Diamond, Mwana FA na Alikiba waongoza chart ya Mkito ya nyimbo 100 zilizopakuliwa zaidi
Diamond Platnumz, Mwana FA na Alikiba ndio wasanii ambao nyimbo zao zimepakuliwa zaidi kwenye mtandao wa Mkito. Hizi ni nyimbo 10 zilizoongoza kwenye orodha hiyo ya nyimbo 100 zilizopakuliwa zaidi tangu kuanzishwa kwa mtandao huo. 1.Diamond – Ntampata Wapi 2.Mwana FA f/ AliKiba – Kiboko Yangu 3.Yamoto Band – Ntakupwelepweta 4.Alikiba – Mwana 5.Joh Makini […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dW5Z0GH0uPk/VMZn_V9vYmI/AAAAAAAAnKc/cfcHC2VzPcg/s72-c/mwana%2Bfa.jpg)
Ni kweli Mwana FA na Diamond haziivi kisa Alikiba? FA aueleza ukweli
![](http://3.bp.blogspot.com/-dW5Z0GH0uPk/VMZn_V9vYmI/AAAAAAAAnKc/cfcHC2VzPcg/s640/mwana%2Bfa.jpg)
Ni kweli?“Sijui nikwambie nini, lakini kama sitaki kulifanya hili suala liwe habari, kiukweli yaani,” FA ameiambia Bongo5.
Vipi kuhusu uhusiano wake na Diamond baada ya kumshirikisha Alikiba kwenye hit single yake, Kiboko Yangu?
“No we are very...
10 years ago
Vijimambo07 Oct
KUBALI USIKUBALI, MWANA YA ALIKIBA NI DONGO KWA DIAMOND, USHAHIDI HUU HAPA.
![BONGOCLAN.CO.TZ DIAMOND](http://www.bongoclan.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/BONGOCLAN.CO_.TZ-DIAMOND.jpg)
Hapa Alikiba, anamwambia Diamond, nyumbani ( SHAROBARO RECORDS) kuna kila kitu, beats kali, management nzuri and all that, kitu gani kilimkimbiza SHAROBARO RECORDS?Ona babio mamio wote wanakulilia,HAPA ALIKIBA ANAMAANISHA, SHAROBARO RECORDS, WAKIONGOZWA NA BOB JUNIOR, WOTE WANAMLALAMIKIA DIAMOND KWA KITENDO CHAKE CHA KUKIMBIA KUFANYA KAZI SHAROBARO. (BOB JUNIOR ALIPIGA KELELE SANA DIAMOND ALIPOKIMBIA SHAROBARO RECORDS )Mtoto...
9 years ago
Bongo513 Sep
Makamua: Nina nyimbo zaidi ya 100 zipo ndani
10 years ago
Bongo513 Sep
Alikiba avunja rekodi ya downloads kwenye mtandao wa Mkito.com
11 years ago
Bongo523 Jul
Alikiba aweka wazi chanzo cha beef kati yake na Diamond, akiri yeye ni shabiki wa nyimbo za Platnumz lakini….!
9 years ago
Mtanzania04 Jan
‘Ipo Siku’ yapakuliwa zaidi Mkito
NA CHRISTOPHER MSEKENA
NYOTA wa muziki wa injili nchini, Goodluck Gozbert, amewashukuru mashabiki kwa kupakuwa wimbo wake unaoitwa Ipo Siku kwenye tovuti ya Mkito inayojihusisha na kuuza nyimbo za wasanii mbalimbali.
Akizungumza na MTANZANIA, Goodluck alisema kuwa hiyo ni
hatua nzuri kwake kwa sababu zipo nyimbo nyingi nzuri za Injili lakini mashabiki wameichagua yake
hivyo anawashukuru na anaomba waendelee kumuunga mkono.
“Wimbo wangu umeongoza kupakuliwa kuliko wimbo wowote
ule wa Injili,...
11 years ago
ALIKIBA25 Jul
10 years ago
Bongo519 Dec
New Video: Alikiba — Mwana
10 years ago
GPL19 Dec