Video:Diamond asema BET imempa connection nyingi, ‘ukiacha kuuza muziki kollabo ni kitu ambacho kinasaidia’
Msanii wa muziki Nasib Abdul aka Diamond Platinum amesema kuwa kwenye kinyang’anyiro cha kuwania tuzo za BET nchini Marekani kimempa connection nyinyi za kimuziki pamoja na kollabo ambazo zinaweza zikasaidia zaidi. Akizungumza na waandishi jijini Dar es salaam jana baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K Nyerere akitokea Marekani, Diamond alisema amepata […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo530 Aug
Shaa adai Coke Studio imempa connection kubwa, afanya colabo na Redsan na Chidinma
9 years ago
Bongo518 Dec
Cyrill adai video na ngoma kali sio kila kitu kwa muziki wa sasa
![kamikaze](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/kamikaze-300x194.jpg)
Staa wa muziki Cyrill Kamikaze, amesema muziki wa sasa sio tu kufanya video kali na ngoma kali ili uweze kutoboa, bali unahitaji kutumia ubunifu zaidi kukidhi viwango vyenye ubora na kufikia soko la kimataifa.
Rapper huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Afica Radio kuwa watu wengi wanafikiri ukiwa na video nzuri ndio unafanikiwa.
“Unaweza ukawa na video kali halafu usihit, muziki ni zaidi ya chupa kali, ukirudishwa miaka fulani nyuma, ngoma kali ndio ilikuwa inahit, lakini sasa...
11 years ago
GPLVIDEO: DIAMOND AONGEA NA JESTINA GEORGE KUHUSU BET NOMINATION 2014
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Ni aibu Kenya, India kuuza Tanzanite nyingi
SI jambo la kufurahia hata kidogo taarifa za Kenya na India kuizidi Tanzania katika mauzo ya vito aina ya Tanzanite nje ya nchi. Tunasema si jambo la kufurahia kwakuwa Tanzania...
9 years ago
Bongo530 Oct
Z Anto asema yupo tayari kufanya kazi chini ya Tip Top Connection tena
![Z Anto na Babu Tale](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Z-Anto-na-Babu-Tale-94x94.jpg)
10 years ago
Vijimambo25 Nov
VIDEO- DIAMOND ASEMA WASHINGTON DC ITAKUWA CRAAAAZY DEC 6 -TICKET ZINAZIDI KUYEYUKA NUNUA USIJE JILAUMU !
![](https://2.bp.blogspot.com/-a2nm9Eh5bIY/VGRWzmPAtSI/AAAAAAAARa4/muzCBixvL-g/s640/INDEPENDENCE%2BBRAND%2BNEW.png)
![](https://2.bp.blogspot.com/-67s4NMv8lqA/VGRfHXpjjoI/AAAAAAAARbI/Oo_FLaKXgyM/s640/TANZANIA%2BALL%2BSTARS.jpg)
$100 (INCLUSIVE)3 COURSE DINNERBOTTLE OF CHAMPAGNE PER TABLELIVE ENTERTAINMENTCELEB AFRICA TV RED CARPET COVERAGERE KNOWN PROFESSIONAL PHOTOGRAPHER FREE PARKINGCASH BARSPONSORSHIP LEVELS STILL AVAILABLE TICKET ZINAPATIKANASAFARI RESTAURANT4306 GEORGIA AVENUE,NWWASHINGTON,DC,20011ORONLINEWWW.DIAMONDUSATOUR.COMORCALL301-661-6207 *DMK 240-603-7353*LATIFA240-764-9970*JULIA 202-830-8970*ATHUMANI 240-467-7350*HELENA ...
9 years ago
Bongo518 Nov
Kuna siasa nyingi sana nyuma ya huu muziki – Q-Chief
![Chilla](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Chilla-300x194.jpg)
Mwimbaji wa Bongo Fleva, Q-Chilla amesema kuwa muziki wa Bongo umetawaliwa na siasa nyingi, kitendo kinachosababisha wengi wao kushindwa kufanikiwa.
“Kuna politics nyingi sana nyuma ya huu muziki, siasa ambazo kwa namna moja au nyingine zinawademoralize wasanii,” alisema Q-Chief kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio. “kwa sababu watu wana talent zao, watu wana vision zao lakini wamewekewa limitation ya vile vitu wanakusudia kuvifanya, kwa hiyo we ukiona wanaweka bariers nyingi you...
9 years ago
Bongo526 Oct
Q-Chief ataja kitu kinachomuumiza zaidi kwenye muziki