Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Makaidi: Wa kulaumiwa ni JK

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Dk. Emmanuel Makaidi, amesema uteuzi wa mke wake kuwa mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba siyo kosa la chama chake cha NLB, bali ni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Nani wa kulaumiwa ubabe wa Tambaza Auction Mart?

HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam inastahili kubebeshwa lawama kuhusu dhuluma na ubabe wa wafanyakazi wa Kampuni ya udalali ya Tambaza Auction Mart, wanaolalamikiwa na wamiliki wa magari, hususan...

 

5 years ago

BBCSwahili

Matajiri wanafaa kulaumiwa kwa mzozo wa hali ya hewa duniani.

Matajiri wanapaswa kulaumiwa kwa mzozo wa hali ya hewa duniani, utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Leeds cha nchi 86 unasema

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA : CCM HAIWEZI KULAUMIWA KWA MAKOSA YASIYO YAKE


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara baada ya kupokea taarifa za chama na serikali juu ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2010
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kupasua mawe wakati wa ujenzi wa mradi wa maji Sengenya
 Ujenzi wa mradi wa maji wa Sengenya ukiwa unaendelea ambapo ukikamilika utasaidia vijiji vitatu wilayani Nanyumbu mkoa wa Mtwara.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Muziki genge nchini Kenya unapata umaarufu kulaumiwa kupotosha vijana

Muziki wa genge nchini Kenya unaopendwa na vijana hasa kwa sauti zake zinazosikika nyakati za sherehe ni utamaduni unaopata umaarufu licha ya kukosolewa.

 

5 years ago

CCM Blog

BABA WA UZAO: PAMBANENI KUONDOA MAOVU MNAKOISHI, YAKITOKEA NINYI NDIYO MNAOPASWA KULAUMIWA SIYO VIONGOZI AU SERIKALI

Baba wa Uzao akihubiria mamia ya waumini wakati wa Ibada iliyofanyika katika Kanisa Halisi la Mungu Baba, Tegeta jijini Dar es Salaam, leo. Picha nyingine zaidi ya 50 za ibada hiyo, Tafadhali >> BOFYA HAPA

CCM Blog, Tegeta.
Makanisa na Waumini wametakiwa kufanya jitihada za kuhakikisha hakuna matendo mabaya kama ujambazi na ukahaba kwa kuwa maovu hayo yakitendeka katika mitaa yao wao ndiyo wanaopaswa kulaumiwa badala ya kuwatupia lawama viongozi.

Hayo yamesemwa na Kiongozi wa Kanisa Halisi la...

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Makaidi kuzikwa Dar

Mwili wa Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Dk Emmanuel Makaidi unatarajiwa kuletwa Dar es Salaam kwa ajili ya mazishi yanayotarajiwa kufanyika Oktoba 20, mwaka huu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maziko ya Emmanuel Makaidi

Aliyekuwa mwenyekiti mwenza wa chama cha UKAWA nchini Tanzania, Dkt. Emmanuel Makaidi ambaye aliaga dunia siku tano zilizopita, amezikwa leo mjini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Makaidi wa NLD afariki

MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha National League for Democracy (NLD), Dk Emmanuel Makaidi (74), ambaye pia alikuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Masasi mkoani Mtwara kwa tiketi ya chama hicho, amefariki dunia.

 

9 years ago

TheCitizen

Makaidi to be buried Wednesday in Dar

The Chairman of the National League for Democracy (NLD), Dr Emmanuel Makaidi, who died on Thursday in Lindi Region, will be buried in Dar es Salaam on Wednesday.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani