Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kilichowaangusha wasaliti hiki hapa

TAMAA ya madaraka na fedha, vimetajwa kama sababu kubwa zilizowasambaratisha wanasiasa wengi waliowahi kuvuma ndani ya vyama mbalimbali vya upinzani nchini tangu kurejea kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KINACHOWAPONZA WEMA, KAJALA HIKI HAPA!

KAMA walivyo Wema Sepetu ‘Madam’ na Aunt Ezekiel kwa sasa ndivyo walivyokuwa Wema na Kajala Masanja miezi kadhaa iliyopita.Wema na Kajala walikuwa mashosti wa kufa mtu, walishibana na kupeana siri zao zote hususan zile za ndani kabisa. Staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ . Kudhihirisha kwamba wameshibana, kuna wakati Wema aliamua kujitolea Sh. Mil 13 kulipa faini ambayo ilimnusuru Kajala kuswekwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kilio cha taifa letu ni hiki hapa

Kuongozwa kwa fedha badala ya fikra, tumepotea njia salama, tupo gizani Kilio cha taifa letu ni uongozi! Ili tupige hatua kutoka hapa tulipo sasa, tunahitaji kiongozi bora, mzalendo na anayeishi maisha ya Watanzania.

 

9 years ago

StarTV

Unajua alichokifanya Lowassa leo?Hiki hapa.

L1Mgombea urais anayewakilisha kambi ya Ukawa ameendelea na harakati zake za kukutana na wananchi wa kipato cha chini ambapo leo amefanya ziara ya kushitukiza katika soko la Tandale, jijini Dar es Salaam.

Lowassa ameingia katika soko la Tandale mapema leo asubuhi akiwa na mgombea mwenza, Juma Haji Duni ambapo amepokelewa kwa shangwe na wafanyabiashara ndogondogo katika soko hilo. Mbali na kuzungumza naokwa nia ya kufahamu matatizo yanayowakuta, Lowassa ameshiriki nao kupata kinywaji kwa...

 

11 years ago

GPL

Kikosi Yanga kitakachoenda Rwanda hiki hapa

Wachezaji wa timu ya Yanga, SC. Wilbert Molandi na Hans Mloli
IMEFAHAMIKA kuwa, Kocha Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo amepanga kukitumia kikosi cha pili kwenye michuano ya Kombe la Kagame ambayo inatarajiwa kuanza Agosti 8, mwaka huu nchini Rwanda.
Gazeti hili limegundua hilo kwenye mazoezi ya timu hiyo yaliyofanyika kwenye Viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam, jana. Katika mazoezi hayo, Maximo alitenga...

 

10 years ago

Vijimambo

Kilichoing'oa Yanga kwa Etoile hiki hapa.

Safari ya Tanzania katika michuano ya kimataifa mwaka huu ilihitimishwa juzi usiku baada ya Yanga kutolewa kwa kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Etoile Sportive du Sahel (ESS) katika mechi ya marudiano ya hatua ya 16 bora ya Kombe la Shirikisho Afrika kwenye Uwanja wa Sousse, Tunisia.

Katika mechi ya kwanza iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Aprili 18, timu hizo zilitoka sare ya 1-1, hivyo matokeo ya juzi yalimaanisha kuwa Yanga imeng'oka kwa jumla ya mabao 2-1.

Yanga ilifika...

 

9 years ago

Mwananchi

Chanzo mauaji ya mapanga mkoani Geita hiki hapa

Simulizi iliyotanguliwa na kunusurika kuuawa. Vipo visa vingi vyenye sababu mbalimbali katika mauaji yanayofanyika kutumia mapanga mkoani Geita.

 

10 years ago

Mwananchi

Kibano cha wagombea urais CCM hiki hapa

Masharti yaliyomo katika fomu za wagombea urais za CCM huenda yakawa mtihani kwa baadhi yao, hasa katika kipengele kinachohoji iwapo mgombea aliwahi kujiunga na chama kingine cha siasa zaidi ya Tanu na Afro Shiraz Party (ASP).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani