CCM YANYAKUA UENYEKITI WA HALMASHAURI LINDI VIJIJINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ds_NZBOZq5A/VmbRn3O2VWI/AAAAAAAAsD0/DQ7sF4Drhm0/s72-c/2.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Lindi Ndugu Yahaya Nawanda akihutubia wakati wa ufunguzi wa kikao cha kwanza cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Lindi Vijijini ambapo aliwataka madiwani wao kuhakikisha suala la usafi linatiliwa mkazo kwenye maeneo yao.
Baadhi ya madiwani wakisikiliza kwa makini.
Mbunge wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye akipiga kura kumchagua Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lindi Vijijini.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-ds_NZBOZq5A/VmbRn3O2VWI/AAAAAAAAsD0/DQ7sF4Drhm0/s72-c/2.jpg)
HALMASHAURI YA LINDI VIJIJINI YAPATA MWENYEKITI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ds_NZBOZq5A/VmbRn3O2VWI/AAAAAAAAsD0/DQ7sF4Drhm0/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-D7tbVVeVw64/VmbRozn_HMI/AAAAAAAAsD4/CYjh-oWlv6M/s640/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XaoNOLJDzvg/VmbSN1zxU6I/AAAAAAAAsEA/DfDFrj2-Dv4/s640/10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CaYPdI7VTiQ/VmbYKNcqF_I/AAAAAAAAsEo/emlZ0ZT4z3w/s640/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ggLLq6qTZo0/VmbYHkxDjCI/AAAAAAAAsEY/4yTTCrMFMdk/s640/1.jpg)
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
CCM yanyakua viti vya Mstahiki Meya na naibu Meya Halmashauri ya Manisspaa ya Singida
Diwani wa kata ya Mughanga (CCM) manispaa ya Singida, Velerian Kimambo, akiapa mbele ya hakimu wa mahakama ya mwanzo mjini hapa,Zakaria Simoin. Madiwani 26 wa halmashauri ya manispaa, (16/12/2015), wamekula viapo rasmi tayari kuanza kuwatumikia wananchi.
Diwani wa kata ya Mitunduruni (CHADEMA) manispaa ya Singida, Velerian Pantaleo Mastiko Sorongai, akiapa mbele ya hakimu wa mahakama ya mwanzo mjini hapa, Zakaria Simoin. Madiwani 26 wa halmashauri ya manispaa wamekula viapo rasmi tayari...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y9Yc5qVXVzSkkWD86-QggH9tkpoQca4QSZp46IYO-xcjxm7huy4zkJnSGV*7J*AdvTJC8wkR2aCpzqqzM78jnVCNL7ON*Qhs/flaviana4.jpg?width=650)
FLAVIANA MATATA, PSPF WATOA MABEGI KWA WANAFUNZI 650 WA SHULE KATIKA HALMASHAURI ZA LINDI NA NACHINGWEA MKOANI LINDI
5 years ago
CCM BlogSINGIDA YAADHIMISHA MIAKA 43 YA CCM KWA KISHINDO, YATOA MSIMAMO ENEO LINASTAHILI KUJENGWA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA SINGIDA VIJIJINI
Na Godwin Myovela, Singida
Baada ya mvutano mkubwa ambao umekuwepo baina ya madiwani, viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na viongozi wa Serikali kuhusu...
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
Ally Juma Mwanga aula Uenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi
Msimamizi wa uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti Halmashauri ya Ikungi, Shukrani Mshigati, akitoa ufafanuzi juu ya uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti na Makamu wake Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi uliofanyika hivi karibuni.Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Ikungi, Gichuli Charles.
Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi wakishiriki kumchangua Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti katika halmashauri hiyo.
Mwenyekiti mteule wa Halmashauri ya wilaya ya Ikungi, Ally...
9 years ago
BBCSwahili07 Nov
CCM yanyakua viti 64 maalum,Chadema 36
9 years ago
Global Publishers21 Dec
CCM yanyakua ubunge jimbo la Masasi
Mbunge Mteule wa Jimbo la Masasi kwa tiketi ya CCM, Bw. Rashid Chuachua.
Chama cha Mapinduzi kimeweza kutetea jimbo lake la Masasi katika uchaguzi ulifanyika jana baada ya kuahirishwa Okt. 25 mwaka huu kutokana na kifo cha aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia chama cha NLD, Dkt. Emamanuel Makaidi kufariki Dunia huko Nyangao mkoani Lindi.
Kwa mujibu wa matokeo ya uchaguzi huo yaliyotangazwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya jimbo la Masasi, Fortunatus Kagoro amesema kuwa Bw. Rashid...
9 years ago
Mwananchi13 Dec
CCM, Chadema waendelea kukabana umeya, uenyekiti