Wema ulifikiri mara ngapi kabla ya kutenda?
Kama umeumbwa na moyo wa kibanadamu na ukapata nafasi ya kuona kile alichokiandika msanii maarufu, Wema Sepetu kuhusu suala lake la kutoweza kupata ujauzito basi ni wazi kwamba ulihuzunika sana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Feb
Je wewe huoga mara ngapi kwa siku?
5 years ago
BBCSwahili21 May
Je, unanawa mikono yako mara ngapi kwa siku?
10 years ago
Bongo Movies26 Mar
Ugumba Wamtesa Wema, Adondosha Chozi Mara kwa Mara!
Tatizo la kutoshika mimba (infertility) au kushindwa kupata mimba (conceive) limekuwa likimtesa staa wa Bongo Movies, Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu na limehusishwa na ugumba.
Akizungumza na gazeti la Amani juu ya ishu hiyo hivi karibuni jijini Dar es Salaam, Wema alisema suala la kutopata mtoto limekuwa likimkosesha amani katika maisha yake ya ukubwani.
Alisema kwamba, amekuwa akishinda akilia kila anapokutana na shosti wake wa sasa, Aunt Ezekiel ambaye ni mjamzito.Wema alitiririka...
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Savimbi: Kabla ya kuuawa alinusurika kifo mara 15
10 years ago
Mtanzania13 Apr
Wema Sepetu: Natamani kuitwa mama kabla sijafa
MREMBO wa Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu, amesema kwamba muda wote wa maisha yake amekuwa akisaka ujauzito lakini anasikitika kwamba hana uwezo huo.
Mrembo huyo ambaye kwa sasa anataraji kuachia filamu yake mpya aliyomshirikisha msanii maarufu wa Nigeria, Van Viker, ameeleza namna anavyotamani kuitwa mama kwa kuwa ndicho kitu kikubwa kinachomuumiza katika maisha yake kwa sasa huku akitamani kuwa na mtoto kabla hajafa.
Kauli ya mrembo huyo aliyoiweka katika mtandao wake wa Instagram,...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-B3GbSgDyMXE/Vlg8TgadMCI/AAAAAAAAc4E/pAOtG4wmiQM/s72-c/three.jpg)
JNIA YAONGEZA UKAGUZI MIZIGO YA POSTA, SASA KUKAGULIWA MARA YA PILI KABLA YA KUPAKIZWA KWENYE NDEGE
![](http://2.bp.blogspot.com/-B3GbSgDyMXE/Vlg8TgadMCI/AAAAAAAAc4E/pAOtG4wmiQM/s640/three.jpg)
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Mbwembwe na utani wa Neymar akiwa dressing room kabla ya mechi, mara achane nywele acheze muziki (+Video)
Stori za staa wa kibrazil Neymar katika umahiri wake wa kupiga chenga zimekuwa zikiingia katika headlines kila siku, najua umezoea kumuona Neymar na umbo lake dogo akiwapa shida wachezaji wenye maumbo makubwa kutokana na ufundi wake. Neymar ambaye kwa sasa anaichezea klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambayo alijiunga nayo mwaka 2013 akitokea klabu ya Santos […]
The post Mbwembwe na utani wa Neymar akiwa dressing room kabla ya mechi, mara achane nywele acheze muziki (+Video) appeared first on...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-prFe0IwzjMs/VfhpmsGhVNI/AAAAAAAH5EA/CxQHt6U7i4I/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS AADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MARA (MARA DAY) BUTIAMA MKOANI MARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-prFe0IwzjMs/VfhpmsGhVNI/AAAAAAAH5EA/CxQHt6U7i4I/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tsiZAHkOin0/VfhpxGyMqRI/AAAAAAAH5Eg/rSdPFad4r4M/s640/2.jpg)