Serikali yapania uvuvi na ufugaji wa kisasa
TANZANIA imedhamiria kuanzisha mpango wa ufugaji na uvuvi wa kisasa ili kuiwezesha sekta hiyo kuiingizia taifa pato kubwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziNBC WAENDELEA KUUNGA MKONO SERIKALI YA AWAMU YA TANO KATIKA SEKTA YA KILIMO, UVUVI NA UFUGAJI
Hayo yamesemwa wakati wa Mkutano wa wadau katika Kuongeza tija kwenye sekta ya kilimo na mifugo kwa maendeleo ya Viwanda.
Mkutano huo uliodhaminiwa na Benki ya Biashara ya NBC, umeweza kuhudhuriwa na Waziri wa Viwanda na Biashara Innocent Bashungwa, Waziri wa Ufugaji na Uvuvi Luhaga Mpina na Naibu Waziri wa...
11 years ago
Habarileo12 Jul
SMZ yapania kuendeleza ufugaji samaki
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema ili kuhakikisha azma yake ya kuimarisha ufugaji wa samaki nchini inatekelezwa, itaendelea kutoa mafunzo na huduma mbalimbali kwa wananchi ili waweze kutumia fursa hiyo kujiimarisha kiuchumi na kuchangia pato la taifa.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yrGc837aSS4/VAGkgx-ImeI/AAAAAAAGWLM/gQrjCaQZWTY/s72-c/IMG_20140830_004856.jpg)
10 years ago
StarTV13 Jan
Waagizwa kutembelea Rukwa kujifunza ufugaji wa kisasa.
Na Sammy Jumaa Kisika,
Rukwa.
Serikali imeziagiza halmashauri zote nchini kuandaa ziara za mafunzo kwa vitendo kwa kuutembelea mkoa wa Rukwa ili kujifunza namna ya kufanya mageuzi katika ufugaji wa kisasa.
Agizo la Serikali limekuja baada wafugaji wa wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa kuanza kufuga kitaalamu kwa kutumia mbegu za ng’ombe za kisasa ambao huzalishwa kwa wafugaji mkoani humo na kupata tija katika sekta hiyo ya mifugo.
Wafugaji wa wilaya ya Nkasi sio tu wanafanikiwa...
5 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA UVUVI NA MIFUGO ULEGA AFUNGUA SHAMBA LA MAFUNZO NA UFUGAJI WA SAMAKI 'BIG FISH FARM' JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE. DKT. TITUS MLENGEYA KAMANI (Mb) AZINDUA MRADI WA UFUGAJI WA SAMAKI NDANI YA ZIWA VICTORIA
10 years ago
Michuzi22 Mar
Tanzania Ijayo, Ufugaji Wa Kisasa Na Biashara Kubwa Ya Mazao Ya Mifugo Yetu - Profesa Muhongo
Wasifu Kwa Kifupi, Prof Sospeter Muhongo) 20 Machi 2015
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Wengi wanufaika na semina ya kilimo na ufugaji wa kisasa iliyoendeshwa na mjasiriamali Bi. Mary David jijini Dar
![IMG_0018](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0018.jpg)
10 years ago
MichuziWENGI WANUFAIKA NA SEMINA YA KILIMO NA UFUGAJI WA KISASA ILIYO ENDESHWA NA MJASIRIAMALI BI. MARY DAVID JIJINI DAR
Katika Semina hiyo kulikuwa na mafunzo mbalimbali ikiwa ni pamoja na Kilimo cha kisasa cha kutumia Green houses ambapo...