Unajua alichokifanya Lowassa leo?Hiki hapa.
Mgombea urais anayewakilisha kambi ya Ukawa ameendelea na harakati zake za kukutana na wananchi wa kipato cha chini ambapo leo amefanya ziara ya kushitukiza katika soko la Tandale, jijini Dar es Salaam.
Lowassa ameingia katika soko la Tandale mapema leo asubuhi akiwa na mgombea mwenza, Juma Haji Duni ambapo amepokelewa kwa shangwe na wafanyabiashara ndogondogo katika soko hilo. Mbali na kuzungumza naokwa nia ya kufahamu matatizo yanayowakuta, Lowassa ameshiriki nao kupata kinywaji kwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV24 Aug
Je unajua Lowassa alichokifanya Leo?hebu tazama
Wakati ambapo wananchi wana kiu ya kufahamu Ukawa watafanya lini uzinduzi wa kampeni zao hasa kwa kuzingatia kuwa CCM imefanya uzinduzi wa kishindo jana katika viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam, mgombea urais wa Chadema na Ukawa, Edward Lowassa ameanza ziara ya kupanda usafiri wa umma (daladala). Lowassa ameanza ziara yake asubuhi hii ambapo anapanda katika usafiri huo wa umma kwa lengo la kuwafikia wananchi wa maisha ya chini kabisa ili awasikilize kwa ukaribu na kufahamu kero zao. Katika...
10 years ago
GPL02 Oct
10 years ago
Vijimambo
9 years ago
Bongo Movies27 Dec
Picha:Hiki Ndicho Alichokifanya Diamond Ndani ya Dar Live
Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alifanya shoo baab’kubwa usiku wa kuamkia jana kwenye Ukumbi wa Dar Live, Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.
Na hizi ni baadahi ya picha za shoo hiyo.
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Vijimambo
11 years ago
Dewji Blog20 Jun
Hiki ndicho alichokifanya Ras Inno kwenye tamasha la ZIFF 2014 linaloendelea visiwani Zanzibar
Na. Mwandishi wetu, Zanzibar
MKALI wa muziki wa rege nchini Innocent Nganyagwa anajiandaa kutoa filamu inayohusu maisha yake kama sehemu ya kufunza kizazi kijacho kuhusu muziki huo.
Filamu hiyo ambayo itabeba maisha yake ya kuishi katika muziki wa rege inatolewa kama ile ya Jimmy Clief The hader they Come.
Nganyagwa mwenye albamu nne na tuzo tano za hapa nyumbani alisema pamoja na kukaa kimya kwa muda mrefu alikuwa hajaondoka katika muziki wa rege lakini alikuwa anafundisha vijana ili rege...
10 years ago
Vijimambo