Huduma za Afya Zaboreshwa Bunda na Kuondoa Kero kwa Wananchi
Muonekano wa chumba cha upasuaji katika kituo cha afya Bunda mjini baada ya kuboreshwa na Serikali ya Awamu ya Tano kwa gharama ya shilingi milioni 500 kwa kujengewa majengo mapya na vifaa tiba vya kisasa.
Sehemu ya majengo ya kituo cha Afya Bunda mjini mkoani Mara baada ya kuboreshwa na kuanza kutoa huduma za upasuaji kwa wananchi wa mji huo na maeneo ya jirani.(Picha na MAELEZO)
Jonas Kamaleki, Bunda
Utoaji wa huduma za Afya umeboreshwa baada ya Serikali kutoa milioni 500 kwa ajili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Barabara Bunda kero kwa wananchi
ABIRIA wanaopita kwenye barabara ya Bunda-Ukerewe, wamelalamikia ubovu wa barabara hiyo na kuiomba serikali kuwaondolea kero hiyo. Baadhi ya wananchi hao wakiwemo madereva wa magari ya abiria pamoja na mizigo,...
9 years ago
StarTV03 Dec
Mbunge wa Bunda kutowavumilia watendaji wazembe katika utoaji wa huduma kwa wananchi
Mbunge wa jimbo la Bunda Boniphace Mwita amesema kuwa hatawavumilia watendaji wa serikali na viongozi wa ngazi mbalimbali jimboni humo ambao watashindwa kwenda na kasi ya rais Magufuli kwani hatakuwa tayari kufanyakazi na watu wazembe.
Mbunge huyo wa Bunda ameyasema hayo kwenye kikao elekezi alichokiandaa katika kata ya Nyamuswa kikishirikisha viongozi wa ngazi mbalimbali na watendaji wote wa serikali, ili kila mmoja atambuwe wajibu wake wa kutumikia wananchi.
Mbunge wa Bunda Boniphace...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s72-c/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
JAFO AZINDUA KITUO CHA AFYA WILAYA YA KITETO, AWATAKA WAHUDUMU WA AFYA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s640/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/b5c06735-ef65-4901-9094-4edc9a418852-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/09a3b3d2-a405-43e5-9eca-2d4b6b034c1a-1024x683.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wz3pzQLdiZg/XuJN6GkQ-2I/AAAAAAALtdk/Oy1Venwc_ewKM-zBNgDMA_Lh6wQ_9YyswCLcBGAsYHQ/s72-c/26da6cd5-1fd1-4c01-bd8b-17c480d3d3a5.jpg)
JESHI LA POLISI ARUSHA LAANZA UJENZI KITUO KIDOGO CHA POLISI KATA YA KISONGO,ARUMERU KUONDOA KERO KWA WANANCHI
Akikabidhi eneo hilo kwa kuanza kupanda miti, Mkuu wa wilaya hiyo Muro, alisema kituo hicho kitasaidia kuimarisha ulinzi kwa jamii katika eneo hilo baada ya muda mrefu kuwepo matukio ya uhalifu.
Alisema eneo hilo ambalo linakuwa kwa kasi kumekuwepo na...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gpqMlu8iZKI/U-nMayTtYOI/AAAAAAAF-1Y/GckrURjFkpQ/s72-c/unnamed+(5).jpg)
wilaya ya hai mkoani kilimanjaro yajipanga kuondoa kero za wananchi mahospitalini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tkD3ufp__sY/XlrFW50-HCI/AAAAAAALgKo/BwhA8X15h44s7it2b5_KwRle9G_KfJnlwCLcBGAsYHQ/s72-c/20200228_154116.jpg)
Nyasa kuanza ujenzi wa Kituo cha afya Kata ya Kingerikiti kutatua kero ya wananchi
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Nyasa Bw. Jimson Mhagama, wakati akiongea na wananchi wa Kata ya Kingerikiti kwa lengo la kutambulisha mradi na kuwashirikisha Wananchi ili waweze kushirikiana na Serikali kwa...
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Babu wa Samunge:JPM awahakikishie wananchi huduma bora za afya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLaf5Mvqu5oYa-Sld-Ljmi-Uc4UfmSD1ExIvJIrezxUZAoyrZ5cY1sMF2pzygAsErWx7GxnS2BNbIZ4nSg1xXJPvl/1.jpg?width=650)
11 years ago
Habarileo09 Aug
Tembo wawa kero kubwa Bunda
WANANCHI wanaopakana na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara, wamelalamikia kero ya tembo kuvamia makazi yao na kushambulia mazao. Wamesema hali hiyo, imewasababishia njaa.