wilaya ya hai mkoani kilimanjaro yajipanga kuondoa kero za wananchi mahospitalini
![](http://4.bp.blogspot.com/-gpqMlu8iZKI/U-nMayTtYOI/AAAAAAAF-1Y/GckrURjFkpQ/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Mkuu wa wilaya ya Hai Mhe. Novatus Makunga ameeleza kuwa serikali wilayani humo imejipanga kuondoa kero zote zinazoawakabili wananchi wanapoenda kutibiwa katika hospitali ya serikali ya wilaya hiyo zikiwemo lugha chafu za watumishi wa hospitali hiyo Mhe. Makunga ametoa kauli hiyo katika mikutano yake ya hadhara na wananchi wa mitaa ya Kingereka na Kibaoni katika kata ya Hai Mjini. Awali wananchi wa mitaa hiyo walieleza kuwa kero kubwa wanayokumbana nazo katika hospitali hiyo ni pamoja na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kZl6Dboln6Y/VRBFwx6Yb7I/AAAAAAAHMik/tuFW75TXi0o/s72-c/16.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE WILAYA YA HAI MKOANI KILIMANJARO
![](http://4.bp.blogspot.com/-kZl6Dboln6Y/VRBFwx6Yb7I/AAAAAAAHMik/tuFW75TXi0o/s1600/16.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CGxCXEUTHII/VRBF2VuozqI/AAAAAAAHMi0/QPLwcNRThJM/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uNsxo25dg6I/VRBFCuVLJwI/AAAAAAAHMhc/BQ1ad1j77t8/s1600/_MG_4800.jpg)
5 years ago
MichuziHuduma za Afya Zaboreshwa Bunda na Kuondoa Kero kwa Wananchi
Jonas Kamaleki, Bunda
Utoaji wa huduma za Afya umeboreshwa baada ya Serikali kutoa milioni 500 kwa ajili...
11 years ago
MichuziNHC Kilimanjaro yatoa msaada wa bati kwa wahanga wa mvua ya Upepo wilaya za Mwanga na Hai.
![](http://4.bp.blogspot.com/-zfvhH4v_HnU/Uzudj2vWxiI/AAAAAAAAB5s/Vr7QAWGNda0/s1600/2014-03-27+11.11.28.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-J-BUY53CquY/UzudkrND6ZI/AAAAAAAAB50/hEhOmYT827g/s1600/2014-03-27+11.11.37.jpg)
11 years ago
Michuzi20 Feb
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QLC68Ckdguw/XucSut7j0dI/AAAAAAALt2s/6l7E42lFw6IvH24eUcSEXeXg4Jo1kMFVQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200612_085813_5.jpg)
WAZAWA WAASWA KUONDOA HOFU YA KUCHANGIA MAENDELEO YA WILAYA YA IRAMBA MKOANI SINGIDA
Wito huo umetolewa juzi na mkuu wa wilaya hiyo, Emmanuel Luhahula, wakati akitoa shukrani na pongezi kwa wizara ya maji kutoa msaada wa vifaa vya kudhibiti kusambaa kwa virusi vya corona. Msaada huo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wz3pzQLdiZg/XuJN6GkQ-2I/AAAAAAALtdk/Oy1Venwc_ewKM-zBNgDMA_Lh6wQ_9YyswCLcBGAsYHQ/s72-c/26da6cd5-1fd1-4c01-bd8b-17c480d3d3a5.jpg)
JESHI LA POLISI ARUSHA LAANZA UJENZI KITUO KIDOGO CHA POLISI KATA YA KISONGO,ARUMERU KUONDOA KERO KWA WANANCHI
Akikabidhi eneo hilo kwa kuanza kupanda miti, Mkuu wa wilaya hiyo Muro, alisema kituo hicho kitasaidia kuimarisha ulinzi kwa jamii katika eneo hilo baada ya muda mrefu kuwepo matukio ya uhalifu.
Alisema eneo hilo ambalo linakuwa kwa kasi kumekuwepo na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gz9UuYvLeg0/VOBFk9GJkuI/AAAAAAAHDxY/yacOClYHU5w/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
MH. MAKALAA ZIARANI WILAYA YA MWANGA,MKOANI KILIMANJARO
Katika ziara hiyo amekutana na kuongea na uongozi wa wilaya ya Mwanga na baadae kuongozana nao katika ukaguzi wa miradi ya maji iliopo kwenye vijiji vya Kisanjini,Msangeni na Lomwe na pia alikagua maandalizi ya vifaa na eneo patakapojengwa mradi mkubwa wa maji wa Same-Mwanga-Korogwe utakaogharimu dola...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yhw_uy02GeM/VgcIo7lQNNI/AAAAAAAADEM/X6HmwfRBGyk/s72-c/OTH_2227.jpg)
MATUKIO MBALI MBALI YA ZIARA YA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUPITIA CHADEMA KATIKA JIMBO LA HAI, MKOANI KILIMANJARO
![](http://2.bp.blogspot.com/-yhw_uy02GeM/VgcIo7lQNNI/AAAAAAAADEM/X6HmwfRBGyk/s640/OTH_2227.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iuAh_JvQQGQ/VgcI62UWRbI/AAAAAAAADGI/f8yxvtB0yCs/s640/OTH_2634.jpg)