Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbwembwe na utani wa Neymar akiwa dressing room kabla ya mechi, mara achane nywele acheze muziki (+Video)

Stori za staa wa kibrazil Neymar katika umahiri wake wa kupiga chenga zimekuwa zikiingia katika headlines kila siku, najua umezoea kumuona Neymar na umbo lake dogo akiwapa shida wachezaji wenye maumbo makubwa kutokana na ufundi wake. Neymar ambaye kwa sasa anaichezea klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambayo alijiunga nayo mwaka 2013 akitokea klabu ya Santos […]

The post Mbwembwe na utani wa Neymar akiwa dressing room kabla ya mechi, mara achane nywele acheze muziki (+Video) appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Video ya Ronaldo, Bale, Ramos na wengine wa Real Madrid wakimpokea Zidane dressing room …

Real Madrid ilitangaza kumfuta kazi kocha Rafael Benitez na nafasi yake kuchukuliwa na mkongwe Zinedine Zidane, kwenye hii post hapa nimekuwekea video ya jinsi Zidane alivyowasili katika vyumba vya kubadilishia nguo vya Wachezaji wa Real Madrid na kukutana na wachezaji wake kwa siku ya kwanza kama kocha. Hii video hapa chini ni ya Zidane akiwa uwanjani kwenye siku ya kwanza […]

The post Video ya Ronaldo, Bale, Ramos na wengine wa Real Madrid wakimpokea Zidane dressing room … appeared first...

 

5 years ago

Goal

Xavi ready to manage Barcelona - but only in a dressing room without 'toxicity'

Xavi ready to manage Barcelona - but only in a dressing room without 'toxicity'  GoalXavi: I want to go back to Barcelona  MARCA.comXavi Confirms He Still Wants Return To ‘Best In World’ FC Barcelona And Backs Neymar Reunion  ForbesXavi says he is 'ready' to manage Barcelona just two months after rejecting job  Sky SportsXavi gives glimpse into how Barcelona would line up if he took over at the Nou Camp  Daily MailView Full coverage on Google...

 

9 years ago

MillardAyo

Dakika 7 za kuenjoy na mbwembwe za wanyama waliovamia katikati ya mechi za mpira.. (+Video)

Kama ambavyo niliwahi kukusogezea video ya jamaa ambao waliwahi kupenya na kuvamia katikati ya mechi kwenye viwanja vya mpira, time hii nina mzigo wa wanyama. Pata picha ile ghafla tu jogoo, mbwa, paka anakatisha uwanjani na mechi inaendelea !! Wanyama wengine ni wakali kabisa na wanang’ata kabisa wakikamatwa wakati wao ndio waliovamia uwanja wa watu… […]

The post Dakika 7 za kuenjoy na mbwembwe za wanyama waliovamia katikati ya mechi za mpira.. (+Video) appeared first on...

 

10 years ago

Mwananchi

Neymar Jr na mitindo 30 tofauti ya nywele

Mashabiki wengi wa soka wanamfahamu Neymar Jr kuwa ni mwanasoka nyota wa Brazil na klabu yake, Barcelona ya Hispania.

 

9 years ago

MillardAyo

Matukio 10 hatari ambayo huwezi kuyaangalia mara mbili katika mechi ya mpira wa miguu (+Video& +18)

Soka imekuwa kama burudani nyingine ya kawaida kwa watu wa rika zote, siku hizi ni kawaida kuona mtu anapanga ratiba yake ya siku lakini usishangae kumuona katenga muda wa kwenda kuangalia mpira katika ratiba zake, licha ya kuwa ndio mchezo wenye mashabiki wengi duniani au ndio mchezo maarufu zaidi. Kuna baadhi ya matukio huwezi kutamani […]

The post Matukio 10 hatari ambayo huwezi kuyaangalia mara mbili katika mechi ya mpira wa miguu (+Video& +18) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

AMBER ROSE ALIANZA KUKATA NYWELE AKIWA NA UMRI WA MIAKA 18



Hapa ni TBT ya Amber Rose akiwa kinda la miaka 18 fresh kabisa kama punye ya kitunguu, Amber Rose anasema alianza kupenda kuwa na nywele fupi toka akiwa na umri huo hadi sasa ana umri wa miaka 33 anaendelea kuwa na nywele fupi na kuziweka rangi.
Then and now: The star is now 33 and dyes her famous buzz cut peroxide blonde 

 

10 years ago

BBCSwahili

Neymar apigwa marufuku ya mechi nne

Mshambuliaji wa Brazil Neymar atakosa michuano yote ya kombe la Copa America baada ya kupigwa marufuku ya mechi nne.

 

10 years ago

BBCSwahili

Neymar apewa kadi nyekundu baada ya mechi

Nyota wa timu ya Brazil Neymar alionyeshwa kadi nyekundu baada ya kipenga cha mwisho cha mechi ya kinyang'anyiro cha Copa America baada ya timu yake kufungwa na Colombia

 

10 years ago

Michuzi

MSOSI TIME KABLA YA MECHI

Wachezaji wa timu ya Mbeya City, wakipata chakula kwenye moja ya mgahawa katika mji wa Majimoto Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi, wakati timu hiyo ilipokwenda kucheza mechi ya kirafiki ya dhidi ya kombanini ya timu za City na Shinyanga United za wilayani humo. Mechi hiyo ilichezwa kwenye Uwanja wa Majimoto na timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1. PICHA: GODFREY KAHANGO

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani