Dakika 4 za kuenjoy ngoma ya bendi ya wafungwa Malawi waliotajwa Tuzo za Grammy.. (+Video)
Kama ulikuwa karibu na radio yako jana December 16 2015 moja ya stori kubwa iliyosikika kwenye AMPLIFAYA ilikuwa ni hii inayohusu bendi ya wafungwa kutoka Malawi iliyotajwa kuingia kwenye Tuzo za Grammy zitakazotolewa February 2016. Bendi Inaitwa Zomba Prison Band na tayari wana album ambayo wameipa jina la ‘I Have No Everything Here‘, bendi hiyo ina […]
The post Dakika 4 za kuenjoy ngoma ya bendi ya wafungwa Malawi waliotajwa Tuzo za Grammy.. (+Video) appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Dakika 7 za kuenjoy na mbwembwe za wanyama waliovamia katikati ya mechi za mpira.. (+Video)
Kama ambavyo niliwahi kukusogezea video ya jamaa ambao waliwahi kupenya na kuvamia katikati ya mechi kwenye viwanja vya mpira, time hii nina mzigo wa wanyama. Pata picha ile ghafla tu jogoo, mbwa, paka anakatisha uwanjani na mechi inaendelea !! Wanyama wengine ni wakali kabisa na wanang’ata kabisa wakikamatwa wakati wao ndio waliovamia uwanja wa watu… […]
The post Dakika 7 za kuenjoy na mbwembwe za wanyama waliovamia katikati ya mechi za mpira.. (+Video) appeared first on...
9 years ago
BBCSwahili16 Dec
Wafungwa wa Malawi kushindania tuzo kuu duniani
10 years ago
Bongo523 Aug
Video: MB Dogg aezelea ujio mpya, ngoma yake na Q-Chief na bendi yao
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Video ya dakika 10 ya Mbwana Samatta akichukua baraka za waziri wa michezo Nape Nnauye kuelekea Tuzo za CAF
December 30 mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Ally Samatta aliomba kuonana na waziri wa habari, vijana, wasanii na michezo Mh Nape Nnauye ili kuomba baraka za kuelekea Abuja Nigeria January 7 katika kilele cha utolewaji wa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika […]
The post Video ya dakika 10 ya Mbwana Samatta akichukua baraka za waziri wa michezo Nape Nnauye kuelekea Tuzo za CAF appeared first on...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avrPoJD970sf-Z4dE9N6lD54*qOIFLyjY8i8sUK0RzadJWvbYf-d6RL2kHoMgCs3hDVna2o0HFfcGvmGi9GcQ6ER/grammyawardsMainCover1.jpg)
ORODHA YA WASHINDI WA TUZO ZA GRAMMY
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Sherehe za Miaka 50 ya uhai wa Bendi Msondo Ngoma zafana Jijini DarMsondo Ngoma zafana Jijini Dar
Bendi Kongwe ya Muziki wa Dansi hapa nchini iliyodumu kwa miaka 50 toka kuanzishwa kwake mwaka 1964,Msondo Ngoma Music Band imesherehekea Jubilei yake hiyo iliyofanyika Novemba 1,2014 katika viwanja vya TCC Club,Chang’ombe jijini Dar es Salaam na kuwakutanisha mashabiki wake lukuki kutoka sehemu mbali mbali.
Mgeni Rasmi katika Sherehe hizo ya kusherehekea Jubilei ya miaka 50 ya Bendi ya Msondo Ngoma,alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante...
9 years ago
Bongo508 Dec
Mtanzania huyu atinga tuzo za Grammy 2016
![10593089_742746879124089_1364310142790121327_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/10593089_742746879124089_1364310142790121327_n-300x194.jpg)
Majina ya wasanii watakaowania tuzo za Grammy mwaka 2016 yametajwa. Grammy ni tuzo zenye heshima zaidi nchini Marekani.
Rapper mwenye asili ya Tanzania, Allan Kingdom naye ametajwa kwenye tuzo hizo thanks kwa shavu alilopewa na Kanye West kwenye wimbo wake All Day. Wimbo huo umetajwa kuwania vipengele viwili, Best Rap Performance na Best Rap Song.
Allan anaishi Minnesota, Marekani.
https://www.youtube.com/watch?v=X8GsQhCAkcg
MFAHAMU ZAIDI ALLAN KINGDOM
Mwaka jana mtandao wa Complex...