Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM YANYAKUA UENYEKITI WA HALMASHAURI LINDI VIJIJINI

Mkuu wa Wilaya ya Lindi Ndugu Yahaya Nawanda akihutubia wakati wa ufunguzi wa kikao cha kwanza cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Lindi Vijijini ambapo aliwataka madiwani wao kuhakikisha suala la usafi linatiliwa mkazo kwenye maeneo yao. Baadhi ya madiwani wakisikiliza kwa makini.
 Mbunge wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye akipiga kura kumchagua Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lindi Vijijini.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

CCM Blog

HALMASHAURI YA LINDI VIJIJINI YAPATA MWENYEKITI


Mkuu wa Wilaya ya Lindi Ndugu Yahaya Nawanda akihutubia wakati wa ufunguzi wa kikao cha kwanza cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Lindi Vijijini ambapo aliwataka madiwani wao kuhakikisha suala la usafi linatiliwa mkazo kwenye maeneo yao.
 Baadhi ya madiwani wakisikiliza kwa makini.

 Mbunge wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye akipiga kura kumchagua Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lindi Vijijini.
 Mbunge wa jimbo la Mtama ndugu Nape Nnauye (CCM) akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Mchinga ndugu...

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM yanyakua viti vya Mstahiki Meya na naibu Meya Halmashauri ya Manisspaa ya Singida

IMG_1325

Diwani wa kata ya Mughanga (CCM) manispaa ya Singida, Velerian Kimambo, akiapa mbele ya hakimu wa mahakama ya mwanzo mjini hapa,Zakaria Simoin. Madiwani 26 wa halmashauri ya manispaa, (16/12/2015), wamekula viapo rasmi tayari kuanza kuwatumikia wananchi.

IMG_1287

Diwani wa kata ya Mitunduruni (CHADEMA) manispaa ya Singida, Velerian Pantaleo Mastiko Sorongai, akiapa mbele ya hakimu wa mahakama ya mwanzo mjini hapa, Zakaria Simoin. Madiwani 26 wa halmashauri ya manispaa wamekula viapo rasmi tayari...

 

11 years ago

GPL

FLAVIANA MATATA, PSPF WATOA MABEGI KWA WANAFUNZI 650 WA SHULE KATIKA HALMASHAURI ZA LINDI NA NACHINGWEA MKOANI LINDI

Meneja Mawasiliano, Masoko na Uenezi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Costantina Martin pamoja na Mwanamitindo Flaviana Matata wakitoa mabegi kwa mmoja wa wanafunzi wa shule ya Msingi Mnengulo mkoani Lindi. Jumla ya wanafunzi 650 wa shule zilizopo katika  Halmashauri za Lindi na Nachingwea  mkoa wa Lindi wamenufaika na msaada huo wa mabegi hayo yenye vifaa mbalimbali vya shule, msaada huo umetolewa kwa pamoja kati ya PSPF na...

 

5 years ago

CCM Blog

SINGIDA YAADHIMISHA MIAKA 43 YA CCM KWA KISHINDO, YATOA MSIMAMO ENEO LINASTAHILI KUJENGWA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA SINGIDA VIJIJINI

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Alhaji Juma Kilimba, akizungumza kwenye sherehe za maadhimisho ya miaka 43 ya chama hicho yaliyofanyika kimkoa Wilaya ya Singida Vijijini hivi karibuni. Wengine ni viongozi mbalimbali wa chama hicho na Serilikali na Wabunge. KWA PICHA ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 43 YA CCM >> BOFYA HAPA

Na Godwin Myovela, Singida
Baada ya mvutano mkubwa ambao umekuwepo baina ya madiwani, viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na viongozi wa Serikali kuhusu...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ally Juma Mwanga aula Uenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

IMG_1157

Msimamizi wa uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti Halmashauri ya Ikungi, Shukrani Mshigati, akitoa ufafanuzi juu ya uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti na Makamu wake Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi uliofanyika hivi karibuni.Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Ikungi, Gichuli Charles.

IMG_1176

Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi wakishiriki kumchangua Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti katika halmashauri hiyo.

IMG_1168

IMG_1232

Mwenyekiti mteule wa Halmashauri ya wilaya ya Ikungi, Ally...

 

9 years ago

BBCSwahili

CCM yanyakua viti 64 maalum,Chadema 36

Chama cha CCM kimenyakua idadi kubwa ya viti vya wabunge maalum miongoni mwa vyama vilivyoshiriki katika uchaguzi mkuu uliopita.

 

9 years ago

Global Publishers

CCM yanyakua ubunge jimbo la Masasi

33Mbunge Mteule wa Jimbo la Masasi kwa tiketi ya CCM, Bw. Rashid Chuachua.

Chama cha Mapinduzi kimeweza kutetea jimbo lake la Masasi katika uchaguzi ulifanyika jana baada ya kuahirishwa Okt. 25 mwaka huu kutokana na kifo cha aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia chama cha NLD, Dkt. Emamanuel Makaidi kufariki Dunia huko Nyangao mkoani Lindi.

Kwa mujibu wa matokeo ya uchaguzi huo yaliyotangazwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya jimbo la Masasi, Fortunatus Kagoro amesema kuwa Bw. Rashid...

 

9 years ago

Mwananchi

CCM, Chadema waendelea kukabana umeya, uenyekiti

Vyama vya CCM na Chadema vinaendelea kukabana koo maeneo mbalimbali katika kuwania nafasi ya umeya na uenyekiti wa halmashauri.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani