Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond, Mwana FA na Alikiba waongoza chart ya Mkito ya nyimbo 100 zilizopakuliwa zaidi

Diamond Platnumz, Mwana FA na Alikiba ndio wasanii ambao nyimbo zao zimepakuliwa zaidi kwenye mtandao wa Mkito. Hizi ni nyimbo 10 zilizoongoza kwenye orodha hiyo ya nyimbo 100 zilizopakuliwa zaidi tangu kuanzishwa kwa mtandao huo. 1.Diamond – Ntampata Wapi 2.Mwana FA f/ AliKiba – Kiboko Yangu 3.Yamoto Band – Ntakupwelepweta 4.Alikiba – Mwana 5.Joh Makini […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Ni kweli Mwana FA na Diamond haziivi kisa Alikiba? FA aueleza ukweli

Weekend hii kwenye show ya uzinduzi wa Tigo Music iliyofanyika Leaders Club jijini Dar es Salaam, kulienea taarifa kutoka kwa mmoja wa mameneja wa Diamond Platnumz kuwa Alikiba aliwazuia Mwana FA na Shaa kusaliamiana na hitmaker huyo wa ‘Ntampata Wapi’.
Ni kweli?“Sijui nikwambie nini, lakini kama sitaki kulifanya hili suala liwe habari, kiukweli yaani,” FA ameiambia Bongo5.
Vipi kuhusu uhusiano wake na Diamond baada ya kumshirikisha Alikiba kwenye hit single yake, Kiboko Yangu?
“No we are very...

 

10 years ago

Vijimambo

KUBALI USIKUBALI, MWANA YA ALIKIBA NI DONGO KWA DIAMOND, USHAHIDI HUU HAPA.

BONGOCLAN.CO.TZ DIAMONDHUU HAPA UTHIBITISHO.Mali ni nyingi nyumbani, kipi kimekukimbiza,
Hapa Alikiba, anamwambia Diamond, nyumbani ( SHAROBARO RECORDS) kuna kila kitu, beats kali, management nzuri and all that, kitu gani kilimkimbiza SHAROBARO RECORDS?Ona babio mamio wote wanakulilia,HAPA ALIKIBA ANAMAANISHA, SHAROBARO RECORDS, WAKIONGOZWA NA BOB JUNIOR, WOTE WANAMLALAMIKIA DIAMOND KWA KITENDO CHAKE CHA KUKIMBIA KUFANYA KAZI SHAROBARO. (BOB JUNIOR ALIPIGA KELELE SANA DIAMOND ALIPOKIMBIA SHAROBARO RECORDS )Mtoto...

 

9 years ago

Bongo5

Makamua: Nina nyimbo zaidi ya 100 zipo ndani

Muimbaji wa R&B, Mack Paul Sekimanga aka Makamua amewataka mashabiki wa muziki wake kusubiria ujio wake mpya akiwa chini ya Mj Records. Makamua ameiambia Bongo5 kuwa, ana nyimbo zaidi ya 100 alizorekodi katika studio tofauti tofauti ila anachohitaji sasa hivi ni ujio mpya akiwa chini ya Mj Records. “Nimefanya kazi na producers tofauti tofauti lakini […]

 

10 years ago

Bongo5

Alikiba avunja rekodi ya downloads kwenye mtandao wa Mkito.com

Nyimbo mbili za Alikiba zimefanikiwa kuongoza kama nyimbo zinazopakuliwa kwa wingi katika tovuti ya Mkito.com. Wimbo uliotokea kupendwa zaidi wa Mwana ulipanda hadi nafasi ya kwanza ndani ya masaa 12 baada ya kuzinduliwa Julai 24 mwaka huu. Mpaka sasa “Mwana” ya Alikiba imeendelea kuwa wimbo uliopakuliwa zaidi tangu kuanzishwa kwa Mkito.com mwezi Mei mwaka huu. […]

 

11 years ago

Bongo5

Alikiba aweka wazi chanzo cha beef kati yake na Diamond, akiri yeye ni shabiki wa nyimbo za Platnumz lakini….!

Miongoni mwa vitu vilivyokuwa vikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa bongo fleva wiki hii ni pamoja na kusikia kauli ya Alikiba kuhusu chanzo cha beef kati yake na msanii mwenzake Diamond Platnumz. Kupitia kipindi cha Sporah kilichoruka July 22 Clouds TV, Alikiba amefunguka mambo mengi ikiwemo jinsi walivyofahamiana kwa mara ya kwanza, chanzo cha beef […]

 

9 years ago

Mtanzania

‘Ipo Siku’ yapakuliwa zaidi Mkito

mtanzania kila siku safiSiah.inddNA CHRISTOPHER MSEKENA
NYOTA wa muziki wa injili nchini, Goodluck Gozbert, amewashukuru mashabiki kwa kupakuwa wimbo wake unaoitwa Ipo Siku kwenye tovuti ya Mkito inayojihusisha na kuuza nyimbo za wasanii mbalimbali.
Akizungumza na MTANZANIA, Goodluck alisema kuwa hiyo ni
hatua nzuri kwake kwa sababu zipo nyimbo nyingi nzuri za Injili lakini mashabiki wameichagua yake
hivyo anawashukuru na anaomba waendelee kumuunga mkono.
“Wimbo wangu umeongoza kupakuliwa kuliko wimbo wowote
ule wa Injili,...

 

11 years ago

ALIKIBA

10 years ago

Bongo5

New Video: Alikiba — Mwana

Tazama video mpya ya Alikiba ‘Mwana’ iliyoongozwa na director mkubwa Afrika, Godfather

 

10 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani