Je! Kuna mategemeo chanya kwenye sekta ya utalii katika serikali ya awamu ya tano?
Dr. John Pombe Magufuli, mshindi wa kiti cha Urais Tanzania.
Ni siku chache tu zimepita tangu Jaji Mstaafu Damian Lubuva, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumtangaza mgombea wa kiti cha Urais Dr.John Pombe Magufuli kuwa ndiye mshindi aliyeongoza kwa kura za asilimia 58.46% ya jumla za kura halali katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa 2015.
Andrea Guzzoni Meneja mkazi wa JovagoTanzania, ametoa pongezi katika kipindi kizima cha shughuli za uchaguzi ambapo Tume ya Uchaguzi na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Je! Kuna mategemeo chanya katika sekta ya utalii katika serikali ya awamu ya tano?
Dr. John Pombe Magufuli, mshindi wa kiti cha Urais Tanzania.
Ni siku chache tu zimepita tangu Jaji Mstaafu Damian Lubuva, mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumtangaza mgombea wa kiti cha Urais Dr.John Pombe Magufuli kuwa ndiye mshindi aliyeongoza kwa kura za asilimia 58.46% ya jumla za kura halali katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa 2015.
Andrea Guzzoni Meneja mkazi wa JovagoTanzania, ametoa pongezi katika kipindi kizima cha shughuli za uchaguzi ambapo Tume ya Uchaguzi na...
5 years ago
MichuziNBC WAENDELEA KUUNGA MKONO SERIKALI YA AWAMU YA TANO KATIKA SEKTA YA KILIMO, UVUVI NA UFUGAJI
Hayo yamesemwa wakati wa Mkutano wa wadau katika Kuongeza tija kwenye sekta ya kilimo na mifugo kwa maendeleo ya Viwanda.
Mkutano huo uliodhaminiwa na Benki ya Biashara ya NBC, umeweza kuhudhuriwa na Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent Bashungwa, Waziri wa Ufugaji na Uvuvi Luhaga Mpina na Naibu Waziri wa...
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
HDP yakutanisha wadau wa sekta ya utalii katika mkutano wa pili wa kukuza sekta ya ukarimu na utalii
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Shirika la Kimataifa la Ukarimu na Utalii (HDP) kwa kushirikiana na Wamiliki wa Hoteli Tanzania (HAT) wamefanya mkutano wa kukutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii kujadili mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya sekta hiyo.
Akizungumzia mkutano huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru amesema mashirika hayo yamefanya mkutano huo kwa awamu ya pili kwa ajili ya...
5 years ago
MichuziWanawake katika kipindi cha serikali ya awamu ya Tano wamefanya vizuri –Katibu Tawala Makame
*Maafisa Rasilamali watakiwa kufuata sheria za upandishaji Vyeo
Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii
Wanawake wengi waliopata nafasi wameonyesha uwezo wa kufanya vizuri hali ambayo imefanya kubaki katika nafasi zao ikilinganishwa na wanaume kwa kipindi cha miaka mitano.
Hayo aliysema Katibu wa Tawala Wilaya Ilala Jabir Makame katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake kwa Chuo cha Biashara (CBE). Makame ambaye...
9 years ago
Vijimambo29 Aug
MKATABA KUHUSU MAHITAJI NA MATARAJIO YA WAZEE TANZANIA KUTOKA KATIKA SERIKALI YA AWAMU YA TANO 2015
KWAMBA, sisi wazee wa Tanzania ambao tumewakilisha wazee wenzetu, kutoka mikoa yote nchini, tuliokutana kuanzia tarehe 24 hadi 26 Juni 2015, hapa Dar es Salaam tumechangia mawazo yetu katika kuandaa Mkataba huu na kuuridhia. Lengo la Mkataba huu ni kutambulisha umma wa Watanzania haki zetu, mahitaji yetu na changamoto tunazokumbana nazo ili ziweze kupatiwa ufumbuzi. KWAMBA, Mkataba huu ni nyenzo ya kuhakikisha kuwa wagombea wote katika nafasi mbalimbali za uongozi na Serikali kwa...
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-OpZUihWAxXE/VmwEd-fWZhI/AAAAAAAAsKE/mn3V8f8yxY0/s72-c/45.jpg)
MAWAZIRI WA SERIKALI YA AWAMU YA TANO WAAPISHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-OpZUihWAxXE/VmwEd-fWZhI/AAAAAAAAsKE/mn3V8f8yxY0/s640/45.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y7rYdZjT84E/VmwEh8Jt5GI/AAAAAAAAsKM/b3ViYHZ5E-0/s640/47.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DPnS5gUIpCw/VmwEh7xwiuI/AAAAAAAAsKQ/x9ruphoVuk0/s640/49.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nA-xAF2ydCY/VmwEkwSTjAI/AAAAAAAAsKc/CK8SAfPP7hg/s640/50.jpg)
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Magufuli: Serikali ya awamu ya tano itakuwa ya viwanda
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7c78ShOLyCk/VfWoUjqA6_I/AAAAAAAC_Ds/zbJJ1dXdA68/s72-c/_MG_5772.jpg)
SERIKALI YA AWAMU YA TANO ITAKUWA NI YA VIWANDA-MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-7c78ShOLyCk/VfWoUjqA6_I/AAAAAAAC_Ds/zbJJ1dXdA68/s640/_MG_5772.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5zvqvRy_Vb8/VfWoX5TGDII/AAAAAAAC_D0/_MQoApTYw0g/s640/_MG_5783.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Kashfa tano zimeitesa Serikali ya awamu ya nne