba siyo kosa la chama chake cha NLB, bali ni...

 

9 years ago

BBCSwahili

Maziko ya Emmanuel Makaidi

Aliyekuwa mwenyekiti mwenza wa chama cha UKAWA nchini Tanzania, Dkt. Emmanuel Makaidi ambaye aliaga dunia siku tano zilizopita, amezikwa leo mjini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Makaidi kuzikwa Dar

Mwili wa Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Dk Emmanuel Makaidi unatarajiwa kuletwa Dar es Salaam kwa ajili ya mazishi yanayotarajiwa kufanyika Oktoba 20, mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani