Chenge ‘kizimbani’, aweka kigingi kizito
BARAZA la Maadili ya Viongozi wa Umma limelazimika kuahirisha kusikiliza shauri, linalomhusu mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge, baada ya mwanasiasa huyo kuwasilisha pingamizi la kuzuia kusikilizwa shauri lake, kutokana na kesi ya msingi inayoendelea Mahakama Kuu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog25 Feb
Exclusive: Chenge apandishwa ‘kizimbani’ ahojiwa kukiuka maadili ya viongozi wa umma
Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge akijianda kutoka nje ya ukumbi wa Karimjee ausbuhi ya leo.
…Maamuzi magumu kutolewa kesho Februari 26
Na Andrew Chale wa modewjiblog
LISAA limoja lililopita Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge amepandishwa kizimbani katika kikaango cha kukiuka maadili ya viongozi wa umma, chini ya Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Baraza la Maadili lililoketi, jijini Dar es Saalam asubuhi ya leo.
Katika shauri linalomkabili Chenge ni dhidi ya...
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Makaidi akumbana na kigingi Masasi
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Kusotea ajira kigingi cha maendeleo
TATIZO la ukosefu wa ajira nchini linazidi kuongezeka kila kukicha. Vijana wanaomaliza vyuo vikuu kila mwaka wanakadiriwa kuwa 500,000, lakini wanaoajiriwa ni 30,000. Hii ni dhahiri kuwa idadi kubwa ya...
10 years ago
GPLCHENGE, CHENGE, CHENGE TENA?
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
HALIMA JAMES MDEE: Mwanamke aliyeruka kigingi cha kutoolewa
LEO katika safu yetu ya Mwana Mama tunawaletea Halima James Mdee, mbunge wa Kawe, kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Huyu ni mbunge kijana ambaye baada ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JTy4q9-M8RQ/Xkr0wHnaiWI/AAAAAAALdz8/_N57JWfb4V8KUJbqPsLUFoE91jaN9eEUACLcBGAsYHQ/s72-c/aa3f274a-e8c6-4711-8b67-26ef27dd1469.jpg)
KIZITO MIHIGO AFARIKI AKIWA KIZUIZINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-JTy4q9-M8RQ/Xkr0wHnaiWI/AAAAAAALdz8/_N57JWfb4V8KUJbqPsLUFoE91jaN9eEUACLcBGAsYHQ/s400/aa3f274a-e8c6-4711-8b67-26ef27dd1469.jpg)
BAADA ya siku tatu tangu Mamlaka ya upelelezi nchini Rwanda kutangaza kumshikilia mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini humo Kizito Mihigo kwa tuhuma za kujaribu kuvuka mpaka na kwenda kujiunga na vikosi vinavyopinga Serikali ya Rwanda pamoja na kushutumiwa kwa vitendo vya rushwa leo Februari 17 jeshi la polisi nchini humo limetangaza kuwa maiti ya Kizito imepatikana ndani ya chumba alichokua amezuiwa katika kituo cha polisi cha Remera mjini Kigali.
Polisi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uFCQvH3jdgD9Mn8EtlEOoLebHIi6NGffyuTpdjDMv2-TBrmY6b77g1uvg475jmVN1fVpf5hlxVizXpRpk5TlecZGKCMf4hTO/FRONTWIKIENDA22222.jpg)
FAMILIA YA MBASHA KIKAO KIZITO DAR
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Hongera Yanga, kibarua kizito chawasubiri Cairo
TIMU ya soka ya Yanga ambao ni wawakilishi pekee wa Tanzania katika michuano ya kimataifa, mwishoni mwa wiki walipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya mabingwa watetezi wa Ligi ya...
5 years ago
BBC17 Feb
Kizito Mihigo: Singer found dead in Rwandan police cell