Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dakika 7 za kuenjoy na mbwembwe za wanyama waliovamia katikati ya mechi za mpira.. (+Video)

Kama ambavyo niliwahi kukusogezea video ya jamaa ambao waliwahi kupenya na kuvamia katikati ya mechi kwenye viwanja vya mpira, time hii nina mzigo wa wanyama. Pata picha ile ghafla tu jogoo, mbwa, paka anakatisha uwanjani na mechi inaendelea !! Wanyama wengine ni wakali kabisa na wanang’ata kabisa wakikamatwa wakati wao ndio waliovamia uwanja wa watu… […]

The post Dakika 7 za kuenjoy na mbwembwe za wanyama waliovamia katikati ya mechi za mpira.. (+Video) appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Dakika 4 za kuenjoy ngoma ya bendi ya wafungwa Malawi waliotajwa Tuzo za Grammy.. (+Video)

Kama ulikuwa karibu na radio yako jana December 16 2015 moja ya stori kubwa iliyosikika kwenye AMPLIFAYA ilikuwa ni hii inayohusu bendi ya wafungwa kutoka Malawi iliyotajwa kuingia kwenye Tuzo za Grammy zitakazotolewa February 2016. Bendi Inaitwa Zomba Prison Band na tayari wana album ambayo wameipa jina la ‘I Have No Everything Here‘, bendi hiyo ina […]

The post Dakika 4 za kuenjoy ngoma ya bendi ya wafungwa Malawi waliotajwa Tuzo za Grammy.. (+Video) appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Mbwembwe na utani wa Neymar akiwa dressing room kabla ya mechi, mara achane nywele acheze muziki (+Video)

Stori za staa wa kibrazil Neymar katika umahiri wake wa kupiga chenga zimekuwa zikiingia katika headlines kila siku, najua umezoea kumuona Neymar na umbo lake dogo akiwapa shida wachezaji wenye maumbo makubwa kutokana na ufundi wake. Neymar ambaye kwa sasa anaichezea klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambayo alijiunga nayo mwaka 2013 akitokea klabu ya Santos […]

The post Mbwembwe na utani wa Neymar akiwa dressing room kabla ya mechi, mara achane nywele acheze muziki (+Video) appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Cheki video ya dakika 2 za Yaya Toure na Sergio Aguero walivyobadili matokeo ya mechi dhidi ya Watford

January 2 michezo ya Ligi Kuu Uingereza iliendelea ila mchezo kati ya Watford FC dhidi ya Man City ndio ulihitimisha michezo ya Ligi Kuu Uingereza kwa siku ya Jumamosi ya January 2. Man City walikuwa wageni wa Watford katika dimba la Vicarage Road. Mtu wangu wa nguvu Man City walifanikiwa kuibuka na ushindi wa jumla ya […]

The post Cheki video ya dakika 2 za Yaya Toure na Sergio Aguero walivyobadili matokeo ya mechi dhidi ya Watford appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Matukio 10 hatari ambayo huwezi kuyaangalia mara mbili katika mechi ya mpira wa miguu (+Video& +18)

Soka imekuwa kama burudani nyingine ya kawaida kwa watu wa rika zote, siku hizi ni kawaida kuona mtu anapanga ratiba yake ya siku lakini usishangae kumuona katenga muda wa kwenda kuangalia mpira katika ratiba zake, licha ya kuwa ndio mchezo wenye mashabiki wengi duniani au ndio mchezo maarufu zaidi. Kuna baadhi ya matukio huwezi kutamani […]

The post Matukio 10 hatari ambayo huwezi kuyaangalia mara mbili katika mechi ya mpira wa miguu (+Video& +18) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Sekunde 30 za kuenjoy na Eric Omondi alivyojiimbia ‘Utanipenda’ ya Diamond.. (+Video)

Unajua kwenye namba ya wakali wa comedy wenye majina makubwa kutokea East Africa, jina la Eric Omond nalo limo !! Eric huwa anarudia kwa kuimba style na maneno yake mwenyewe, na bado anarudia na video kwa mtindo wa pekeyake… Utanipenda ndio jina la ‘hit’ ya Diamond iliyokamata mawimbi sasahivi… basi cheki na hii aliyoirudia Eric Omondi […]

The post Sekunde 30 za kuenjoy na Eric Omondi alivyojiimbia ‘Utanipenda’ ya Diamond.. (+Video) appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Time ya kuenjoy na ujio mpyampya wa Sauti Sol mwaka 2016, -‘Relax’ (+Video)

2016 mwaka mwingine, na kila mtu anaanza mwaka kivyake… Sauti Sol ni mastaa wakubwa kutoka Kenya mtu wangu… muziki wao umefika mbali na wamefanikiwa kuingia kwenye headlines za mastaa wa kimataifa pia !! Naomba nikufahamishe kwamba December 01 2016 wao wameanza na kuachia mdundo wao mpya walioupa jina la ‘Relax‘… hii hapa kama bado hujaipata […]

The post Time ya kuenjoy na ujio mpyampya wa Sauti Sol mwaka 2016, -‘Relax’ (+Video) appeared first on...

 

5 years ago

Michuzi

JOTO LAZIDI KUPANDA MECHI YANGA NA SIMBA, DAKIKA 90 ZA MCHEZO KUAMUA NANI MBABE

Na Said Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii

KADRI muda unavyosonga mbele kuelekea mechi ya watani wa jadi Yanga na Simba itakayochezwa leo Machi 8 mwaka huu 2020, saa 11 jioni mashabiki lukuki wameanza kujitokeza katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam huku kila upande ukiwa umejawa na tambo za ushindi.

Mechi ya Yanga na Simba ni moja ya mechi ambazo zimekuwa na utamaduni mkubwa wa kujaza mashabiki, wapenzi na wachama wa vilabu hivyo hasa kwa kuzingatia ni mechi ambayo hutawaliwa...

 

11 years ago

Michuzi

MAZUNGUMZO KUHUSU MECHI YA MPIRA WA MIGUU KATI YA TWIGA STARS NA TIMU YA TAIFA YA ZAMBIA

 Pichani Balozi Grace MUJUMA  na maafisa wa Ubalozi Mr Jeswald Majuva na Mr Mogosi Munata wakizungumza na viongozi wa timu ya Twiga Stars Bw Ahmed Mgoyi kiongozi wa Msafara na Bw Boniface Wambura walipofika kwenye Ofisi Za Ubalozi wa TANZANIA Lusaka Zambia kabla ya pambano la mpira litakalofanyika Leo Ijumaa tarehe 14.2.2014 kwenye Uwanja wa Nkoloma uliopo jijini Lusaka.mpambano huo unategemewa kuwa mkali kwani pande zote zimeonyesha nia ya kuibuka na ushindi.

 

10 years ago

Vijimambo

MECHI YA STARS UNITED NA ALL AFRICAN STARS MPAKA DAKIKA 90 MAMBO NI 5-5


 Kutoka kushoto ni Dallah , Mundo na Ediga wachezaji wa Stars United wakitafakali jambo kabla ya mechi All African Stars wakipata picha ya pamoja.                       Stars United wakipata  picha ya pamoja. Kifaa cha Stars United Elvis Mnyamuru akijaribu kumiliki mpira. Mmoja ya wachezaji wa All African Stars ya Atlanta akiwa chini baada ya kuchezewa rafu huku wachezaji wa Stars United. Mchezaji wa All African Stars (kulia) akijaribu kumtoka Edgar mmoja ya mchezaji wa Stars United Mchezaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani