Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Makaidi kuzikwa Dar

Mwili wa Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Dk Emmanuel Makaidi unatarajiwa kuletwa Dar es Salaam kwa ajili ya mazishi yanayotarajiwa kufanyika Oktoba 20, mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Makaidi kuzikwa wiki ijayo

MakaidiNA FARAJA MASINDE, DAR ES SALAAM

MWILI wa Mwenyekiti mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Dk. Emmanuel Makaidi aliyefariki dunia juzi kwa shinikizo la damu unatarajiwa kuzikwa wiki ijayo.

Taarifa ambazo gazeti hili limezipata kutoka ndani ya familia ya marehemu Makaidi, zinaeleza kuwa atazikwa kati ya Jumatatu au Jumanne.

Mke wa marehemu, Modesta Makaidi ambaye jana jioni alikuwa njiani kuelekea jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuupeleka mwili wa marehemu, aliliambia gazeti hili...

 

9 years ago

GPL

MWILI WA DK. MAKAIDI WAAGWA KARIMJEE, KUZIKWA SINZA

Dk. Emmanuel Makaidi enzi za uhai wake. Jeneza lenye mwili wa marehemu Makaidi likiwa mbele wakati ibada maalum ya kumuombea ikiendelea. Mke wa marehemu, Bi Modester Makaidi akionekana mwenye majonzi mazito. …

 

9 years ago

TheCitizen

Makaidi to be buried Wednesday in Dar

The Chairman of the National League for Democracy (NLD), Dr Emmanuel Makaidi, who died on Thursday in Lindi Region, will be buried in Dar es Salaam on Wednesday.

 

9 years ago

Habarileo

Mamia wamzika Makaidi Dar

MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa anayeungwa mkono na vyama vinne vya upinzani (Ukawa), ameongoza mamia na wananchi katika maziko ya aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha National League for Democracy (NLD), Dk Emmanuel Makaidi (74).

 

9 years ago

TheCitizen

Lowassa leads mourners at Makaidi burial in Dar

The departed chairman of the National League for Democracy (NLD), Dr Emmanuel Makaidi, was laid to rest at the Sinza Cemetry in the city yesterday.

 

9 years ago

StarTV

Lowassa aongoza mamia kuaga mwili wa Makaidi Dar.

Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) anayeungwa Mkono na Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA , Edward Lowassa ameongoza mamia ya wakazi wa Jiji la Dar Es Salaam kuuaga Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha NLD na Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA, Dkt Emmanuel Makaidi.

Marehemu Emmanuel Makaidi alifariki Dunia Octoba 15 katika Hospitali ya Nyagao iliyopo Mkoani Lindi alikokuwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa Shinikizo la Juu la Damu.

Katika...

 

9 years ago

Michuzi

MAMIA WAAGA MWILI WA DK.EMMANUEL MAKAIDI VIWANJA VYA KARIMJEE DAR ES SALAAM LEO

Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kupitia mwamvuli wa Ukawa, Mhe Edward Lowassa akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti Mwenza wa umoja huo, Dk. Emmanuel Makaidi wakati wa ibada ya kuuaga iliyofanyika viwanja vya Karimjee Dar es Salaam leo mchana. Katika ibada hiyo viongozi mbalimbali wa vyama vya siasa na serikali walihudhuria.Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye ibada hiyo.Wananchi wakiwa wamejipanga foleni wakati wakienda kutoa...

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA AONGOZA MAMIA KUUAGA MWILI WA DK.EMMANUEL MAKAIDI VIWANJA VYA KARIMJEE DAR ES SALAAM LEO

Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kupitia mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti Mwenza wa umoja huo, Dk. Emmanuel Makaidi wakati wa ibada ya kuuaga iliyofanyika viwanja vya Karimjee Dar es Salaam leo mchana. Katika ibada hiyo viongozi mbalimbali wa vyama vya siasa na serikali walihudhuria.Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye ibada hiyo.
Wananchi wakiwa wamejipanga foleni wakati wakienda kutoa...

 

11 years ago

GPL

RECHO KUZIKWA KESHO DAR

Marehemu Rachel Haule 'Recho' enzi za uhai wake. MSANII wa filamu Rachel Haule 'Recho'  aliyefariki dunia siku ya jana atazikwa jijini Dar es Salamm siku ya kesho badala ya  Songea kama ilivyopangwa hapo awali. Ratiba ya kuuaga mwili wa marehemu inabaki pale pale siku ya kesho Leaders Club na baadae kwenda kuzikwa katika makaburi ya Kinonondoni. ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani