Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HALMASHAURI YA LINDI VIJIJINI YAPATA MWENYEKITI


Mkuu wa Wilaya ya Lindi Ndugu Yahaya Nawanda akihutubia wakati wa ufunguzi wa kikao cha kwanza cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Lindi Vijijini ambapo aliwataka madiwani wao kuhakikisha suala la usafi linatiliwa mkazo kwenye maeneo yao.
 Baadhi ya madiwani wakisikiliza kwa makini.

 Mbunge wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye akipiga kura kumchagua Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lindi Vijijini.
 Mbunge wa jimbo la Mtama ndugu Nape Nnauye (CCM) akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Mchinga ndugu...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

CCM YANYAKUA UENYEKITI WA HALMASHAURI LINDI VIJIJINI

Mkuu wa Wilaya ya Lindi Ndugu Yahaya Nawanda akihutubia wakati wa ufunguzi wa kikao cha kwanza cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Lindi Vijijini ambapo aliwataka madiwani wao kuhakikisha suala la usafi linatiliwa mkazo kwenye maeneo yao. Baadhi ya madiwani wakisikiliza kwa makini.
 Mbunge wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye akipiga kura kumchagua Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lindi Vijijini.

 

11 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya Singida yapata Makamu Mwenyekiti

DSC06664

Makamu Mwenyekiti Mpya wa Halmashauri ya Singida ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Msange tarafa ya Ilongero, Elia Digha.

Na Nathaniel Limu, Singida

Kikao cha baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Singida, kimemchagua Elia Digha kuwa makamu mwenyekiti kwa kipindi cha mwaka moja,baada ya kupata kura zote 28 za ndio zilizopigwa.

Digha ambaye ni diwani wa kata ya Msange tarafa ya Ilongero kupitia tiketi ya CCM, alipigiwa kura za ndio na hapana kutokana na halmashauri hiyo kutokuwa na...

 

11 years ago

GPL

FLAVIANA MATATA, PSPF WATOA MABEGI KWA WANAFUNZI 650 WA SHULE KATIKA HALMASHAURI ZA LINDI NA NACHINGWEA MKOANI LINDI

Meneja Mawasiliano, Masoko na Uenezi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Costantina Martin pamoja na Mwanamitindo Flaviana Matata wakitoa mabegi kwa mmoja wa wanafunzi wa shule ya Msingi Mnengulo mkoani Lindi. Jumla ya wanafunzi 650 wa shule zilizopo katika  Halmashauri za Lindi na Nachingwea  mkoa wa Lindi wamenufaika na msaada huo wa mabegi hayo yenye vifaa mbalimbali vya shule, msaada huo umetolewa kwa pamoja kati ya PSPF na...

 

9 years ago

GPL

MISS TANZANIA YAPATA MWENYEKITI MPYA

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundega akiongea na wanahabari (hawapo pichani). Kamati inayosimamia mashindano ya Miss Tanzania Lino International Agency imepata Mwenyekiti na wajumbe wapya watakaoandaa, kuratibu na kusimamia mashindano ya urembo ya Miss Tanzania.
Akiwatambulisha wajumbe hao mbele ya waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam, aliyekuwa Mwenyekiti wa kamati ya Miss Tanzania iliyomaliza...

 

10 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA ALBINO TANZANIA AJITOSA UBUNGE KOROGWE VIJIJINI, AAHIDI KULETA MAENDELEO

Mwenyekiti wa Chamacha Albino Tanzania (TAS), Bw. Ernest Kimaya (kushoto) akiwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda wakati wa maadhimisho ya Siku ya Walemavu wa Ngozi Tanzania kwenye viwanja vya Garden Mjini Iringa Mei 4, 2010. 

Mwenyekiti wa chama cha watu wenye ulemavu wa ngozi Tanzania (Albino) ndugu Ernest Kimaya akimfariji Mama Maria Chambanenge wakati akipatiwa matibabu katika hospitali kuu ya Mkoa Rukwa kufuatia kukatwa mkono wake wa kushoto na watu...

 

10 years ago

Michuzi

CCM MOSHI VIJIJINI WAMPONGEZA MWENYEKITI MPYA WA MJI MDOGO WA HIMO HUSSEIN JAMAL.

Baaadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi waliofika katika sherehe ya pongezi kwa mwenyekiti wa mji mdogo wa Himo.Katibu wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Moshi vijijini Miriam Kaaya akizungumza wakatio wa sherehe za kumpongeza mwenyekiti wa mji mdpgo wa Himo ,Hussein Jamal.Mwenyekiti mpya wa mji mdogo wa Himo ,Hussein Jamal akizungumza na wananchi waliofika katika sherehe za pongezi zilizofanyika katika ukumbi wa King size uliopo mji mdogo wa Himo. Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda...

 

10 years ago

Habarileo

Hukumu kesi ya Mwenyekiti Halmashauri Njombe yavuta hisia

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Njombe inatarajiwa kutoa hukumu kesho ya kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe, Antony Mahwata ya kutishia kuua kwa maneno.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani