Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ally Juma Mwanga aula Uenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

IMG_1157

Msimamizi wa uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti Halmashauri ya Ikungi, Shukrani Mshigati, akitoa ufafanuzi juu ya uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti na Makamu wake Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi uliofanyika hivi karibuni.Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Ikungi, Gichuli Charles.

IMG_1176

Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi wakishiriki kumchangua Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti katika halmashauri hiyo.

IMG_1168

IMG_1232

Mwenyekiti mteule wa Halmashauri ya wilaya ya Ikungi, Ally...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi yaunda Bodi mpya ya Afya yenye wajumbe 11 kwa miaka mitatu

DC

Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani, Singida Manju Msambya akizungumza na wajumbe wa bodi ya afya ya Wikaya ya Ikungi kwenye ukumbi wa Lake Hill Singida Motel, wakati wa uzinduzi wa bodi mpya ya halmashauri hiyo.

Na Hillary Shoo,IKUNGI.

Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida imeunda bodi mpya ya afya yenye wajumbe 11 na kamati za afya za vituo kwa kipindi cha miaka mitatu ili kufanikisha kuwepo kwa miundo ya kijamii na kitaasisi ambayo itaongeza madaraka na mamlaka ya jamii juu ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Simon Berege aula uenyekiti MISA-TAN

10612541_635931856514532_1179852893165923510_n

Mjumbe wa Kamati ya utendaji MISA -TAN, Lilian Lucas Kasenene akimpongeza Mwenyekiti  mpya wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika, Tawi la Tanzania (MISA-TAN), Simon Berege.

Na Nathaniel Limu

Mkutano mkuu wa uchaguzi wa Chama cha waandishi wa habari kusini mwa Afrika (MISA-TANZANIA), umemchagua kwa kishindo Mhadhiri wa Chuo kikuu cha Iringa, Simon Berege kuwa mwenyekiti wake kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo.

Berege ambaye alikuwa mgombea pekee wa nafasi hiyo, alizoa kura zote...

 

9 years ago

Michuzi

CCM YANYAKUA UENYEKITI WA HALMASHAURI LINDI VIJIJINI

Mkuu wa Wilaya ya Lindi Ndugu Yahaya Nawanda akihutubia wakati wa ufunguzi wa kikao cha kwanza cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Lindi Vijijini ambapo aliwataka madiwani wao kuhakikisha suala la usafi linatiliwa mkazo kwenye maeneo yao. Baadhi ya madiwani wakisikiliza kwa makini.
 Mbunge wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye akipiga kura kumchagua Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lindi Vijijini.

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM Singida yazoa viti vyote vya Halmashauri ya Ikungi na Mkalama

IMG_1029

Katibu wa CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku, akitoa tamko la kukanusha mbele ya waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) taarifa zinazoenezwa kwamba CCM mkoa ilikata jina la mgombea nafasi ya Mwenyekiti halmashauri ya wilaya ya Mkalama, kutokana na ulemavu wake wa miguu. Kulia ni Katibu msaidizi CCM mkoa wa Singida, Adamu.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Singida, kimekanusha vikali uzushi unaoenezwa kwamba kilikata jina la mgombea nafasi...

 

9 years ago

Michuzi

DONATIONS FOR TREATMENT FOR AMINA ALLY JUMA (CANCER- LEUKEMIA)

Dear Friends, I great you in the name of God, Two weeks ago on 25th October while i was coming from voting with my 2 girls passing by and greeting neighbors on our street my friend younger sister stopped me and told me some very disturbing news about her Big sister.... she said 'Dada Dorah ....dada Amina anaumwa sana....!!!' and i was like anaumwa nini? expecting her to tell me she has Malaria common decease, and she responded 'sijui ana cancer ya damu' and all over sudden I felt that anger...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yazindua Mnara wa Mawasiliano wilaya ya Ikungi, Singida

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imezindua mnara wa mawasiliano katika wilaya ya Ikungi mkoani Singida ambao utasaidia upatikanaji wa mawasiliano na pia kuboresha ubora wa mtandao kwa wakazi wa wilayani hapo na maeneo ya jirani.
Meneja wa kanda ya kati wa Airtel, Bwana Stephen Akyoo, alisema Mnara huo mpya wa mawasilino ni moja kati ya mikakati ya kampuni yake kujitanua zaidi na kuboresha mtandao wa mawasiliano, huku wakiendelea kuangalia namna ya kuendelea kufanya huduma zao kuwa za...

 

5 years ago

Michuzi

MKURUGENZI HALMASHAURI YA MWANGA AGAWA VIFAA VYA KUTUNZA MAZINGIRA

Charles James, Michuzi TVKATIKA kuhakikisha mazingira yanatunzwa pamoja na kuwa safi, Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga imekabidhi vifaa vya utunzaji mazingira kwa timu ya watendaji wake katika bustani iliyopo eneo maarufu la maliasili.
Bustani hiyo imejipatia umaarufu mkubwa wilayani Mwanga ambapo wananchi hufika kupiga picha hasa kwenye matukio muhimu kama Harusi, Mahafali na shughuli zingine.
Vifaa hivyo vimetolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga, Zefrin Lubuva ambapo amesema...

 

5 years ago

CCM Blog

WAKULIMA WILAYA YA IKUNGI WAMPONGEZA RAIS DKT. JOHN MAGUFULI…!

 1Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo akizungumza kuhusu malipo ya wakulima wa Kata ya Iglanson kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani.2 Afisa Ushirika wa Wilaya ya Ikungi, Gurisha Nsemo akizungumza na Wakulima wa Kata ya Iglanson wakati wa malipo hayo.

vlcsnap-2020-05-27-15h10m19s748 Mkulima, Isack Shango,  akimshukuru Rais Magufuli kwa niaba ya wenzake.

vlcsnap-2020-05-27-15h11m55s710  Mkulima, Magreth Magamba, akizungumza. 


vlcsnap-2020-05-27-15h12m55s580 Wakulima wa Kata ya Iglanson wakisubiri kulipwa. 


vlcsnap-2020-05-27-15h13m35s228  Wakulima wa Kata ya Iglanson wakisubiri kulipwa. 


vlcsnap-2020-05-27-15h17m45s705 Meneja wa Benki ya NMB,...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL YAZINDUA MNARA WA MAWASILIANO WILAYA YA IKUNGI SINGIDA‏

Mgeni Rasmi katika uzinduzi wa mnara wa airtel Omar Hassan Mgisa Diwani wa kata ya Mwaru akikata utepe wakati wa uzinduzi wamnara wa airtel katika kijiji cha mwaru wilayani ikungi mkoani Singida jana wakati wa uzinduzi wa mnara huo. Katikati ni Meneja wa kampuni ya Airtel kanda ya kati bwana Martin Kilasara, akitoa maelezo kwa mgeni rasmi Omary Hassan Mgisa Diwani wa kata ya Mwaru tarafa ya sepuka Wilayani Ikungi Singida Wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani