Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafungwa wa Malawi kushindania tuzo kuu duniani

Bendi moja ya wafungwa kutoka Malawi imefanikiwa kuteuliwa kushindania tuzo kuu za muziki duniani za Grammy.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Yaya Toure kushindania tuzo kuu ya soka duniani

Wachezaji watatu wa Man City Sergio Aguero, Kevin De Bruyne na Yaya Toure ni miongoni wa wachezaji 23 watakaoshindania tuzo ya Ballon d'Or.

 

9 years ago

MillardAyo

Dakika 4 za kuenjoy ngoma ya bendi ya wafungwa Malawi waliotajwa Tuzo za Grammy.. (+Video)

Kama ulikuwa karibu na radio yako jana December 16 2015 moja ya stori kubwa iliyosikika kwenye AMPLIFAYA ilikuwa ni hii inayohusu bendi ya wafungwa kutoka Malawi iliyotajwa kuingia kwenye Tuzo za Grammy zitakazotolewa February 2016. Bendi Inaitwa Zomba Prison Band na tayari wana album ambayo wameipa jina la ‘I Have No Everything Here‘, bendi hiyo ina […]

The post Dakika 4 za kuenjoy ngoma ya bendi ya wafungwa Malawi waliotajwa Tuzo za Grammy.. (+Video) appeared first on...

 

10 years ago

Michuzi

WAFUNGWA GEREZA KUU UKONGA, DAR ES SALAAM MAHIRI KWA USHONAJI WA NGUO ZA AINA MBALIMBALI MAGEREZANI


Wafungwa wa Gereza Kuu Ukonga, Jijini Dar es Salaam wakikata vitambaa vya nguo kabla ya kuanza kushona nguo za Wafungwa Magerezani. Wafungwa hao hujifunza Stadi mbalimbali za ujuzi ambazo huwasaidia kujipatia kipato mara tu wanapomaliza kifungo chao.
Wafungwa wa Gereza Kuu Ukonga, Jijini Dar es Salaam wakiendelea na ushonaji wa nguo za aina mbalimbali kama wanavyoonekana katika picha. Jeshi la Magereza nchini linatekeleza ipasavyo jukumu lake la Urekebishaji kwa kuwapatia ujuzi wa fani...

 

10 years ago

Vijimambo

WAFUNGWA GEREZA KUU UKONGA, DAR ESALAAM MAHIRI KWA USHONAJI WA NGUO ZA AINA MBALIMBALI MAGEREZANI

 Mkuu wa Kiwanda cha Gereza Kuu Ukonga, Kamishna Msaidizi wa Magereza, Ismail Mlawa akiongea na Wanahabari(hawapo pichani). Wafungwa wa Gereza Kuu Ukonga, Jijini Dar es Salaam wakikata vitambaa vya nguo kabla ya kuanza kushona nguo za Wafungwa Magerezani. Wafungwa hao hujifunza Stadi mbalimbali za ujuzi ambazo huwasaidia kujipatia kipato mara tu wanapomaliza kifungo chao.
 Wafungwa wa Gereza Kuu Ukonga, Jijini Dar es Salaam wakiendelea na ushonaji wa nguo za aina mbalimbali kama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujasiriamali nguzo kuu ya kiuchumi duniani

KATIKA maisha ya sasa kipato cha mtu mmoja mmoja kinazingatiwa zaidi kuliko miaka iliyopita. Hii inatokana na uchumi wa dunia umebadilika, kukosekana kwa ajira na  mitaji ya kuanzia biashara imekuwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tuzo ya mwalimu bora duniani yazinduliwa

Atakayepokea tuzo hiyo ni mwalimu ambaye anafanya kazi kwa bidii na ambaye atathibitisha mchango wake kwa sekta ya elimu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ronaldo atwaa tuzo ya FIFA Duniani 2015

Mshambuliaji wa Ureno Cristiano Ronaldo ameibuka mshindi katika tuzo ya FIFA kama mwanasoka bora duniani mwaka 2015.

 

9 years ago

Mwananchi

Taasisi 1,200 duniani zampa tuzo ya amani Edward Lowassa

Taasisi 1,200 duniani zitampa aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa Tuzo ya Amani kutokana na utulivu aliouonyesha kabla na baada ya Uchaguzi Mkuu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mshindi wa tuzo kuu ya Nobel kutangazwa

Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel atatangazwa leo asubuhi, Papa Francis na Angela Merkel wakiwa miongoni mwa wanaopigiwa upatu kushinda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani