KUBALI USIKUBALI, MWANA YA ALIKIBA NI DONGO KWA DIAMOND, USHAHIDI HUU HAPA.
HUU HAPA UTHIBITISHO.Mali ni nyingi nyumbani, kipi kimekukimbiza,
Hapa Alikiba, anamwambia Diamond, nyumbani ( SHAROBARO RECORDS) kuna kila kitu, beats kali, management nzuri and all that, kitu gani kilimkimbiza SHAROBARO RECORDS?Ona babio mamio wote wanakulilia,HAPA ALIKIBA ANAMAANISHA, SHAROBARO RECORDS, WAKIONGOZWA NA BOB JUNIOR, WOTE WANAMLALAMIKIA DIAMOND KWA KITENDO CHAKE CHA KUKIMBIA KUFANYA KAZI SHAROBARO. (BOB JUNIOR ALIPIGA KELELE SANA DIAMOND ALIPOKIMBIA SHAROBARO RECORDS )Mtoto...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo516 Dec
Mashabiki wanahisi ujumbe huu wa Diamond ni dongo kwa Wema!
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Mzigo wa ‘Shem Lake’ huu hapa kutoka kwa Izzo Bizness, Feat. Mwana FA & G Nako.. (+Video)
Rapper anayewakilisha Green City a.k.a Mbeya City kathibitisha kwamba anahitaji watu wake wapate zawadi ya video nzuri kabla haijafikia December 25 2015 ambayo ndio siku ya birthday yake. Jina lake kwenye stage ya muziki anafahamika kama Izzo Bizness, wiki chache zilizopita aliachia ngoma kali ambayo imeteka kwa nguvu airtime kwenye radio stations ambapo ngoma hiyo […]
The post Mzigo wa ‘Shem Lake’ huu hapa kutoka kwa Izzo Bizness, Feat. Mwana FA & G Nako.. (+Video) appeared first on...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dW5Z0GH0uPk/VMZn_V9vYmI/AAAAAAAAnKc/cfcHC2VzPcg/s72-c/mwana%2Bfa.jpg)
Ni kweli Mwana FA na Diamond haziivi kisa Alikiba? FA aueleza ukweli
![](http://3.bp.blogspot.com/-dW5Z0GH0uPk/VMZn_V9vYmI/AAAAAAAAnKc/cfcHC2VzPcg/s640/mwana%2Bfa.jpg)
Ni kweli?“Sijui nikwambie nini, lakini kama sitaki kulifanya hili suala liwe habari, kiukweli yaani,” FA ameiambia Bongo5.
Vipi kuhusu uhusiano wake na Diamond baada ya kumshirikisha Alikiba kwenye hit single yake, Kiboko Yangu?
“No we are very...
10 years ago
Bongo523 Jan
Diamond, Mwana FA na Alikiba waongoza chart ya Mkito ya nyimbo 100 zilizopakuliwa zaidi
11 years ago
Michuzi25 Jul
10 years ago
Vijimambo12 Oct
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xK8e3SFFdl8/Vczq2c0iS8I/AAAAAAAB-34/h5sMyJwMVyk/s72-c/DOM%2B1.jpg)
PICHA 5 ZA USHAHIDI KUWA MAGUFULI HAKAMATIKI HIZI HAPA ONA LIVE DODOMA HAPA!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-xK8e3SFFdl8/Vczq2c0iS8I/AAAAAAAB-34/h5sMyJwMVyk/s640/DOM%2B1.jpg)
Dr Magufuli ndiyo habari ya mjini hii ni ndani ya Dodoma na kutoa ujumbe wakusema kuwa Wafanyakazi wazembe,Nitalala nao mbeleeeeee
![](http://1.bp.blogspot.com/-THK7CZMK904/Vczq4CjVlmI/AAAAAAAB-4A/Au7rwwrLlkw/s640/DOM%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9x92ROIgEHY/Vczq5so2BhI/AAAAAAAB-4I/9l4f3J3nxhE/s640/DOM%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cTG54kJP8Wo/Vczq7gmA6oI/AAAAAAAB-4Q/GmXDYaVtWZo/s640/DOM%2B4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-loYEBl-Zuyk/Vczq-O9nlwI/AAAAAAAB-4Y/hHGdkE6xguM/s640/DOM%2B5.jpg)
10 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Ushindi wa Tuzo, Diamond Atupa Dongo kwa Jokate, Jokate Naye Ajibu
Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.
Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @ diamondplatnumz
Baadae Jokate nae akaandika kwenye ukurasa wake wa @Instagram kuhusu video hiyo ambayo alimpost Diamond.
Tuki-support mtu ndio kama hivi...