HALMASHAURI YA LINDI VIJIJINI YAPATA MWENYEKITI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ds_NZBOZq5A/VmbRn3O2VWI/AAAAAAAAsD0/DQ7sF4Drhm0/s72-c/2.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Lindi Ndugu Yahaya Nawanda akihutubia wakati wa ufunguzi wa kikao cha kwanza cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Lindi Vijijini ambapo aliwataka madiwani wao kuhakikisha suala la usafi linatiliwa mkazo kwenye maeneo yao.
Baadhi ya madiwani wakisikiliza kwa makini.
Mbunge wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye akipiga kura kumchagua Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lindi Vijijini.
Mbunge wa jimbo la Mtama ndugu Nape Nnauye (CCM) akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Mchinga ndugu...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ds_NZBOZq5A/VmbRn3O2VWI/AAAAAAAAsD0/DQ7sF4Drhm0/s72-c/2.jpg)
CCM YANYAKUA UENYEKITI WA HALMASHAURI LINDI VIJIJINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ds_NZBOZq5A/VmbRn3O2VWI/AAAAAAAAsD0/DQ7sF4Drhm0/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-D7tbVVeVw64/VmbRozn_HMI/AAAAAAAAsD4/CYjh-oWlv6M/s640/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XaoNOLJDzvg/VmbSN1zxU6I/AAAAAAAAsEA/DfDFrj2-Dv4/s640/10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CaYPdI7VTiQ/VmbYKNcqF_I/AAAAAAAAsEo/emlZ0ZT4z3w/s640/6.jpg)
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
Halmashauri ya Singida yapata Makamu Mwenyekiti
Makamu Mwenyekiti Mpya wa Halmashauri ya Singida ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Msange tarafa ya Ilongero, Elia Digha.
Na Nathaniel Limu, Singida
Kikao cha baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Singida, kimemchagua Elia Digha kuwa makamu mwenyekiti kwa kipindi cha mwaka moja,baada ya kupata kura zote 28 za ndio zilizopigwa.
Digha ambaye ni diwani wa kata ya Msange tarafa ya Ilongero kupitia tiketi ya CCM, alipigiwa kura za ndio na hapana kutokana na halmashauri hiyo kutokuwa na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y9Yc5qVXVzSkkWD86-QggH9tkpoQca4QSZp46IYO-xcjxm7huy4zkJnSGV*7J*AdvTJC8wkR2aCpzqqzM78jnVCNL7ON*Qhs/flaviana4.jpg?width=650)
FLAVIANA MATATA, PSPF WATOA MABEGI KWA WANAFUNZI 650 WA SHULE KATIKA HALMASHAURI ZA LINDI NA NACHINGWEA MKOANI LINDI
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/237.jpg)
MISS TANZANIA YAPATA MWENYEKITI MPYA
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA ALBINO TANZANIA AJITOSA UBUNGE KOROGWE VIJIJINI, AAHIDI KULETA MAENDELEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-D726agHEX2I/Vaobt2laofI/AAAAAAAAIRc/BitLNJox8Dw/s640/Ernest%2BKimaya%2Bna%2BMaria%2BChambanenge.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0R4WLFRUOW8/VWws2ulVmwI/AAAAAAAAQOI/Cnkn43gUkNA/s72-c/E86A8904%2B%2528800x533%2529.jpg)
CCM MOSHI VIJIJINI WAMPONGEZA MWENYEKITI MPYA WA MJI MDOGO WA HIMO HUSSEIN JAMAL.
![](http://4.bp.blogspot.com/-0R4WLFRUOW8/VWws2ulVmwI/AAAAAAAAQOI/Cnkn43gUkNA/s640/E86A8904%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-g4Z4Z-33N1c/VWws7MXl8kI/AAAAAAAAQOk/R62bZTDe1og/s640/E86A8916%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-raQz9jYwXJs/VWws_IIgVpI/AAAAAAAAQPU/KDk4LCKAmjo/s640/E86A8970%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Habarileo10 Dec
Hukumu kesi ya Mwenyekiti Halmashauri Njombe yavuta hisia
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Njombe inatarajiwa kutoa hukumu kesho ya kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe, Antony Mahwata ya kutishia kuua kwa maneno.