Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Biden atangaza hatawania urais 2016

Makamu wa Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza kwamba hatasaka tiketi ya chama cha Democratic kuwania urais 2016.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Tara Reade: Anayemshutumu Biden kwa kumnyanyasa ataka sigombee urais

Tara Reade asema atakubali kula kiapo kwa masharti tu ikiwa Bwana Biden pia atafanya hivyo.

 

9 years ago

Bongo5

Don Jazzy atangaza kustaafu muziki mwaka 2016 kama msanii

don jazzy

Don Jazzy, producer na muimbaji kutoka Nigeria amesema kuwa mwaka 2016 ana mpango wa kuacha kuimba na kubaki kuwa producer.

don jazzy

Don Jazzy ambaye ni boss wa Mavin Records yenye wasanii kama Tiwa Savage, ametangaza uamuzi huo kupitia Twitter.

This artist work no easy jare. 2016 I'm retiring my artist side jor. 🙏🏽#OneLagosFiesta for now sha.

— DON JAZZY (@DONJAZZY) December 27, 2015

Aliendelea kuthibitisha alichokimaanisha kama kweli anaacha kuimba baada ya shabiki mmoja kumuuliza kama yuko serious,...

 

10 years ago

Mtanzania

Magufuli atangaza kugombea urais

John-MagufuliNa Mwandishi Wetu, Dodoma

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ametangaza rasmi kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Amesema kwa kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza rasmi kwa wanachama wake wenye sifa kujitokeza kuwania nafasi hiyo kubwa ya uongozi nchini, ameona hana budi kutangaza rasmi azma yake.

Dk. Magufuli, mmoja wa mawaziri ambao kwa muda mrefu wamehusishwa kwenye kinyang’anyiro cha nafasi hiyo, alisema anaingia kwenye mchuano huo akiwa na sifa zote stahiki za...

 

10 years ago

Mtanzania

Nyalandu atangaza kugombea urais

Pg 3.

 

Na Kulwa Karedia, Singida
MBIO za urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimechukua sura mpya baada ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, kutangaza rasmi nia ya kugombea urais mwaka 2015.
Akizungumza katika mkutano wa kuwashukuru wapigakura wake kwenye uwanja wa michezo wa Shule ya Msingi Ilongero, Wilaya ya Singida Vijijini jana, Waziri Nyalandu alisema muda wa Tanzania kupata maono mapya umefika.
“Muda wa Tanzania kupata maono mapya umefika, nitachukua hatua ya kuelekea...

 

10 years ago

Mtanzania

Mchungaji atangaza kugombea urais 2015

Na Rodrick Mushi, Moshi

MHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Stephano Moshi (SMUCCO), Mchungaji Godfrey Malisa, ametangaza nia ya kugombea urais Oktoba mwaka huu kwa tikeki ya mgombea binafsi.

Mchungaji Malisa, alitangaza azma hiyo huku Serikali ikiwa bado
haijaweka bayana kuwepo kwa mgombea binafsi kwa sababu Katiba Inayopendekezwa haijapitishwa.
Mwaka 2010, Malisa aligombea ubunge Jimbo la Moshi kwa tiketi ya
Chama cha Tanzania Labour (TLP).
Akizungumza na waandishi wa habari mjini...

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda atangaza rasmi kuwania urais

Siyo tetesi tena. Sasa ni rasmi kwamba Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ambaye amekuwa akitajwa kuwania urais amethibitisha wazi kuwa atagombea kiti hicho katika uchaguzi mkuu mwakani.

 

10 years ago

Michuzi

NYALANDU ATANGAZA NIA KUGOMBEA URAIS

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akizungumza na wananchi mkoani Singida baada ya kutangaza nia ya kugombea nafasi ya urais kwenye Uwanja wa Namfua leo. (Picha na Loveness Bernard)
Umati wa watu ukimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu baada ya kutangaza nia ya kugombea nafasi ya urais kwenye Uwanja wa Namfua mkoani Singida leo. (Picha na Loveness Bernard) Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu (kushoto) akiwa na mkewe Faraja kabla ya kuzungumza na...

 

10 years ago

Mwananchi

Sitta atangaza nia ya urais ‘kiaina’

 Dodoma/Dar. Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema kati ya waliojitokeza na wanaotajwa kuwania urais, hakuna ambaye anaweza kupambana na kuikataa rushwa na kwamba muda ukifika ataweka hadharani nia yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hillary Clinton atangaza kugombea urais

Mke wa rais wa zamani wa Marekani, Bill Clinton, Bibi Clinton ametangaza azma ya kugombea urais nchini Marekani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani