NBC WAENDELEA KUUNGA MKONO SERIKALI YA AWAMU YA TANO KATIKA SEKTA YA KILIMO, UVUVI NA UFUGAJI
ILI Kufikia uchumi wa kati katika sekta ya Viwanda, mahitaji ya wakulima, wavuvi na wafugaji hayawezi kutekelezwa kwa bajeti ya serikali pekee bali wadau wakubwa wajitokeze kuwekeza.
Hayo yamesemwa wakati wa Mkutano wa wadau katika Kuongeza tija kwenye sekta ya kilimo na mifugo kwa maendeleo ya Viwanda.
Mkutano huo uliodhaminiwa na Benki ya Biashara ya NBC, umeweza kuhudhuriwa na Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent Bashungwa, Waziri wa Ufugaji na Uvuvi Luhaga Mpina na Naibu Waziri wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Je! Kuna mategemeo chanya katika sekta ya utalii katika serikali ya awamu ya tano?
Dr. John Pombe Magufuli, mshindi wa kiti cha Urais Tanzania.
Ni siku chache tu zimepita tangu Jaji Mstaafu Damian Lubuva, mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumtangaza mgombea wa kiti cha Urais Dr.John Pombe Magufuli kuwa ndiye mshindi aliyeongoza kwa kura za asilimia 58.46% ya jumla za kura halali katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa 2015.
Andrea Guzzoni Meneja mkazi wa JovagoTanzania, ametoa pongezi katika kipindi kizima cha shughuli za uchaguzi ambapo Tume ya Uchaguzi na...
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Je! Kuna mategemeo chanya kwenye sekta ya utalii katika serikali ya awamu ya tano?
Dr. John Pombe Magufuli, mshindi wa kiti cha Urais Tanzania.
Ni siku chache tu zimepita tangu Jaji Mstaafu Damian Lubuva, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumtangaza mgombea wa kiti cha Urais Dr.John Pombe Magufuli kuwa ndiye mshindi aliyeongoza kwa kura za asilimia 58.46% ya jumla za kura halali katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa 2015.
Andrea Guzzoni Meneja mkazi wa JovagoTanzania, ametoa pongezi katika kipindi kizima cha shughuli za uchaguzi ambapo Tume ya Uchaguzi na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-re6cr-usAJc/XmeFeTSysoI/AAAAAAABMuc/SGCnZAq8o5g6LP4nYYWHcij7Lg6fvTr-ACNcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
NBC YAUNGA MKONO SEKTA YA KILIMO MKOANI LINDI
Mazao hayo mawili ni kati ya mazao makubwa ya kibiashara yanayofanyika katika nchi yetu na nje ya nchi ya Tanzania.
Kongamano hilo lilikusanya wafanyabiashara na wajasiriamali kutoka nyanja mbali na kwa pamoja walipata kufahamu fursa zinazotolewa na benki hiyo kwa wanachama wa Biashara Club.
Akizungumza na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-s_kcfRBlKA8/XlntJhrbrrI/AAAAAAALgAQ/Hdw6ZQgwxYMF-UcaCuxvCx_L-QpDCzOgQCLcBGAsYHQ/s72-c/f739698c-0af8-446b-80c2-676b2951e730.jpg)
SERIKALI YA JAPAN YAINGIA MIKATABA MINNE KUUNGA MKONO HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA VIJIJI NCHINI TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-s_kcfRBlKA8/XlntJhrbrrI/AAAAAAALgAQ/Hdw6ZQgwxYMF-UcaCuxvCx_L-QpDCzOgQCLcBGAsYHQ/s640/f739698c-0af8-446b-80c2-676b2951e730.jpg)
Serikali hiyo ya Japan ikiwakilishwa na Balozi Goto Shinichi imeingia mkataba wa kusambaza magari ya wagonjwa katika hospitali ya KCMC wenye thamani ya dola za Kimarekani 52,996.
Mkataba mwengine ni pamoja na kusaidia mazingira ya elimu katika wilaya...
11 years ago
Dewji Blog30 May
Washirika wa michezo waombwa kuunga mkono sekta hiyo
Meneja wa Benki ya Taifa ya Biashara { NMB } Tawi la Zanzibar Rajab Maalim akielezea mikakati ya Benki yake katika kusaidia masuala ya Kijamii wakati wa hafla ya kukabidhi michango kwa wanamichezo wa Zanzibar wenye ulemavu wa akili Ofisini kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Vuga Mjini Zanzibar.
Na Othman Khamis Ame, Visiwani
WASHIRIKA wa michezo ndani na nje ya nchi bado wana fursa kubwa ya kuendelea kujitolea kuunga mkono nguvu zao katika sekta ya michezo ili kuijengea...
11 years ago
Dewji Blog17 May
Balozi Seif Ali Iddi aiomba IFAD kuendelea kuwaunga mkono wazalishaji katika sekta ya kilimo Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa pamoja na Mkewe Mama Asha Suleiman Iddi kwenye chakula maalum cha usiku walichoandaliwa wajumbe wa Bodi Tendaji ya Mfuko wa Kimataifa wa Kilimo { IFAD } hapo Serena Hoteli Shangani Mjini Zanzibar.
Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo { IFAD }umeombwa kuendelea kuunga mkono Sekta ya Kilimo Zanzibar katika njia ya kuwajengea uwezo wazalishaji wa Sekta hiyo mama ya uchumi kupitia mfumo wa Teknolojia ya kisasa.
Ombi hilo...
10 years ago
Habarileo11 Mar
Serikali yapania uvuvi na ufugaji wa kisasa
TANZANIA imedhamiria kuanzisha mpango wa ufugaji na uvuvi wa kisasa ili kuiwezesha sekta hiyo kuiingizia taifa pato kubwa.
5 years ago
MichuziWanawake katika kipindi cha serikali ya awamu ya Tano wamefanya vizuri –Katibu Tawala Makame
*Maafisa Rasilamali watakiwa kufuata sheria za upandishaji Vyeo
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii
Wanawake wengi waliopata nafasi wameonyesha uwezo wa kufanya vizuri hali ambayo imefanya kubaki katika nafasi zao ikilinganishwa na wanaume kwa kipindi cha miaka mitano.
Hayo aliysema Katibu wa Tawala Wilaya Ilala Jabir Makame katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake kwa Chuo cha Biashara (CBE). Makame ambaye...
9 years ago
Vijimambo29 Aug
MKATABA KUHUSU MAHITAJI NA MATARAJIO YA WAZEE TANZANIA KUTOKA KATIKA SERIKALI YA AWAMU YA TANO 2015
KWAMBA, sisi wazee wa Tanzania ambao tumewakilisha wazee wenzetu, kutoka mikoa yote nchini, tuliokutana kuanzia tarehe 24 hadi 26 Juni 2015, hapa Dar es Salaam tumechangia mawazo yetu katika kuandaa Mkataba huu na kuuridhia. Lengo la Mkataba huu ni kutambulisha umma wa Watanzania haki zetu, mahitaji yetu na changamoto tunazokumbana nazo ili ziweze kupatiwa ufumbuzi. KWAMBA, Mkataba huu ni nyenzo ya kuhakikisha kuwa wagombea wote katika nafasi mbalimbali za uongozi na Serikali kwa...