Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSOSI TIME KABLA YA MECHI

Wachezaji wa timu ya Mbeya City, wakipata chakula kwenye moja ya mgahawa katika mji wa Majimoto Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi, wakati timu hiyo ilipokwenda kucheza mechi ya kirafiki ya dhidi ya kombanini ya timu za City na Shinyanga United za wilayani humo. Mechi hiyo ilichezwa kwenye Uwanja wa Majimoto na timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1. PICHA: GODFREY KAHANGO

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

9 years ago

Bongo5

Jurgen Klopp asikitishwa na mashabiki Liverpool kuondoka uwanjani kabla ya mechi kumalizika

article-3309492-2E42F33300000578-88_964x406

Kocha Jurgen Klopp baada ya kopoteza mechi yake ya kwanza baada ya kuchukua mikoba ya Brendan Rogders baada kufungwa na timu ya Crystal Palace mashabiki wa Liverpool waliamua kuondoka uwanjani na walimuacha peke yake kocha Jurgen Klopp mara baada ya mlinzi wa Crystal Palace, Scot Danny kufunga goli la ushindi katika dakika ya 82 ya mchezo na kufanya matokeo kuwa 2-1.

article-3309492-2E42F33300000578-88_964x406

Akiongelea tukio hilo baada ya mchezo huo kumalizika, kocha huyo raia wa Ujerumani alisema amesikitishwa sana na kitendo...

 

9 years ago

MillardAyo

Mbwembwe na utani wa Neymar akiwa dressing room kabla ya mechi, mara achane nywele acheze muziki (+Video)

Stori za staa wa kibrazil Neymar katika umahiri wake wa kupiga chenga zimekuwa zikiingia katika headlines kila siku, najua umezoea kumuona Neymar na umbo lake dogo akiwapa shida wachezaji wenye maumbo makubwa kutokana na ufundi wake. Neymar ambaye kwa sasa anaichezea klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambayo alijiunga nayo mwaka 2013 akitokea klabu ya Santos […]

The post Mbwembwe na utani wa Neymar akiwa dressing room kabla ya mechi, mara achane nywele acheze muziki (+Video) appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Cheki video ya magoli ya mechi ya Simba Vs Jamuhuri, Full Time 2-2 Kombe la Mapinduzi 2016 …

Mtu wangu wa nguvu baada ya kuchezwa mchezo wa kwanza wa Kundi A kati ya URA ya Uganda dhidi ya JKU ya Zanzibar jioni ya January 4. Usiku wake ulipigwa mchezo wa pili wa Kundi hilo kati ya Simba na Jamuhuri ya Pemba. Mchezo wa Simba dhidi ya Jamuhuri ulimalizika kwa sare ya goli 2-2 na […]

The post Cheki video ya magoli ya mechi ya Simba Vs Jamuhuri, Full Time 2-2 Kombe la Mapinduzi 2016 … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

GPL

MSOSI WA KIGENI WAMSHINDA RAY

Stori: Hamida Hasan
MASHOKOLO mageni! Kaka mkubwa kunako kiwanda cha filamu za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray The Greatest’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukutana na msosi wenye asili ya kigeni na kushindwa ‘kuusosomola’. Kaka mkubwa kunako kiwanda cha filamu za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray Tukio hilo lililopigwa chabo na mwanahabari wetu na kuibua hamasa kwa mashuhuda lilitokea juzikati...

 

11 years ago

GPL

WAFANYAKAZI WA GLOBAL WAKIPATA MSOSI

Wafanyakazi wa Global Pubilshers Ltd, wakipata msosi katika sherehe ya kuukaribisha mwaka 2014 ndani ya Chadibwa…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani