Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mshindi wa tuzo kuu ya Nobel kutangazwa

Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel atatangazwa leo asubuhi, Papa Francis na Angela Merkel wakiwa miongoni mwa wanaopigiwa upatu kushinda.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mshindi wa urais Tanzania kutangazwa

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania Jaji Mstaafu Damian Lubuva amesema tume hiyo itatangaza matokeo ya mwisho ya urais baadaye leo.

 

9 years ago

Vijimambo

Mshindi urais kutangazwa Alhamisi

Mshindi urais kutangazwa AlhamisiTUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema mshindi wa kiti cha urais atatangazwa rasmi Alhamisi na kesho yake, atakabidhiwa cheti tayari kwa kuanza shughuli zake. Aidha, tume hiyo imesema haina ‘mbeleko’ ya kumbeba mgombea yeyote, bali itatangaza matokeo kama yatakavyokuwa kwenye masanduku ya kura.

Mkurugenzi wa Uchaguzi, Kailima Kombwey alisema hayo Dar es Salaam jana wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya masuala mbalimbali yaliyojiri katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana. Kailima...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya Godbless Lema kutangazwa mshindi ubunge Arusha, Mollel ameyasema haya

Weekend iliyopita ulifanyika uchaguzi kwenye jimbo la Arusha mjini kumtafuta Mbunge ambaye ataliongoza jimbo hilo kwa miaka mitano ijayo ambapo Mshindi alitangazwa kuwa Godbless Lema wa CHADEMA, pamoja na ushindi wake kutangazwa aliyekua mgombea wa CCM Philemon Mollel amejitokeza kusema ushindi ni batili. Sababu zote zilizomfanya Mollel kusema ushindi huo ni batili zipo ukibonyeza play […]

The post Baada ya Godbless Lema kutangazwa mshindi ubunge Arusha, Mollel ameyasema haya appeared first...

 

10 years ago

Habarileo

Malala apata Tuzo ya Nobel

RAIA wa Pakistan, Malala Yousafzai na wa India, Kailash Satyarthi kwa pamoja leo wametunukiwa Tuzo ya Nishani ya Amani ya Nobel kwa juhudi zao za kupambana na ukandamizaji wa vijana na kutetea haki ya watoto kusoma.

 

10 years ago

Michuzi

MSHINDI WA SHINDANO LA AIRTEL TRACE STARS AFRICA KUTANGAZWA RASMI NA AKON APRIL 18, 2015

 Dar es Salaam, 13 April 2015 Finali ya shindano la Airtel Trace Music Stars Afrika lililoshirikisha washiriki kutoka nchi 13 barani Afrika chini ya majaji mahiri akiwemo  Akon, Devyne Stephens na Lynnsha  mwisho mwa wiki hii watashirikiana kumtanga rasmi mshindi wa Airtel Trace Afrika. Airtel kupitia taarifa yake iliyotumwa na ofisa uhusiano wake Jane Matinde imesema “Shughuli nzima ya kumtangaza mshindi itaonyeshwa  kupitia chanel ya Trace inayopatikana katika kituo cha DSTV #325  siku ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wapatanishi wa Tunisia wapewa tuzo ya Nobel

Kundi la wapatanishi wa mazungumzo nchini Tunisia limetunukiwa tuzo ya Nobel ya mwaka huu kwa jukumu lao la kufanikisha demokrasia nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Malala ashinda tuzo ya amani ya Nobel

Malala Yousafzai pamoja na mwanaharakati mwingine wa maswala ya watoto India Kailash Satyrathi wameshinda tuzo ya amani ya Nobel.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waafrika waliowahi kushinda tuzo ya Nobel

Kundi la mashirika ya kiraia Tunisia limetunukiwa Tuzo ya Amani ya Nobel. Je, wawajua Waafrika wengine waliowahi kushinda tuzo hiyo kuu?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani