JKT waagizwa kujitegemea kwa kilimo, ufugaji
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk Hussein Mwinyi ametaka vikosi vya jeshi la Kujenga Taifa kujitegemea katika ufugaji na kilimo, ili kutoa fursa kwa vijana kutambua kwamba kilimo ndio kinachoweza kuwatoa katika umaskini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo05 Jan
RC ashauri waliopitia mafunzo JKT kujitegemea
MKUU wa mkoa Kigoma Issa Machibya amewataka walimu watarajiwa waliomaliza mafunzo katika kambi ya JKT Bulombora mkoani Kigoma kutumia mafunzo ya kujitegemea waliyopata wakati wa mafunzo kuanzisha miradi ya ujasiriamali ya kilimo ili kuongeza hali zao za kipato na kuimarisha uchumi wa familia zao.
10 years ago
StarTV13 Jan
Waagizwa kutembelea Rukwa kujifunza ufugaji wa kisasa.
Na Sammy Jumaa Kisika,
Rukwa.
Serikali imeziagiza halmashauri zote nchini kuandaa ziara za mafunzo kwa vitendo kwa kuutembelea mkoa wa Rukwa ili kujifunza namna ya kufanya mageuzi katika ufugaji wa kisasa.
Agizo la Serikali limekuja baada wafugaji wa wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa kuanza kufuga kitaalamu kwa kutumia mbegu za ng’ombe za kisasa ambao huzalishwa kwa wafugaji mkoani humo na kupata tija katika sekta hiyo ya mifugo.
Wafugaji wa wilaya ya Nkasi sio tu wanafanikiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xTpnHTuV5KY/Xs044OrwCbI/AAAAAAALrpk/p51iU9kdI_0GRNYrZWrov7yXr_6u3TbgQCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-05-26-17h26m52s195.png)
Wananchi wawajia juu wenzao kwa kuuza eneo la kijiji lililotengwa kwa ajili ya Kilimo na Ufugaji
Wananchi wa vijiji vya kata ya Itulahumba halmashauri ya wilaya ya Wangingombe mkoani Njombe kwa pamoja wamepinga kitendo kinachofanywa na baadhi ya wananchi wenzao kwa kushirikiana na mtendaji wa kijiji hicho kuuza eneo ambalo limetengwa kijijini hapo kwaajili ya ufugaji na kilimo.
Eneo hilo lenye ukubwa wa zaidi ekari 80 ambalo limeanza kukatwa miti na kulimwa bila makubaliano ya kamati za...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8UK7YZp-z7E/U3ztXMnEXVI/AAAAAAAFkTs/ScrJ28aKd9g/s72-c/unnamed+(7).jpg)
WILAYA YA HANDENI NA MAENDELEO YA KILIMO NA UFUGAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-8UK7YZp-z7E/U3ztXMnEXVI/AAAAAAAFkTs/ScrJ28aKd9g/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RPlQLKdhqfg/U3ztYJRPqrI/AAAAAAAFkUI/Lz3bfFTjO4k/s1600/unnamed+(8).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QGbwQiFoMMA/XmFQSwk7VnI/AAAAAAALhY4/17ruhVgy4b0-QvyWRnzhzaW6RtQiBEoAQCLcBGAsYHQ/s72-c/2-10.jpg)
RC TABORA AWATAKA VIJANA KUCHANGAMKIA KILIMO NA UFUGAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-QGbwQiFoMMA/XmFQSwk7VnI/AAAAAAALhY4/17ruhVgy4b0-QvyWRnzhzaW6RtQiBEoAQCLcBGAsYHQ/s640/2-10.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/1a.jpg)
VIJANA wametakiwa kutumia fursa zinazotokana shughuli za kilimo na ufugaji kujiari wenyewe badala ya kusubiri ajira za Serikali...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-0lhhJafFW2s/VcBqxNW84eI/AAAAAAAAEiw/aX75UUdTEVY/s72-c/T.jpg)
MAONESHO YA KILIMO NA UFUGAJI YAZINDULIWA MKOANI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-0lhhJafFW2s/VcBqxNW84eI/AAAAAAAAEiw/aX75UUdTEVY/s640/T.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Arn9gJ15RX0/VcBqzwvXd3I/AAAAAAAAEi4/XXLAqP-SuzE/s640/T%2B2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-g5AOEF9VpYM/VcBq3fRG2jI/AAAAAAAAEjA/uoWhO0mh24c/s640/T%2B3.jpg)
11 years ago
Habarileo03 Aug
Hai imepiga hatua kubwa katika kilimo, ufugaji - DC
MKUU wa Wilaya ya Hai, Novatus Makunga amesema Wilaya yake imepiga hatua kubwa katika kuziba pengo la kiteknolojia kwenye kilimo na ufugaji.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/K99tczx_LQM/default.jpg)
5 years ago
MichuziNBC WAENDELEA KUUNGA MKONO SERIKALI YA AWAMU YA TANO KATIKA SEKTA YA KILIMO, UVUVI NA UFUGAJI
Hayo yamesemwa wakati wa Mkutano wa wadau katika Kuongeza tija kwenye sekta ya kilimo na mifugo kwa maendeleo ya Viwanda.
Mkutano huo uliodhaminiwa na Benki ya Biashara ya NBC, umeweza kuhudhuriwa na Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent Bashungwa, Waziri wa Ufugaji na Uvuvi Luhaga Mpina na Naibu Waziri wa...