Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mmomonyoko wa maadili, maendeleo ya Tanzania yetu

Kadiri miaka inavyozidi kwenda ongezeko la mmomonyoko wa maadili kwa watumishi wa umma limekuwa tishio kwa maendeleo ya Taifa letu kiuchumi, kisiasa na kijamii.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mmomonyoko wa maadili ni zao la jamii ovu

Askari watatu wa Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Kagera wamefukuzwa kazi kwa kosa la kufanya vitendo vinavyokiuka maadili. Askari hao walipigwa picha wakibusiana huku wamevaa sare za jeshi.

 

10 years ago

KwanzaJamii

MKAPA: MMOMONYOKO WA MAADILI KWA VIONGOZI WA UMMA UNATISHA

Rais Mstaafu, Benjamini Mkapa, amesema tatizo la mgongano wa maslahi miongoni mwa viongozi na watumishi wa umma ni tatizo ambalo Tanzania inakabiliana nalo hivi sasa. Kadhalika, amesema licha ya serikali kufanikiwa katika kuhakikisha maadili nchini yanazingatiwa, bado lipo tatizo ambalo limeonekana kutopewa uzito unaostahili. Alisema hayo jijini Dar es Salaam jana wakati akifungua warsha ya kujadili mapendekezo ya kutungwa kwa sheria mpya ya kudhibiti mgongano wa maslahi miongoni mwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Matumizi ya simu kwa wanafunzi chanzo mmomonyoko wa maadili’

MATUMIZI ya simu kwa wanafunzi shuleni ambayo yamekuwa chanzo cha mmomonyoko wa maadili kwao, yanaweza kudhibitiwa endapo wamiliki wa shule, walimu na wazazi watasimamia sheria zitakazosaidia kuwabana wanafunzi kumiliki simu....

 

10 years ago

Dewji Blog

Mmomonyoko wa maadili kufikisha vijana katika hatua mbaya ya kudharau

DSC06344

Katibu wa CCM wilaya ya Ikungi,Aluu Segamba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Puma kwa ajili ya Katibu Mkuu UVCCM Taifa, Sixtus Raphael Mapunda kuzungumza na wananchi.

DSC06388

KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM) Taifa, Sixtus Raphael Mapunda akitema cheche katika mkutano huo wa hadhara.

DSC06412

Mkazi wa kijiji cha Puma tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, Seleman Nkhomee, aliuliza swali kuwa ni lini CCM itaanza kuwalipa posho mabalozi wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kuiga kwenu kunabomoa maadili yetu

'Nabembelezwa” ulikuwa ni moja ya nyimbo za Barnaba ambazo nilitokea kuzipenda sana. Lakini wimbo huo ilinikera pale video yake ilipotoka ikiwa na ‘Scene’ ambayo inawaonyesha watoto wa umri mdogo chini ya miaka saba wakipigana busu.

 

9 years ago

Mwananchi

JK : Maadili kwenye mifumo ya maendeleo Ni njia ya kuchochea ukuaji wa uchumi

Makamu wa Rais wa Marekani Joe Biden aliwahi kusema kuwa kushinda vita dhidi ya rushwa siyo  kunadhihirisha uwapo wa utawala bora, bali ujasiri na uzalendo wa viongozi wa nchi husika.

 

9 years ago

Mwananchi

MODESTA MBUGHUNI : Hatma ya maendeleo ya nchi yetu ipo mikononi mwetu wanawake

Katika kuperuzi kwangu mitandao nikitaka kujua hiki na kile, nilijikuta nikiwa nimekodoa macho kwenye mtandao wa Proffessional Approach Group

 

10 years ago

Michuzi

warsha ya siku moja kujadili mpango mkakati wa Maendeleo wa miaka 25 ya benki ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania yafanyika jijini Dar

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Thomas Samkyi akizungumza katika warsha juu ya kujadili mpango wa maendeleo wa taasisi hiyo kwa miaka 25 ijayo. Warsha hiyo ilifanyika hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency, Dar es Salaam.Mkuu wa Mipango, Sera na Ushirikiano wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania, Francis Assenga akizungumza na wadau katika mkutano huo.Wadau wa sekta ya kilimo, uvuvi na ufugaji wakifuatilia warsha ya mpango wa maendeleo wa miaka 25 wa benki...

 

9 years ago

Michuzi

WATANZANIA TUTAMBUE AMANI YETU NI FAHARI YETU.

 Msajili wa Vyama vya  Siasa Jaji Francis Mutungi  akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya   utofauti wa itikadi wa vyama ndiyo ukomavu wa demokrasia nchini hivyo ni jambo la busara kuvumiliana na kufanya siasa za kistaarabu, ameyasema hayo wakati  wa  kikao hicho kimefanyika leo jijini Dar es Salaam kulia ni Balozi wa Amani Mrisho Mpoto na kushoto ni Balozi wa Amani Christina Shusho. Balozi wa Amani Mrisho Mpoto akifafanua jambo katika kikao hicho leo jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani