Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ORODHA YA WASHINDI WA TUZO ZA GRAMMY

Tuzo za 57 za Grammy zimafanyika Los Angeles usiku wa kuamkia leo iliyopita na wasanii kama Kendrick Lamar alishinda tofauti na mwaka jana ambapo hakuambulia kitu.

Kendrick ameshinda tuzo mbili zikiwa ni Best Rap Song na Best Rap Performance kwa wimbo wake wa “i,”. Beyonce ameshnda tuzo tatu ikiwa ni Best Surround Sound Album na Best R&B Song kupitia “Drunk In Love” ft Jay Z.
Beyoncé akiwa na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Majina ya washindi wa tuzo za Grammy 2015 zilizofanyika Jumapili Feb.8 (Orodha kamili)

Tuzo za 57 za Grammy Awards 2015 zimetolewa Jumapili Feb.8 huko Los Angeles, California nchini Marekani. Beyonce, Pharrell Williams, Eminem, Kendrick Lamar ni miongoni mwa wasanii walioibuka washindi. Beyonce akipokea tuzo Miongoni mwa wasanii waliotumbuiza kwenye tuzo hizo ni pamoja na Rihanna na Kanye West, Pharrell Williams, Beyonce, Mary J Blige. Pharrell baada ya kupokea […]

 

10 years ago

Bongo5

Majina ya wanaowania tuzo za 2015 Grammy Awards yatangazwa, zitatolewa Feb. (orodha kamili)

Majina ya wasanii wanaowania tuzo kubwa za Grammy Awards yametangazwa Ijumaa Dec 5. Pharrell Williams na Ed Sheeran ndio wanaowania vipengele vikubwa vinne kikiwemo cha album bora ya mwaka. Wengine waliotajwa kuwania tuzo hizo ni pamoja na Beyonce, Iggy Azalea, Drake, Nicki Minaj, Chris Brown, Kanye West na wengine. Beyonce pia ametajwa kuwa ndio msanii […]

 

10 years ago

Bongo5

Orodha ya washindi wa tuzo za Oscars 2015 zilizofanyika Hollywood

Tuzo za 87 za The Academy au The Oscars 2015 zimefanyika usiku wa kuamkia leo the Dolby Theatre huko Hollywood, Los Angeles, Marekani. Hii ni orodha kamili ya ya washindi wa tuzo hizo. Best Picture American Sniper Birdman — WINNER Boyhood The Grand Budapest Hotel The Imitation Game Selma The Theory of Everything Whiplash Actress […]

 

9 years ago

Bongo5

Washindi wa tuzo za ‘Nigeria Entertainment Awards’ 2015 (Orodha kamili)

Orodha kamili ya washindi wa tuzo za Nigeria Entertainment Awards 2015 (NEA) zilizotolewa Sept 6 New York, Marekani tayari imetolewa. Katika tuzo hizo msanii wa Uganda, Eddy Kenzo ndiye ameshinda kipengele cha ‘African Artist of The Year’ cha wasanii wasiotoka Nigeria ambacho Diamond pia alikuwa nominee. Hii ni orodha kamili ya washindi. Album of the […]

 

9 years ago

Bongo5

MTV EMAs 2015: Justin Bieber anyakua tuzo 5, pata orodha kamili ya washindi

Jumapili ya Oct.25 ulikuwa ni usiku wa furaha zaidi kwa mwimbaji wa Canada, Justin Bieber ambaye ameshinda tuzo 5 kwenye tuzo za MTV Europe Music Awards 2015 zilizofanyika Milan, Italy. Bieber ambaye pia alitumbuiza hit song yake ‘What Do You Mean?’ ameshinda vipengele vya ‘Best Male’, ‘Best Look’, ‘Worldwide Act: North America’, ‘Biggest Fans’ na […]

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA KUSIMAMIA TUZO ZA TASWA YATOA ORODHA YA WANAMICHEZO WANAOWANIA TUZO HIZO

KAMATI ya Kusimamia Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania zinazotolewa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) ilikutana Dar es Salaam jana na kupitia majina ya wanamichezo waliopendekezwa kuwania tuzo hizo.
Usiku wa Tuzo utafanyika Desemba 12 mwaka huu ukumbi wa Diamond, Jubilee (VIP), Dar es Salaam, ambapo wanamichezo mbalimbali waliofanya vizuri kati ya Juni 2013 hadi Juni 2014 watakabidhiwa tuzo zao.
Ni imani yetu kwamba zaidi ya wanamichezo 40 watakabidhiwa tuzo zao siku...

 

9 years ago

Bongo5

Mtanzania huyu atinga tuzo za Grammy 2016

10593089_742746879124089_1364310142790121327_n

Majina ya wasanii watakaowania tuzo za Grammy mwaka 2016 yametajwa. Grammy ni tuzo zenye heshima zaidi nchini Marekani.

10534549_742746822457428_4660708305664574914_n

Rapper mwenye asili ya Tanzania, Allan Kingdom naye ametajwa kwenye tuzo hizo thanks kwa shavu alilopewa na Kanye West kwenye wimbo wake All Day. Wimbo huo umetajwa kuwania vipengele viwili, Best Rap Performance na Best Rap Song.

Allan anaishi Minnesota, Marekani.
https://www.youtube.com/watch?v=X8GsQhCAkcg

MFAHAMU ZAIDI ALLAN KINGDOM

Mwaka jana mtandao wa Complex...

 

10 years ago

CloudsFM

Sam Smith afunika tuzo za Grammy,Marekani

Mwanamuziki wa nchini Marekani Sam Smith ameibuka kidedea baada ya kunyakua tuzo nne katika tuzo kubwa za Grammy zilizofanyika jana nchini Marekani.Wengine walioshinda tuzo hizo ni Pharel Williams tuzo 3, Beyonce tuzo 2 moja wapo yupo name Jay Z, Eminem tuzo 2, Kendrick Lamar Tuzo 1.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani