Mbwembwe na utani wa Neymar akiwa dressing room kabla ya mechi, mara achane nywele acheze muziki (+Video)
Stori za staa wa kibrazil Neymar katika umahiri wake wa kupiga chenga zimekuwa zikiingia katika headlines kila siku, najua umezoea kumuona Neymar na umbo lake dogo akiwapa shida wachezaji wenye maumbo makubwa kutokana na ufundi wake. Neymar ambaye kwa sasa anaichezea klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambayo alijiunga nayo mwaka 2013 akitokea klabu ya Santos […]
The post Mbwembwe na utani wa Neymar akiwa dressing room kabla ya mechi, mara achane nywele acheze muziki (+Video) appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Video ya Ronaldo, Bale, Ramos na wengine wa Real Madrid wakimpokea Zidane dressing room …
Real Madrid ilitangaza kumfuta kazi kocha Rafael Benitez na nafasi yake kuchukuliwa na mkongwe Zinedine Zidane, kwenye hii post hapa nimekuwekea video ya jinsi Zidane alivyowasili katika vyumba vya kubadilishia nguo vya Wachezaji wa Real Madrid na kukutana na wachezaji wake kwa siku ya kwanza kama kocha. Hii video hapa chini ni ya Zidane akiwa uwanjani kwenye siku ya kwanza […]
The post Video ya Ronaldo, Bale, Ramos na wengine wa Real Madrid wakimpokea Zidane dressing room … appeared first...
5 years ago
Goal29 Mar
Xavi ready to manage Barcelona - but only in a dressing room without 'toxicity'
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Dakika 7 za kuenjoy na mbwembwe za wanyama waliovamia katikati ya mechi za mpira.. (+Video)
Kama ambavyo niliwahi kukusogezea video ya jamaa ambao waliwahi kupenya na kuvamia katikati ya mechi kwenye viwanja vya mpira, time hii nina mzigo wa wanyama. Pata picha ile ghafla tu jogoo, mbwa, paka anakatisha uwanjani na mechi inaendelea !! Wanyama wengine ni wakali kabisa na wanang’ata kabisa wakikamatwa wakati wao ndio waliovamia uwanja wa watu… […]
The post Dakika 7 za kuenjoy na mbwembwe za wanyama waliovamia katikati ya mechi za mpira.. (+Video) appeared first on...
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Neymar Jr na mitindo 30 tofauti ya nywele
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Matukio 10 hatari ambayo huwezi kuyaangalia mara mbili katika mechi ya mpira wa miguu (+Video& +18)
Soka imekuwa kama burudani nyingine ya kawaida kwa watu wa rika zote, siku hizi ni kawaida kuona mtu anapanga ratiba yake ya siku lakini usishangae kumuona katenga muda wa kwenda kuangalia mpira katika ratiba zake, licha ya kuwa ndio mchezo wenye mashabiki wengi duniani au ndio mchezo maarufu zaidi. Kuna baadhi ya matukio huwezi kutamani […]
The post Matukio 10 hatari ambayo huwezi kuyaangalia mara mbili katika mechi ya mpira wa miguu (+Video& +18) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo17 Apr
AMBER ROSE ALIANZA KUKATA NYWELE AKIWA NA UMRI WA MIAKA 18
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/17/15/27A9F5C300000578-3043674-image-a-172_1429279259468.jpg)
Hapa ni TBT ya Amber Rose akiwa kinda la miaka 18 fresh kabisa kama punye ya kitunguu, Amber Rose anasema alianza kupenda kuwa na nywele fupi toka akiwa na umri huo hadi sasa ana umri wa miaka 33 anaendelea kuwa na nywele fupi na kuziweka rangi.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/17/15/2780012D00000578-3043674-image-m-176_1429279957815.jpg)
Then and now: The star is now 33 and dyes her famous buzz cut peroxide blonde
10 years ago
BBCSwahili20 Jun
Neymar apigwa marufuku ya mechi nne
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Neymar apewa kadi nyekundu baada ya mechi
10 years ago
Michuzi21 Aug
MSOSI TIME KABLA YA MECHI
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/d11AsOMKHUUArFGKWlM5itgZnBpYcR7LSiDPEJaTgm24BmgA5DRt8dcARL-OOAkxHp2tmrK_3LOIg4Nytnue9mCp7iQzwAMvgcyUx9FdzBUka8F_ytRoPc1amVhJ_pR7-ECiLnnhkRYMLP2pxdBD4mfqeCfBVg=s0-d-e1-ft#http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2423644/highRes/811891/-/maxw/600/-/m2p9gqz/-/msosi.jpg)