Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JKT waagizwa kujitegemea kwa kilimo, ufugaji

WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk Hussein Mwinyi ametaka vikosi vya jeshi la Kujenga Taifa kujitegemea katika ufugaji na kilimo, ili kutoa fursa kwa vijana kutambua kwamba kilimo ndio kinachoweza kuwatoa katika umaskini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

RC ashauri waliopitia mafunzo JKT kujitegemea

Issa MachibyaMKUU wa mkoa Kigoma Issa Machibya amewataka walimu watarajiwa waliomaliza mafunzo katika kambi ya JKT Bulombora mkoani Kigoma kutumia mafunzo ya kujitegemea waliyopata wakati wa mafunzo kuanzisha miradi ya ujasiriamali ya kilimo ili kuongeza hali zao za kipato na kuimarisha uchumi wa familia zao.

 

10 years ago

StarTV

Waagizwa kutembelea Rukwa kujifunza ufugaji wa kisasa.

Na Sammy Jumaa Kisika,

Rukwa.

 

Serikali imeziagiza halmashauri zote nchini kuandaa ziara za mafunzo kwa vitendo kwa kuutembelea mkoa wa Rukwa ili kujifunza namna ya kufanya mageuzi katika ufugaji wa kisasa.

 

Agizo la Serikali limekuja baada wafugaji wa wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa kuanza kufuga kitaalamu kwa kutumia mbegu za ng’ombe za kisasa ambao huzalishwa kwa wafugaji mkoani humo na kupata tija katika sekta hiyo ya mifugo.

 

Wafugaji wa wilaya ya Nkasi sio tu wanafanikiwa...

 

5 years ago

Michuzi

Wananchi wawajia juu wenzao kwa kuuza eneo la kijiji lililotengwa kwa ajili ya Kilimo na Ufugaji

Na Amiri kilagalila,Njombe

Wananchi wa vijiji vya kata ya Itulahumba halmashauri ya wilaya ya Wangingombe mkoani Njombe kwa pamoja wamepinga kitendo kinachofanywa na baadhi ya wananchi wenzao kwa kushirikiana na mtendaji wa kijiji hicho kuuza eneo ambalo limetengwa kijijini hapo kwaajili ya ufugaji na kilimo.

Eneo hilo lenye ukubwa wa zaidi ekari 80 ambalo limeanza kukatwa miti na kulimwa bila makubaliano ya kamati za...

 

11 years ago

Michuzi

WILAYA YA HANDENI NA MAENDELEO YA KILIMO NA UFUGAJI

 Mmoja ya wakulima wa Mahindi Wilaya ya Handeni mkoani Tanga Bw. Adalbertus Bubelwa wa pili kutoka kushoto akimwelezea Mkuu wa wilaya ya handeni Bw. Muhingo Rweyemamu, jinsi alivyoandaa shamba lake. Mkuu huyo wa wilaya alikuwa katika ziara ya kuwatembelea wakulima katika vijiji mbalimbali wilayani humo kuangalia mazao mashambani.  Mkuu wa wilaya ya Handeni Bw. Muhingo Rweyemamu, kushoto ambaye ni mwenye shamba akipata maelekezo kutoka kwa Afisa Kilimo wa Wilaya hiyo Bw. Yibarik Chiza,...

 

5 years ago

Michuzi

RC TABORA AWATAKA VIJANA KUCHANGAMKIA KILIMO NA UFUGAJI

 Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akifungua jana kongamano la siku mbili la vijana katika fursa za kilimo , mifugo  na uvuvi ambao wameoka  Tabora, Kigoma na Singida .
Vijana kutoka Tabora , Singida na Kigoma wakiwa katika kongamano  la siku mbili linalohusu fursa za kilimo , mifugo  na uvuvi. Kongamano hilo limefanyika jana mjini Tabora NA TIGANYA VINCENT
VIJANA wametakiwa kutumia fursa zinazotokana shughuli za kilimo na ufugaji kujiari wenyewe badala ya kusubiri ajira za Serikali...

 

10 years ago

Vijimambo

MAONESHO YA KILIMO NA UFUGAJI YAZINDULIWA MKOANI ARUSHA

Mwenyekiti wa Chama cha Wakulima Kanda ya Kaskazini(Taso)Arthur Kitonga akisoma taarifa ya Taso inayojumuisha mikoa ya Kilimanjaro,Manyara na Arusha.Mkuu wa Mkoa wa Manyara ambao ni wanachama wa Taso Kanda ya Kaskazini,Mh Joel Bendera akisistiza jambo kwenye mkutano wa ufunguzi uliofanyika kwenye viwanja ya Nanaenane Njiro jijini Arusha,anayesikiliza kwa makini ni Mkuu wa mkoa wa Arusha,Felix Ntibenda(wa pili kushoto).
Meneja wa Shama la Mbegu la Serikali mkoa wa Arusha,Zawadiel Mrinji...

 

11 years ago

Habarileo

Hai imepiga hatua kubwa katika kilimo, ufugaji - DC

MKUU wa Wilaya ya Hai, Novatus Makunga amesema Wilaya yake imepiga hatua kubwa katika kuziba pengo la kiteknolojia kwenye kilimo na ufugaji.

 

5 years ago

Michuzi

NBC WAENDELEA KUUNGA MKONO SERIKALI YA AWAMU YA TANO KATIKA SEKTA YA KILIMO, UVUVI NA UFUGAJI

ILI Kufikia uchumi wa kati katika sekta ya Viwanda, mahitaji ya wakulima, wavuvi na wafugaji hayawezi kutekelezwa kwa bajeti ya serikali pekee bali wadau wakubwa wajitokeze kuwekeza.
Hayo yamesemwa wakati wa Mkutano wa wadau katika Kuongeza tija kwenye sekta ya kilimo na mifugo kwa maendeleo ya Viwanda.
Mkutano huo uliodhaminiwa na  Benki ya Biashara ya NBC, umeweza kuhudhuriwa na Waziri wa Viwanda na Biashara  Innocent Bashungwa, Waziri wa Ufugaji na Uvuvi Luhaga Mpina na Naibu Waziri wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani