MAONESHO YA KILIMO NA UFUGAJI YAZINDULIWA MKOANI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-0lhhJafFW2s/VcBqxNW84eI/AAAAAAAAEiw/aX75UUdTEVY/s72-c/T.jpg)
Mwenyekiti wa Chama cha Wakulima Kanda ya Kaskazini(Taso)Arthur Kitonga akisoma taarifa ya Taso inayojumuisha mikoa ya Kilimanjaro,Manyara na Arusha.
Mkuu wa Mkoa wa Manyara ambao ni wanachama wa Taso Kanda ya Kaskazini,Mh Joel Bendera akisistiza jambo kwenye mkutano wa ufunguzi uliofanyika kwenye viwanja ya Nanaenane Njiro jijini Arusha,anayesikiliza kwa makini ni Mkuu wa mkoa wa Arusha,Felix Ntibenda(wa pili kushoto).
Meneja wa Shama la Mbegu la Serikali mkoa wa Arusha,Zawadiel Mrinji...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XisBi9_f_ig/VcGmBnnPkcI/AAAAAAAAEkw/l61EjgoJoiI/s72-c/1.jpg)
TCRA YATOA ELIMU KWA WANANCHI KWENYE MAONESHO YA KILIMO ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-XisBi9_f_ig/VcGmBnnPkcI/AAAAAAAAEkw/l61EjgoJoiI/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pE46eR86MoU/VcGmFBcuWhI/AAAAAAAAEk4/7v_f5zoce6g/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-e7mMcxlq8gU/VcGmILBV08I/AAAAAAAAElA/sV0GPPIovLg/s640/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jheR_MZlnSk/VcnBYI4DMeI/AAAAAAAHwB8/Rw16w5gf3iU/s72-c/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
Michuano ya Airtel Rising Stars Mkoani Arusha Yazinduliwa Rasmi
Hafla ya ufunguzi ilihudhuliwa na viongozi wa shirikisho la mpira wa miguu nchini (TFF) mkoa wa Arusha, mdhamini wa mashindano Airtel Tanzania na wadau wengine wa soka. Ufunguzi huo uliufanyika katika...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8UK7YZp-z7E/U3ztXMnEXVI/AAAAAAAFkTs/ScrJ28aKd9g/s72-c/unnamed+(7).jpg)
WILAYA YA HANDENI NA MAENDELEO YA KILIMO NA UFUGAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-8UK7YZp-z7E/U3ztXMnEXVI/AAAAAAAFkTs/ScrJ28aKd9g/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RPlQLKdhqfg/U3ztYJRPqrI/AAAAAAAFkUI/Lz3bfFTjO4k/s1600/unnamed+(8).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QGbwQiFoMMA/XmFQSwk7VnI/AAAAAAALhY4/17ruhVgy4b0-QvyWRnzhzaW6RtQiBEoAQCLcBGAsYHQ/s72-c/2-10.jpg)
RC TABORA AWATAKA VIJANA KUCHANGAMKIA KILIMO NA UFUGAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-QGbwQiFoMMA/XmFQSwk7VnI/AAAAAAALhY4/17ruhVgy4b0-QvyWRnzhzaW6RtQiBEoAQCLcBGAsYHQ/s640/2-10.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/1a.jpg)
VIJANA wametakiwa kutumia fursa zinazotokana shughuli za kilimo na ufugaji kujiari wenyewe badala ya kusubiri ajira za Serikali...
10 years ago
Habarileo31 Jan
JKT waagizwa kujitegemea kwa kilimo, ufugaji
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk Hussein Mwinyi ametaka vikosi vya jeshi la Kujenga Taifa kujitegemea katika ufugaji na kilimo, ili kutoa fursa kwa vijana kutambua kwamba kilimo ndio kinachoweza kuwatoa katika umaskini.
11 years ago
Habarileo03 Aug
Hai imepiga hatua kubwa katika kilimo, ufugaji - DC
MKUU wa Wilaya ya Hai, Novatus Makunga amesema Wilaya yake imepiga hatua kubwa katika kuziba pengo la kiteknolojia kwenye kilimo na ufugaji.
9 years ago
Habarileo11 Oct
Maonesho picha za Nyerere yazinduliwa
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhem Meru amezindua maonesho ya picha za Mwalimu Julius Nyerere.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/K99tczx_LQM/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Aug
Maonesho ya bidhaa za Kichina yazinduliwa rasmi Diamond Jubilee
Mh Kigoda pamoja na Balozi wa China Mh Lu Youging wakikata utepe kufungua maonesho ya bidhaa za china.
Waziri wa Viwanda Mh Dr. Abdallah Kigoda akipeana mkono na balozi wa china Lu Youging ishara ya ushirikiano.
Waziri wa Viwanda na biashara Mh Dr. Abdallah Kigoda akifungua maonesho ya bidhaa za kichina.
Meneja Uwekezaji wa Ndani Tanzania Mathew Mnali akihutubia katika mkutano huo.
Mkutano wa uwekezaji baina ya China na Tanzania.
Wananchi kutoka nchini China katika kongamano la...