Ally Juma Mwanga aula Uenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi
Msimamizi wa uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti Halmashauri ya Ikungi, Shukrani Mshigati, akitoa ufafanuzi juu ya uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti na Makamu wake Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi uliofanyika hivi karibuni.Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Ikungi, Gichuli Charles.
Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi wakishiriki kumchangua Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti katika halmashauri hiyo.
Mwenyekiti mteule wa Halmashauri ya wilaya ya Ikungi, Ally...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi yaunda Bodi mpya ya Afya yenye wajumbe 11 kwa miaka mitatu
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani, Singida Manju Msambya akizungumza na wajumbe wa bodi ya afya ya Wikaya ya Ikungi kwenye ukumbi wa Lake Hill Singida Motel, wakati wa uzinduzi wa bodi mpya ya halmashauri hiyo.
Na Hillary Shoo,IKUNGI.
Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida imeunda bodi mpya ya afya yenye wajumbe 11 na kamati za afya za vituo kwa kipindi cha miaka mitatu ili kufanikisha kuwepo kwa miundo ya kijamii na kitaasisi ambayo itaongeza madaraka na mamlaka ya jamii juu ya...
10 years ago
Dewji Blog19 Aug
Simon Berege aula uenyekiti MISA-TAN
Mjumbe wa Kamati ya utendaji MISA -TAN, Lilian Lucas Kasenene akimpongeza Mwenyekiti mpya wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika, Tawi la Tanzania (MISA-TAN), Simon Berege.
Na Nathaniel Limu
Mkutano mkuu wa uchaguzi wa Chama cha waandishi wa habari kusini mwa Afrika (MISA-TANZANIA), umemchagua kwa kishindo Mhadhiri wa Chuo kikuu cha Iringa, Simon Berege kuwa mwenyekiti wake kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo.
Berege ambaye alikuwa mgombea pekee wa nafasi hiyo, alizoa kura zote...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ds_NZBOZq5A/VmbRn3O2VWI/AAAAAAAAsD0/DQ7sF4Drhm0/s72-c/2.jpg)
CCM YANYAKUA UENYEKITI WA HALMASHAURI LINDI VIJIJINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ds_NZBOZq5A/VmbRn3O2VWI/AAAAAAAAsD0/DQ7sF4Drhm0/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-D7tbVVeVw64/VmbRozn_HMI/AAAAAAAAsD4/CYjh-oWlv6M/s640/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XaoNOLJDzvg/VmbSN1zxU6I/AAAAAAAAsEA/DfDFrj2-Dv4/s640/10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CaYPdI7VTiQ/VmbYKNcqF_I/AAAAAAAAsEo/emlZ0ZT4z3w/s640/6.jpg)
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
CCM Singida yazoa viti vyote vya Halmashauri ya Ikungi na Mkalama
Katibu wa CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku, akitoa tamko la kukanusha mbele ya waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) taarifa zinazoenezwa kwamba CCM mkoa ilikata jina la mgombea nafasi ya Mwenyekiti halmashauri ya wilaya ya Mkalama, kutokana na ulemavu wake wa miguu. Kulia ni Katibu msaidizi CCM mkoa wa Singida, Adamu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Singida, kimekanusha vikali uzushi unaoenezwa kwamba kilikata jina la mgombea nafasi...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3psNhypYI2E/VkC14ofljRI/AAAAAAAIFDM/kQBYnAH4iNU/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
DONATIONS FOR TREATMENT FOR AMINA ALLY JUMA (CANCER- LEUKEMIA)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3psNhypYI2E/VkC14ofljRI/AAAAAAAIFDM/kQBYnAH4iNU/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WQ-yr0Yl_Bs/VZo8qBI9vWI/AAAAAAAHnOM/nsR-bJtOyRA/s72-c/unnamed%2B%252839%2529.jpg)
Airtel yazindua Mnara wa Mawasiliano wilaya ya Ikungi, Singida
Meneja wa kanda ya kati wa Airtel, Bwana Stephen Akyoo, alisema Mnara huo mpya wa mawasilino ni moja kati ya mikakati ya kampuni yake kujitanua zaidi na kuboresha mtandao wa mawasiliano, huku wakiendelea kuangalia namna ya kuendelea kufanya huduma zao kuwa za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5VzRDA4ybXw/XuRwahAskQI/AAAAAAALtqU/rZVtCmU0XWQAXnh8FoAVx_zPFkWIfRA-wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B8.44.12%2BAM.jpeg)
MKURUGENZI HALMASHAURI YA MWANGA AGAWA VIFAA VYA KUTUNZA MAZINGIRA
Bustani hiyo imejipatia umaarufu mkubwa wilayani Mwanga ambapo wananchi hufika kupiga picha hasa kwenye matukio muhimu kama Harusi, Mahafali na shughuli zingine.
Vifaa hivyo vimetolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga, Zefrin Lubuva ambapo amesema...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-o-iftunf9m0/Xs5sKoVfHuI/AAAAAAAAMX0/-u54N-33fpgWuVSJCHe0Hoeif2-7HiXjQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
WAKULIMA WILAYA YA IKUNGI WAMPONGEZA RAIS DKT. JOHN MAGUFULI…!
![1 1](https://1.bp.blogspot.com/-o-iftunf9m0/Xs5sKoVfHuI/AAAAAAAAMX0/-u54N-33fpgWuVSJCHe0Hoeif2-7HiXjQCLcBGAsYHQ/s400/1.png)
![2 2](https://1.bp.blogspot.com/-N-jaXoNDBDs/Xs5sIumtuUI/AAAAAAAAMXs/PTznSJOSvE8p_T7IGPMs9oIwQhmGr-LtQCLcBGAsYHQ/s400/2.png)
![vlcsnap-2020-05-27-15h10m19s748 vlcsnap-2020-05-27-15h10m19s748](https://1.bp.blogspot.com/-kXl-FC5nBwk/Xs5sJxecqkI/AAAAAAAAMXw/Soa0dyXhhgIU2dHr8e6ASbEn0TVNb5dzACLcBGAsYHQ/s400/vlcsnap-2020-05-27-15h10m19s748.png)
![vlcsnap-2020-05-27-15h11m55s710 vlcsnap-2020-05-27-15h11m55s710](https://1.bp.blogspot.com/-Xup153Qqz1Y/Xs5sMM2TG-I/AAAAAAAAMX4/F53rTArN5DY52yqdhvBBjKQLKUTkQpeHgCLcBGAsYHQ/s400/vlcsnap-2020-05-27-15h11m55s710.png)
![vlcsnap-2020-05-27-15h12m55s580 vlcsnap-2020-05-27-15h12m55s580](https://1.bp.blogspot.com/-3a_Id4U13K4/Xs5sOUMxw6I/AAAAAAAAMX8/_tWr4BX1lIkXqNYrrkPkbfUv8voIXVdbgCLcBGAsYHQ/s400/vlcsnap-2020-05-27-15h12m55s580.png)
![vlcsnap-2020-05-27-15h13m35s228 vlcsnap-2020-05-27-15h13m35s228](https://1.bp.blogspot.com/-24qSAMLaJ1E/Xs5sOwbGTMI/AAAAAAAAMYE/CuRWPBXTsa4VwejWXoRjQNyX8ECyGKiuQCLcBGAsYHQ/s400/vlcsnap-2020-05-27-15h13m35s228.png)
![vlcsnap-2020-05-27-15h17m45s705 vlcsnap-2020-05-27-15h17m45s705](https://1.bp.blogspot.com/-b8yw5_3azG0/Xs5sOti3mkI/AAAAAAAAMYA/m2Haw1d-v5c29TgK7_MKRB12hnhb9prqgCLcBGAsYHQ/s400/vlcsnap-2020-05-27-15h17m45s705.png)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wElhaJF9fXJycfOz9oajWFhKr5BkD9mCsgVu5--AT-hl92hJ2V2waUudzIvFJvlaSS6ZfRaCR1JVqrU92hg0QAwyobCmWbDx/picture2JPG.jpg?width=650)
AIRTEL YAZINDUA MNARA WA MAWASILIANO WILAYA YA IKUNGI SINGIDA