MH. MAKALAA ZIARANI WILAYA YA MWANGA,MKOANI KILIMANJARO
![](http://3.bp.blogspot.com/-gz9UuYvLeg0/VOBFk9GJkuI/AAAAAAAHDxY/yacOClYHU5w/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
Naibu Waziri wa Maji,Mh. Amos Makalla ameendelea na ziara zake za kukagua maendeleo ya miradi mbali mbali ya maji,ambapo safari hii ilikuwa ni mkoani Kilimanjaro na alianzia wilaya ya Mwanga.
Katika ziara hiyo amekutana na kuongea na uongozi wa wilaya ya Mwanga na baadae kuongozana nao katika ukaguzi wa miradi ya maji iliopo kwenye vijiji vya Kisanjini,Msangeni na Lomwe na pia alikagua maandalizi ya vifaa na eneo patakapojengwa mradi mkubwa wa maji wa Same-Mwanga-Korogwe utakaogharimu dola...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziNHC Kilimanjaro yatoa msaada wa bati kwa wahanga wa mvua ya Upepo wilaya za Mwanga na Hai.
![](http://4.bp.blogspot.com/-zfvhH4v_HnU/Uzudj2vWxiI/AAAAAAAAB5s/Vr7QAWGNda0/s1600/2014-03-27+11.11.28.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-J-BUY53CquY/UzudkrND6ZI/AAAAAAAAB50/hEhOmYT827g/s1600/2014-03-27+11.11.37.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gnyYxmskNlc/VPVIwhGrliI/AAAAAAAHHQQ/0wZ8bHjvt98/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
DKT.MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA MWANGA-KIKWENI-VUCHAMA/LOMWE KM 40.6 MKOANI KILIMANJARO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gpqMlu8iZKI/U-nMayTtYOI/AAAAAAAF-1Y/GckrURjFkpQ/s72-c/unnamed+(5).jpg)
wilaya ya hai mkoani kilimanjaro yajipanga kuondoa kero za wananchi mahospitalini
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kZl6Dboln6Y/VRBFwx6Yb7I/AAAAAAAHMik/tuFW75TXi0o/s72-c/16.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE WILAYA YA HAI MKOANI KILIMANJARO
![](http://4.bp.blogspot.com/-kZl6Dboln6Y/VRBFwx6Yb7I/AAAAAAAHMik/tuFW75TXi0o/s1600/16.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CGxCXEUTHII/VRBF2VuozqI/AAAAAAAHMi0/QPLwcNRThJM/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uNsxo25dg6I/VRBFCuVLJwI/AAAAAAAHMhc/BQ1ad1j77t8/s1600/_MG_4800.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DhVwAplWzw8/Vl0xiKHZ-QI/AAAAAAAAXZE/WBIgV2S7Sm8/s72-c/IMG_0149%2B%25281024x683%2529.jpg)
MBIO ZA KILIMANJARO HEALTH RUN 2015 ZAFANYIKA MKOANI KILIMANJARO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-DhVwAplWzw8/Vl0xiKHZ-QI/AAAAAAAAXZE/WBIgV2S7Sm8/s640/IMG_0149%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OkmQqBSdAP4/Vl0xiB2scZI/AAAAAAAAXY8/JHOblb1Evoc/s640/IMG_0166%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9hX0y36ODgE/Vl0xyEwdDaI/AAAAAAAAXZw/uIQhBnDwUcM/s640/IMG_0209%2B%25281024x683%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4rt1CdIaf5g/VN0KL_DweBI/AAAAAAAHDXs/YULPnA8qA_8/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Mh. Makalla ziarani Wilaya ya Longido
Katika ziara yake hiyo,alikutana na viongozi wa wilaya hiyo ya Longido na kuiagiza kampuni ya Haward Humfrey iliyofanya usanifu mradi wa maji wa Kisima cha Tembo ichukuliwe hatua za kisheria ikiwemo kutopewa kazi zozote za miradi ya maji nchini kwa kusanifu mradi wa maji wa thamani ya shilingi milioni 253, mradi ambao...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-16SvSXGKJAY/VJWgoFwNpKI/AAAAAAAG4vE/8RyMq_0e5A4/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Makalla alipokuwa ziarani mjini Moshi mkoa wa Kilimanjaro
![](http://4.bp.blogspot.com/-16SvSXGKJAY/VJWgoFwNpKI/AAAAAAAG4vE/8RyMq_0e5A4/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mnEPiqq8ZVw/VJWhVq9FcPI/AAAAAAAG4vM/6Hh7QqprKTA/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BU5zIfznL_g/VJWjmzqXxEI/AAAAAAAG4vY/r9PiXrr-Pwk/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RxPaJvRXxtE/VJWjm4Ovi6I/AAAAAAAG4vk/9YX-hl5NRVM/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gW7TTBC8eFU/VJWjm8tDYoI/AAAAAAAG4vc/ufi1ZNUD_Bg/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
Ally Juma Mwanga aula Uenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi
Msimamizi wa uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti Halmashauri ya Ikungi, Shukrani Mshigati, akitoa ufafanuzi juu ya uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti na Makamu wake Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi uliofanyika hivi karibuni.Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Ikungi, Gichuli Charles.
Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi wakishiriki kumchangua Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti katika halmashauri hiyo.
Mwenyekiti mteule wa Halmashauri ya wilaya ya Ikungi, Ally...