Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video:Diamond asema BET imempa connection nyingi, ‘ukiacha kuuza muziki kollabo ni kitu ambacho kinasaidia’

Msanii wa muziki Nasib Abdul aka Diamond Platinum amesema kuwa kwenye kinyang’anyiro cha kuwania tuzo za BET nchini Marekani kimempa connection nyinyi za kimuziki pamoja na kollabo ambazo zinaweza zikasaidia zaidi. Akizungumza na waandishi jijini Dar es salaam jana baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K Nyerere akitokea Marekani, Diamond alisema amepata […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Shaa adai Coke Studio imempa connection kubwa, afanya colabo na Redsan na Chidinma

Msugua Gaga nambari moja nchini, Sarah Kaisi aka Shaa, amedai kuwa kushiriki kwenye msimu wa pili wa kipindi cha Coke Studio Africa kumempa connection kubwa. Shaa ameiambia Bongo5 kuwa hakutegemea kama angeitwa kwenye msimu huu wa pili wa kipindi hicho. “Namshukuru sana Mungu anajua Tanzania tupo wasanii wengi kwahiyo ilikuwa ni furaha sana kupata nafasi […]

 

9 years ago

Bongo5

Cyrill adai video na ngoma kali sio kila kitu kwa muziki wa sasa

kamikaze

Staa wa muziki Cyrill Kamikaze, amesema muziki wa sasa sio tu kufanya video kali na ngoma kali ili uweze kutoboa, bali unahitaji kutumia ubunifu zaidi kukidhi viwango vyenye ubora na kufikia soko la kimataifa.

kamikaze

Rapper huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Afica Radio kuwa watu wengi wanafikiri ukiwa na video nzuri ndio unafanikiwa.

“Unaweza ukawa na video kali halafu usihit, muziki ni zaidi ya chupa kali, ukirudishwa miaka fulani nyuma, ngoma kali ndio ilikuwa inahit, lakini sasa...

 

11 years ago

GPL

VIDEO: DIAMOND AONGEA NA JESTINA GEORGE KUHUSU BET NOMINATION 2014

Jana nilibahatika kuwa mtu wa kwanza kumhoji Superstar Diamond Platnumz mara tu baada ya kuwa nominated kwenye BET Awards za Marekani kwenye kipengele cha Best International Act. Diamond ameeleza furaha yake kupitia hapa hapa Jestina George Online TV. Check him out below.  Samahani kwa kelele za upepo 

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ni aibu Kenya, India kuuza Tanzanite nyingi

SI jambo la kufurahia hata kidogo taarifa za Kenya na India kuizidi Tanzania katika mauzo ya vito aina ya Tanzanite nje ya nchi. Tunasema si jambo la kufurahia kwakuwa Tanzania...

 

9 years ago

Bongo5

Z Anto asema yupo tayari kufanya kazi chini ya Tip Top Connection tena

Z Anto na Babu TaleBaada ya meneja wa Tip Top Connection, Babu Tale kutangaza kutamani kufanya kazi na Z Anto, msanii huyo naye amesema yupo tayari kurudi kundini. Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio, Z Anto amesema ana uwezo wa kufanya kazi na Tip Top Connection kama wataafikiana. “Mimi sina tatizo na Tale na hatujawahi kukoseana […]

 

10 years ago

Vijimambo

VIDEO- DIAMOND ASEMA WASHINGTON DC ITAKUWA CRAAAAZY DEC 6 -TICKET ZINAZIDI KUYEYUKA NUNUA USIJE JILAUMU !

    
TANZANIA ALL STARS -WIMBO MAALUMU WA MIAKA 53 YA UHURU 
$100 (INCLUSIVE)3 COURSE  DINNERBOTTLE OF CHAMPAGNE PER TABLELIVE ENTERTAINMENTCELEB AFRICA TV RED CARPET COVERAGERE KNOWN PROFESSIONAL PHOTOGRAPHER FREE PARKINGCASH BARSPONSORSHIP  LEVELS STILL AVAILABLE TICKET ZINAPATIKANASAFARI RESTAURANT4306 GEORGIA AVENUE,NWWASHINGTON,DC,20011ORONLINEWWW.DIAMONDUSATOUR.COMORCALL301-661-6207 *DMK   240-603-7353*LATIFA240-764-9970*JULIA           202-830-8970*ATHUMANI    240-467-7350*HELENA     ...

 

9 years ago

Bongo5

Kuna siasa nyingi sana nyuma ya huu muziki – Q-Chief

Chilla

Mwimbaji wa Bongo Fleva, Q-Chilla amesema kuwa muziki wa Bongo umetawaliwa na siasa nyingi, kitendo kinachosababisha wengi wao kushindwa kufanikiwa.

Chilla

“Kuna politics nyingi sana nyuma ya huu muziki, siasa ambazo kwa namna moja au nyingine zinawademoralize wasanii,” alisema Q-Chief kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio. “kwa sababu watu wana talent zao, watu wana vision zao lakini wamewekewa limitation ya vile vitu wanakusudia kuvifanya, kwa hiyo we ukiona wanaweka bariers nyingi you...

 

9 years ago

Bongo5

Q-Chief ataja kitu kinachomuumiza zaidi kwenye muziki

Q-Chief amesema katika maisha yake ya muziki aliumizwa zaidi na kushindwa kusamehewa na watu aliowakosea kuliko kupotea kwenye muziki. Muimbaji huyo ambaye hujulikana pia kwa jina la Q- Chillah, ameiambia Bongo5 kuwa hali hiyo imekuwa sehemu ya kurudi nyuma katika muziki. “Mimi kiukweli sikuwahi kukata tamaa kwa sababu uwezo wangu nautambua na nina kipaji. Isipokuwa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani