WAZAWA WAASWA KUONDOA HOFU YA KUCHANGIA MAENDELEO YA WILAYA YA IRAMBA MKOANI SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QLC68Ckdguw/XucSut7j0dI/AAAAAAALt2s/6l7E42lFw6IvH24eUcSEXeXg4Jo1kMFVQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200612_085813_5.jpg)
SERIKALI wilaya ya Iramba mkoani Singida, imetoa wito kwa wazawa wa ndani na nje wa wilaya hiyo, waondoe hofu kuchangia maendeleo ya wilaya yao kwa madai itahusishwa na vitendo vya rushwa na badala yake waongeze kasi zaidi kuchangia kwa hali na mali ili wilaya iendelee kupaa kimaendeleo.
Wito huo umetolewa juzi na mkuu wa wilaya hiyo, Emmanuel Luhahula, wakati akitoa shukrani na pongezi kwa wizara ya maji kutoa msaada wa vifaa vya kudhibiti kusambaa kwa virusi vya corona. Msaada huo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gpqMlu8iZKI/U-nMayTtYOI/AAAAAAAF-1Y/GckrURjFkpQ/s72-c/unnamed+(5).jpg)
wilaya ya hai mkoani kilimanjaro yajipanga kuondoa kero za wananchi mahospitalini
5 years ago
MichuziWILAYA YA MANYONI MKOANI SINGIDA WAPELEKEWA ELIMU KUJIKINGA VIRUSI VYA COVID-19
11 years ago
MichuziMH. MAGUFULI AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA DARAJA LA MBUTU KATIKA WILAYA YA IGUNGA MKOANI TABORA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yYruf1t-f4M/XmuNY3o2c4I/AAAAAAAC8bY/JihAvaiAr9QZVB6ePVHtXVwRY-vSsFllACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KAULI MBIU YA “HAPA KAZI TU†YAWA CHACHU YA MAENDELEO KWA MNUFAIKA WA TASAF MKOANI SINGIDA
James Mwanamyoto - Singida
Mnufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), Bibi Edith Brayson Makala mwenye umri wa miaka 55 mkazi wa Manispaa ya Singida, Mtaa wa Sokoine, amesimamia vema Kauli Mbiu ya HAPA KAZI TU ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ambayo imemuwezesha kuinua uchumi wa familia yake kupitia ruzuku ya TASAF.
Akitoa ushuhuda jana, mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wakati wa ziara ya kamati hiyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-K0MfeHCEgD8/XqBJlSgDboI/AAAAAAALn1E/lsEc44nH7JQ7b0APJUgARxkFl23PWEL-gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200404-WA0159%2B%25281%2529.jpg)
HALMASHAURI WILAYA YA MERU MKOANI ARUSHA YATUMIA MILIONI 308/_ KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO HADI KUFIKIA APRILI 15
HALMASHAURI ya Wilaya ya Meru mkoani Arusha imetumia zaidi ya shilingi milioni 308 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo katika kipindi Cha mwaka wa fedha 2019//2020 hadi kufikia Aprili 15 mwaka huu.
Akizungumza leo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Meru Emmanuel Mkongo amesema kuwa halmashauri hiyo katika kuunga mkono jitihada za wananchi kutekeleza miradi ya maendeleo kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020 ilitenga kutoka katika makusanyo ya mapato ya...
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
Samwel Nakei, aapishwa kuwa kamanda wa UVCCM wilaya mpya ya Mkalama, Mkoani Singida aahidi kuleta neema kwa Vijana
Katibu wa UVCCM Mkoa wa Singida, Ramadhan Kapeto akimwapishwa Samwel Nakei kuwa kamanda wa UVCCM Wilaya ya Mkalama jana.
Samweli Nakei akila kiapo cha kuwa Kamanda wa (UVCCM) Wilaya ya Mkalama.
Na Hillary Shoo, MKALAMA
VIJANA Wilayani Mkalama Mkoani Singida wametakiwa kujiunga kwenye vikundi mbalimbali vya ujasiriamali ili waweze kukopesheka kirahisi badala ya mtu mmoja mmoja.
Changamoto hiyo imetolewa jana Wilayani hapa na Kamanda Mpya ya Umoja wa vijana wa (UVCCM) Wilaya ya Mkalama,...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Watanzania waaswa kuchangia elimu
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, amesema watanzania wanapaswa kuondokana na dhana kuwa jukumu la kutoa elimu bora linapaswa kubebwa na serikali peke yake. Amesema dhana...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--KyN4bFNRoE/VLt1L6JZgjI/AAAAAAAG-FA/pR_Q87pi1A0/s72-c/CBE%2B-%2B1.jpg)
WANANCHI MKURANGA WAASWA KUCHANGIA DAMU
![](http://4.bp.blogspot.com/--KyN4bFNRoE/VLt1L6JZgjI/AAAAAAAG-FA/pR_Q87pi1A0/s1600/CBE%2B-%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UzYd0vCN098/VLt1LzW7VEI/AAAAAAAG-FE/jKMEudR2VWE/s1600/CBE%2B-%2B2.jpg)
11 years ago
Dewji Blog24 May
Kinana azidi kuchanja mbuga, atua jimbo la Iramba — Singida
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Iramba Magharibi wakati wa mapokezi katika kijiji cha Kiselya. Katibu Mkuu na msafara wake wameanza ziara katika wilaya ya Iramba kwa lengo la kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2010 pamoja na kukagua uhai wa chama.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kubeba mawe ya ujenzi wa kituo cha afya cha Kiselya, wilaya ya Iramba kwa kushirikiana na viongozi wengine pamoja a wananchi.
Katibu Mkuu...